Hatutakubali sasa basi.Wagogo wako nyuma kwa sababu ni Wagogo kama Ndugai dhaifu fundi wa kutumia rungu hata kushinda Ubunge halafu bado wanampitisha bila kupingwa. Mpinzani wake Lissu amejichimbia Dodoma badala ya Dar es Salaam kuandaa mbinu za kutangazwa mshindi maana NEC watatangaza matokeo ya Uchaguzi toka Makao Makuu. CCM pia wapo hapo na leo Katibu Mwenezi amejaribu kujibu hoja zilitolewa kwenye kampeni kwa taarifa ya yaliyojiri Bungeni lililofungwa miezi mitatu iliyopita.
TISS wenyewe wameshajua kuwa bora waende na lissu kuliko yule mkatili wa Chato. Wameshaamua sasa wanataka kuitengeneza nchi bora yenye furaha na wako tayari kufanya kazi na LissuHiyo sahau, hawezi hawezi tena.
Walipo wanapanga wizi wa kura tu
Hata NEC ingekuwa Chato. Mwaka huu hakuna wa kumbeba magufuli. Enough is enoughHatutakubali sasa basi.
Afu wamefanya trick NEC kuwa Dodoma.
Ikiwa Dar pangenuka kisawasawa.
Dodoma hamna hamsha hamsha kubwa ila tutatuma ujumbe nchi nzima kura zikiibwa.
Mwaka huu hakuna habari za kumwachia Mungu yaani.Wakimwachia Mungu tena mwaka huu utakuwa ndo mwisho wangu wa kupiga kura kwenye dunia hiiKule Dodoma sijui wana hali gani akina haraka haraka na mtu wao. Hii imevuraga kabisa mkutano wao wa kesho huko watakakofanyia, mtawasikia wakisema vitu visiyo eleweka na hata kuvunja sheria za uchaguzi kutokana na panic. Katika panic hiyo wanaweza kuahidi hata kuanza ujenzi wa roketi kubwa (Satellite) na kulirusha anga za mbali ili kumonitor nyendo za wapinzani
Huoni aibu mjinga kuwa peke yako???😂😂😂Sasa umepata nini kwa vijineno hivi?
Tundu Antiphas Lissu ameshasema akiingia madarakani hakuna polisi, mwanajeshi, afisa usalama au askari magereza atakayepoteza kazi yake au cheo chake!!! Kwa iyo hadi sasa vyombo vya ulinzi na usalama Viña uhakika na maisha yao.Sisiemu wanatakiwa waelewe mda umewaacha walizoea propaganda za kijinga Mara kibaraka Mara beberu yaani wanajidanganya maana wa Tzn wa sasa sio wale wa enzi zao saizi ni kizazi kipya.
Watu wanataka maisha mazuri na Uhuru wa kujieleza sasa waliomdanganya Jiwe ndio wajiandae kukaa pembeni in case akichomoa ingawa kwa mazingira ya uhalisia hawezi chomoa kwenye sanduku la kura.
Ni vyema mh.rais mtarajiwa aanze kuwaandaa kisaikolojia na kuwahakikishia vyeo vyao wajeda na vyombo vingine vya usalama ili wawe tayari kusimamia zoezi la kukabidhiana madaraka na kuwahakikishia makundi mengine yenye hofu hasa ya ccm maana ni dhahiri wananchi wameamua.Jiwe asiwe na wasiwasi makaburi hayatafukuliwa Lusu sio wa visasi Kama yeye.
Halafu Kuna mapimbi huwa yanasema kanda ya ziwa ni ngome ya jiweHiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Baghosha...![emoji23][emoji23][emoji23]
Siandiki waraka hapa.
Kwakifupi Leo watu wa Mwanza wameamua kuonesha hisia zao za kumpenda Rais Tundu Lissu usiku huu kwa kuandamana hadi alipofikia.
Maelfu ya watu hawa yanaibua hisia kali juu ya kile kinachosemwa serikali hii imefanya mambo makubwa.
Sasa kwa hali hii ya Leo inaonesha watu kutaka mabadiliko ambayo wapo tayari kufanya chochote ili hali HAKI inatendeka.
Ila Mwanza HAPANA[emoji23][emoji23][emoji23] Mtaua wazee wa watu.
View attachment 1580967
Ni vizuri huu ushauri ukajipa weweNarudia kusema kuna watu humu baada ya tarehe 28/10/2020 watakufa kwa presha .
Nyie endeleeni kujipa matumaini hewa.
KabisaTakbirr
Allah Akbar
Inn shaa Allah Mara hii tunakwenda kupata rais muadilifu ambae hata watesa mashekh wetu na watanzania kwa ujumla
Ewe Mola wa haki tunakuomba umlinde huyu kiongozi wetu muadilifu dhidi ya yule katili Pombe na genge lake
Ewe Mola wa maajabu onyesha maajabu safari hii lissu ashinde dhidi ya yule katili Pombe
Tumechoka kutawaliwa na dikteta
We can't breathe
Waandamanaji wanasikika wakiimba: Lissu, Lissu, Lissu, Lissu... Mwaka huo uliotaja Lissu alikuwepo?!!Video yamwaka 1905 hii
Eti na ccm?Pale Genge la nyumbu linapokaa chini ya miundo mbinu mizuri iliyojengwa na ccm wakitiana ujinga.
Professor Magufuli promised the opposition will die out by 2020 (and worked so hard to achieve it).
Result? It doubled.
I now understand why he says these large crowds are "fake". You can't spend 5 yrs repressing people's basic freedoms and still expect to win their hearts and minds or else you are so dumb
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wana mdanganya za mwaka juzi [emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja sasa waibe waone lazima battery ichomilewe
Namukipindua matokeo nchi haitawaliki tena tuna anza na nyinyi kwanzaAnaepiga kura siye amtangazae rais
Wananchi hawaelewi ujue wamazidi kumfuata Masiha wa Tanzania.Sisiemu wanatakiwa waelewe mda umewaacha walizoea propaganda za kijinga Mara kibaraka Mara beberu yaani wanajidanganya maana wa Tzn wa sasa sio wale wa enzi zao saizi ni kizazi kipya.
Watu wanataka maisha mazuri na Uhuru wa kujieleza sasa waliomdanganya Jiwe ndio wajiandae kukaa pembeni in case akichomoa ingawa kwa mazingira ya uhalisia hawezi chomoa kwenye sanduku la kura.
Ni vyema mh.rais mtarajiwa aanze kuwaandaa kisaikolojia na kuwahakikishia vyeo vyao wajeda na vyombo vingine vya usalama ili wawe tayari kusimamia zoezi la kukabidhiana madaraka na kuwahakikishia makundi mengine yenye hofu hasa ya ccm maana ni dhahiri wananchi wameamua.Jiwe asiwe na wasiwasi makaburi hayatafukuliwa Lusu sio wa visasi Kama yeye.
Ahahahahahhaahha Soyuz..acha hizo bro..maisha tu haya!Kule Dodoma sijui wana hali gani akina haraka haraka na mtu wao. Hii imevuraga kabisa mkutano wao wa kesho huko watakakofanyia, mtawasikia wakisema vitu visiyo eleweka na hata kuvunja sheria za uchaguzi kutokana na panic. Katika panic hiyo wanaweza kuahidi hata kuanza ujenzi wa roketi kubwa (Satellite) na kulirusha anga za mbali ili kumonitor nyendo za wapinzani