Jiji la Mwanza lifanyiwe mabadikliko

Jiji la Mwanza lifanyiwe mabadikliko

Mwanza Kwenye Barabara Imesahaulika Hadi Inatia Huruma, mfano ukiwa unatoka Shinyanga ukifika mpakani mwa Shinyanga na Mwanza baaaasi hadi rangi ya barabara inabadilika

Mwanza ina barabara mbovu pengine kuliko majiji yote Tanzania.

Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Inasikitisha sana halafu, anakuja kiongozi anataka tumchekee tu bila kujali mahitaji yetu ya msingi kama hayo, barabara ya kenyatta imekuwa kama ulimi wa mbwa au mkia wa kondoo, jiji kubwa limejengeka lakini serikali imetususa sijui kwanini? Wabunge wanalia kila mwaka lakini hakuna wakuwasikiliza.
 
Uki fanya analysis ya square mita za lami za Mji wa Musoma Town na Revenue Collection ya Musoma Vs Square mita za lami za mitaa Mwanza na Revenue Collection ya Mwanza na uki linganisha ubora wa barabara zao. Musoma are much better than Mwanza. Shinyanga Road na Musoma Road. Siyo za Jiji la Mwanza hizo ziko chini ya Wizara ya Ujenzi usi zihesabu. Uta ona how hopeless the City is.
Siwezi kupinga mkuu, upo sahihi kabisaa.
 
Huo ndio ukweli.
Tena ile main Road ya Mwanza..kuanzia NELA hadi Airport siyo pesa za Jiji. Bali Magufuli alichukua hela za Watanzania wote za sherehe za Uhuru na kuzipeleka kujenga hiyo barabara. Jiji kama jiji na TANROADS Mwanza ni mchwa wa kula hela tu. Hakuna wanachofanya.
Hao tanroad na tarura ndio wanaotuangusha pia viongoi wetu wengi hawajali kabisaa, chochote kwao ni sawa tu.
 
Mwanza ukiacha barabara mbovu is the most dark city nchini [emoji1][emoji1] barabara kuu zote taa hazifanyi kazi

Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Ukiwa shinyanga usiku na ukija mwanza usiku utasema, shy ndio town na mwanza naenda kijijini kwasababu ya taa za barabarani, Mwanza kupewa taa au marekebisho ya taa za barabarani imekuwa kama hanasa.
 
Mimi nishauri ili jam ipungue jijini Mwanza wangetengeneza ile barabara ya mkuyuni kutokea Mwatex au kwa jina la Nilepirch road inge saidia sana maana mtu anaenda kuanzia mitaa ya neshno,mwatex,Igoma na kuendelea nilazima aingie mjini ndipo atoke kwenda hayo maeneo sasa inakuwa jam sana wakati angeingilia mkuyuni angetokea huko huko tu.
 
Sasa what is the use of kuweka taa Kenyatta wakati wana mpango wa kuipanua

Watazing'oa? Au itakuaje [emoji1]

Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Ukiona hivyo hakuna barabara itakayojengwa hapo, serikali hii ya hovyo sana, Mwanza imekuwa kama kijijini, ukiuliza wanakuambia wapo kwenye feasibility study.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaa umejaa chuki musoma inamtandao mkubwa wa rami kuzidi mwanza

Musoma ipi hii ya machinjion,nyasho,kariakoo,nyakato airport hadi kule tembo[emoji1787]

Hivi mwanza unaijua au ulikuja kwa shemeji yako siku mbili tatu

Unaujua umbali wa kutoka kanyama-buhongwa
Buhongwa-airport
Nyegezi-luchelele
Mjin-igelegele
Mjin-nyashana
Mjini-bugando
Mjini-mji mwema
Mji mwema-kiloleni
Mjini-buswelu
Mjini-kahama
Mjini-ibanda
Mjini-nyasaka
Mjini-nyasaka ppf
Mjini-nyamadoke
Sabasaba-buswelu
Iloganzara-bwiru
Mjini-bwiru
Kona ya bwiru-kitangiri
Kitangiri-ibanda
Ibanda-mihama
Jiwe kuu-bwiru
Sabasaba-Ilemela-tunza-malaika hadi kona ya igombe

Buzuruga-mwananchi
Buzuruga-shule-nyasaka-maduka tisa-kiloleni-bigbite-kilimahewa hadi kona ya bwiru

Nyakato-Bismarck
Nyakato sokoni-mecco hadi Buzuruga shule
Nyegezi-majengo mapya
Mission-magomeni-kitangiri


Hapa nimekujibu kiufundi zaidi, ulivyoiweka musoma juu ya mwanza nimekuona wewe ni wakuja[emoji1]

Nimetaka kusahau hapo voil kuna njia ya kuzunguka inaanzia pale pepsi-igogo-mchafu kuoga hadi voil bila kusahu mkuyuni hadi butimba

Kama huu Mtandao wa barabara ya lami ni mdogo kwa musoma[emoji1787][emoji1787] na hayo majiji makubwa ya Tanzania yaani tanga,arusha,mbeya na dodoma basi utakua na chuki sio bure


Ukikohoa narudia
Well,, 90% ya barabara ulizotaja ziko manispaa ya Ilemela,,

Tizama aibu ya Nyamagana

Igoma-Kishili
Bango-Buhongwa
Kishili-Fumagila
Mwatex-Mahina
Mahina-Nyegezi
Sahwa-Buhongwa
Huku kote barabara hazipitiki hasa wakati wa mvua hii ni aibu,,
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaa umejaa chuki musoma inamtandao mkubwa wa rami kuzidi mwanza

Musoma ipi hii ya machinjion,nyasho,kariakoo,nyakato airport hadi kule tembo[emoji1787]

Hivi mwanza unaijua au ulikuja kwa shemeji yako siku mbili tatu

Unaujua umbali wa kutoka kanyama-buhongwa
Buhongwa-airport
Nyegezi-luchelele
Mjin-igelegele
Mjin-nyashana
Mjini-bugando
Mjini-mji mwema
Mji mwema-kiloleni
Mjini-buswelu
Mjini-kahama
Mjini-ibanda
Mjini-nyasaka
Mjini-nyasaka ppf
Mjini-nyamadoke
Sabasaba-buswelu
Iloganzara-bwiru
Mjini-bwiru
Kona ya bwiru-kitangiri
Kitangiri-ibanda
Ibanda-mihama
Jiwe kuu-bwiru
Sabasaba-Ilemela-tunza-malaika hadi kona ya igombe

Buzuruga-mwananchi
Buzuruga-shule-nyasaka-maduka tisa-kiloleni-bigbite-kilimahewa hadi kona ya bwiru

Nyakato-Bismarck
Nyakato sokoni-mecco hadi Buzuruga shule
Nyegezi-majengo mapya
Mission-magomeni-kitangiri


Hapa nimekujibu kiufundi zaidi, ulivyoiweka musoma juu ya mwanza nimekuona wewe ni wakuja[emoji1]

Nimetaka kusahau hapo voil kuna njia ya kuzunguka inaanzia pale pepsi-igogo-mchafu kuoga hadi voil bila kusahu mkuyuni hadi butimba

Kama huu Mtandao wa barabara ya lami ni mdogo kwa musoma[emoji1787][emoji1787] na hayo majiji makubwa ya Tanzania yaani tanga,arusha,mbeya na dodoma basi utakua na chuki sio bure


Ukikohoa narudia
Nimezaliwa na kukua na kuishi Mwanza, we jamaa unaijua Mwanza nje ndani, mtoa mada angetulia akapata A,B,C kwanza maana ana argue na mtu anaujua mji kindaki ndaki, kuna mitaa na barabara umezitaja hapo ni mitaa ya home kabisa 😀
 
Naomba nimuombe Rais ikimpendeza afanye mabadiliko makubwa kwa Jiji la Mwanza. Mwanza ni jiji lakini miundombinu yake haina hadhi ya JIJI lolote duniani.

Barabara za mitaa ni tope, makorongo, mtandao wa Lami za mitaa Mwanza ina zidiwa na Manispaa nyingi Tz. Main Roads zipo chini ya Kiwango cha ubora. No strategic plans (wana weka nguzo za taa wakati kuna mkakati wa kupanua barabara). Majengo makubwa hadi VOIL yanajengwa karibu na barabara bila zuio la upanuzi. Barabara ni finyu. Jiji kubwa barabara kubwa ni njia 2 kweli? No alternative routes, kuingia jijini!! Hapa: TANROADS, TARURA, MIPANGO MIJI, ARDHI wakuu wa vitengo wote, Rais piga chini...wapeleke NIDA.

Maji: Mwanza ime zungukwa na Ziwa pande zote ila mgao wa Maji ni mkali kuliko Shinyanga. Wanazalisha lita million 90 kwa siku wakati mahitaji ni lita million 160 kwa siku. Je hawakujua? Je hawajui population growth rate na growth rate ya jiji? Hawa kujipanga? Masoko: masoko ya hili jiji hayana hadhi ya Jiji. Ni ya hovyo. Maji machafu , giza na tope ndio sifa kuu.

Vyombo vya Usalama naomba msaidieni mama kufanya kazi. Uzembe wa hovyo ni mwingi. Pelekeni taarifa kwa wakati.

Katika majiji yote nadhani mbeya ndio jiji la kwanza kuwa jiji la mchongo
 
Naomba nimuombe Rais ikimpendeza afanye mabadiliko makubwa kwa Jiji la Mwanza. Mwanza ni jiji lakini miundombinu yake haina hadhi ya JIJI lolote duniani.

Barabara za mitaa ni tope, makorongo, mtandao wa Lami za mitaa Mwanza ina zidiwa na Manispaa nyingi Tz. Main Roads zipo chini ya Kiwango cha ubora. No strategic plans (wana weka nguzo za taa wakati kuna mkakati wa kupanua barabara). Majengo makubwa hadi VOIL yanajengwa karibu na barabara bila zuio la upanuzi. Barabara ni finyu. Jiji kubwa barabara kubwa ni njia 2 kweli? No alternative routes, kuingia jijini!! Hapa: TANROADS, TARURA, MIPANGO MIJI, ARDHI wakuu wa vitengo wote, Rais piga chini...wapeleke NIDA.

Maji: Mwanza ime zungukwa na Ziwa pande zote ila mgao wa Maji ni mkali kuliko Shinyanga. Wanazalisha lita million 90 kwa siku wakati mahitaji ni lita million 160 kwa siku. Je hawakujua? Je hawajui population growth rate na growth rate ya jiji? Hawa kujipanga? Masoko: masoko ya hili jiji hayana hadhi ya Jiji. Ni ya hovyo. Maji machafu , giza na tope ndio sifa kuu.

Vyombo vya Usalama naomba msaidieni mama kufanya kazi. Uzembe wa hovyo ni mwingi. Pelekeni taarifa kwa wakati.

Acha makasiriko chief
Mwanza ni jiji zuri sana ukiondoa jiji la Dar kwa mtazamo wangu ndilo linafuatia
Ila linahitaji maboresho tu kama ilivyo kwa miji mingine
 
Nimezaliwa na kukua na kuishi Mwanza, we jamaa unaijua Mwanza nje ndani, mtoa mada angetulia akapata A,B,C kwanza maana ana argue na mtu anaujua mji kindaki ndaki, kuna mitaa na barabara umezitaja hapo ni mitaa ya home kabisa [emoji3]
Niko mwanza toka 2002. 21 yrs. Sema ume simuliwa uongo na uka amini uongo. Luchelele aliyo taja hakuna lami.
Bugando lami yake ime jengwa kwa ufadhili, tena Romani C. Na lami yenyewe imeishia hapo Hosp ya Bugando tu

Muulize kuna mtaa wa Nyamagana kataja hapo[emoji3][emoji3]
 
Niko mwanza toka 2002. 21 yrs. Sema ume simuliwa uongo na uka amini uongo. Luchelele aliyo taja hakuna lami.
Bugando lami yake ime jengwa kwa ufadhili, tena Romani C. Na lami yenyewe imeishia hapo Hosp ya Bugando tu

Muulize kuna mtaa wa Nyamagana kataja hapo[emoji3][emoji3]
Nyie watu wa nyamagana mnapenda kuiexclude ilemela kwenye jiji la Mwanza... ilemela ni mwanza ko usianze kutafuta Chaka eti barabara ni za ilemela sio nyamagana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom