Hata ikiwa wewe, Lissu akiwa maeneo yako huwezi kuacha kwenda kumsikilizaHuko Mara Watavunja Rekodi ya Tanzania.
Ila kila Siku Lissu anaongeza idadi ya wahudhuriaji kuna uchawi gani?[emoji23][emoji23]
Duuuh! Mkuu watu wamechoka ! CCM hawapendi!!View attachment 1581028
Eti wanaimba nini? Eti bora corona kuliko CCM?
Jamani, kweli CCM imechokwa...!
Zamu yake kuisoma namba alidanganywa na matiss eti anakubalika kumbe wanampiga pesa.Duuuh! Mkuu watu wamechoka ! CCM hawapendi!!
Mbona hata sasa hivi taifa linateseka bila majimbo?Wazee tunajitambua sana tu. Hakuna mzee anayependa Serikali za kimajimbo.
Majimbo yalitutesa sana. Acheni vijana wahenyeke nayo.
InasikitishaKule Dodoma sijui wana hali gani akina haraka haraka na mtu wao. Hii imevuraga kabisa mkutano wao wa kesho huko watakakofanyia, mtawasikia wakisema vitu visiyo eleweka na hata kuvunja sheria za uchaguzi kutokana na panic. Katika panic hiyo wanaweza kuahidi hata kuanza ujenzi wa roketi kubwa (Satellite) na kulirusha anga za mbali ili kumonitor nyendo za wapinzani
Alafu anasukumizwa wakati hakuna wa kumdhibiti!Sikiliza bwana mdogo, tupo tulioikataa TANU mfumo wa vyama vingi ulipofutwa mwaka 1965. Tuliikataa CCM ilipoasisiwa mwaka 1977 kwa vyama viwili TANU ya Tanzania bara na ASP ya Tanzania Visiwani kuungana. Mimi nimekuwa mpinzani kwa miaka hiyo yote hata kabla ya vyama vingi na hata sasa hivi si Chadema wala ACT ila ni mpinzani wa CCM.
Naamini chama kikikaa madarakani kwa muda mrefu kinalewa madaraka na kujifikiria kina hati milki ya taifa letu. Nafikiri umenielewa hadi hapo. Mambo ya ujinga ujinga sitaki, kwaheri...Tanzania yawezekana bila hiki chama ambacho eti kikisimamisha hata kichaa, anasukumiziwa uongozi.
Wazee tunajitambua sana tu. Hakuna mzee anayependa Serikali za kimajimbo.
Majimbo yalitutesa sana. Acheni vijana wahenyeke nayo.
CCM kwishney...CCM wenyewe kwa sasa wameanza kumshangilia Lissu maana hakuna namna. Hadi polisi wanaogopa kurusha tear gas!
Wewe utakuwa ni yule Tomaso aliyetajwa kwenye biblia umerudi duniani. Hebu ona mwenyeweJamani Mwanza ya wap??? Hebu tuwekee hata clip moja ya maadamano hao tofaut na wahuni wachache mliowanunulia konyangi,,, Mwanza tushamaliza uchaguz zamani sana ni jpm
Hawatafanikiwa sasa kukabili kimbunga.Hiyo sahau, hawezi hawezi tena.
Walipo wanapanga wizi wa kura tu
Hata mkoa wa Tanga nao ni wa kuhurumia kabisa kwani sijui wamepatwa na nini hadi kuingia kwenye mikoa yenye udumavu wa akili kama Dodoma, Tabora kwa kutopenda kubadilikaNi kama Lissu kamaliza ngome zote za CCM.
Sehemu atakayochuana kura na magu ni Dodoma.
Wagogo mnisamehe kwanini mpo nyuma hivi?
TakbirrHiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Baghosha...![emoji23][emoji23][emoji23]
Siandiki waraka hapa.
Kwakifupi Leo watu wa Mwanza wameamua kuonesha hisia zao za kumpenda Rais Tundu Lissu usiku huu kwa kuandamana hadi alipofikia.
Maelfu ya watu hawa yanaibua hisia kali juu ya kile kinachosemwa serikali hii imefanya mambo makubwa.
Sasa kwa hali hii ya Leo inaonesha watu kutaka mabadiliko ambayo wapo tayari kufanya chochote ili hali HAKI inatendeka.
Ila Mwanza HAPANA[emoji23][emoji23][emoji23] Mtaua wazee wa watu.
View attachment 1580967