Uchaguzi 2020 Jiji la Mwanza lasimama usiku kwa ujio wa Tundu Lissu - Septemba 25

Hatutakubali sasa basi.

Afu wamefanya trick NEC kuwa Dodoma.

Ikiwa Dar pangenuka kisawasawa.

Dodoma hamna hamsha hamsha kubwa ila tutatuma ujumbe nchi nzima kura zikiibwa.
 
Hatutakubali sasa basi.

Afu wamefanya trick NEC kuwa Dodoma.

Ikiwa Dar pangenuka kisawasawa.

Dodoma hamna hamsha hamsha kubwa ila tutatuma ujumbe nchi nzima kura zikiibwa.
Hata NEC ingekuwa Chato. Mwaka huu hakuna wa kumbeba magufuli. Enough is enough
 
Mwaka huu hakuna habari za kumwachia Mungu yaani.Wakimwachia Mungu tena mwaka huu utakuwa ndo mwisho wangu wa kupiga kura kwenye dunia hii
 
Sisiemu wanatakiwa waelewe mda umewaacha walizoea propaganda za kijinga Mara kibaraka Mara beberu yaani wanajidanganya maana wa Tzn wa sasa sio wale wa enzi zao saizi ni kizazi kipya.
Watu wanataka maisha mazuri na Uhuru wa kujieleza sasa waliomdanganya Jiwe ndio wajiandae kukaa pembeni in case akichomoa ingawa kwa mazingira ya uhalisia hawezi chomoa kwenye sanduku la kura.
Ni vyema mh.rais mtarajiwa aanze kuwaandaa kisaikolojia na kuwahakikishia vyeo vyao wajeda na vyombo vingine vya usalama ili wawe tayari kusimamia zoezi la kukabidhiana madaraka na kuwahakikishia makundi mengine yenye hofu hasa ya ccm maana ni dhahiri wananchi wameamua.Jiwe asiwe na wasiwasi makaburi hayatafukuliwa Lusu sio wa visasi Kama yeye.
 
Tundu Antiphas Lissu ameshasema akiingia madarakani hakuna polisi, mwanajeshi, afisa usalama au askari magereza atakayepoteza kazi yake au cheo chake!!! Kwa iyo hadi sasa vyombo vya ulinzi na usalama Viña uhakika na maisha yao.

Jiwe ajiandae tu kutoka ikulu!
 
Halafu Kuna mapimbi huwa yanasema kanda ya ziwa ni ngome ya jiwe
 
Kabisa

Waislamu wote twende na lissu tukawatoe masheikh wetu waliobambikiwa kesi.
 
Mihemko tuu hiyo, CCM itashinda kwa kishindo

JPM 2020-2025
CCM 5 TENAAA
 
Pale Genge la nyumbu linapokaa chini ya miundo mbinu mizuri iliyojengwa na ccm wakitiana ujinga.
Eti na ccm?

Hizo hela si za wananchi au ccm mna bank ya pesa zenu sio?

Kujenga uwanja wa ndege chato na mahoteli makubwa kuhamishia mbuga huko na sasa mnataka kujenga kiwanja cha kimataifa cha mpira ndio maendeleo wananchi wanayataka?

Mtajua hamjui huu mwaka.
 

Are you an European by the way?
 
Wana mdanganya za mwaka juzi [emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja sasa waibe waone lazima battery ichomilewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mzee yule anapoketi kuangalia nyomi La lissu YouTube nahisi kila muda wanamuokota kazima chini kwa kupaniki.
 
Wananchi hawaelewi ujue wamazidi kumfuata Masiha wa Tanzania.

LISSU NI MASIHA WA TANZANIA.
 
Ahahahahahhaahha Soyuz..acha hizo bro..maisha tu haya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…