Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
umenikumbusha mbali miaka 2 nyuma kabla sijaoa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu mpya wanapendanaMama yake yuko wapi?
Pamoja mkuu...
Itabidi tupate session ya kipindi chetu cha mapishi pale wasafi tv[emoji23]
huyo hashindwi kuacha mboga jikoni na kuwahi papuchiMkuu akili ya zero mbele ya wadada, hapo atatelekeza msosi na washkaji akimbilie huko[emoji3] [emoji3] [emoji3] Zero IQ
Hahaaa, akirudi mboga imegeuka mkaa(imeungua) zeroo na wadada dam damu[emoji3] [emoji3]huyo hashindwi kuacha mboga jikoni na kuwahi papuchi
Heshima yako mkuu sifuri [emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Aiseeeeeeee
Asubuhi yote hii mkuu??[emoji16][emoji16][emoji16] Aiseeeeeeee ata hivyo nimetoka kuchakata papuchi muda si mrefu
Heri kwake na kwako pia.Kuna mtu mpya wanapendana
hyo kitimoto imetoka wp? mbn kwenye maandilizi haikuepo4:View attachment 1170360
Maandalizi ya kupika mboga yanaendelea
ngoja nikazie hapoda! wanaume wa dar mnaendekeza papuchi kuliko kula hako ndio kaugali mnakula na wenzako,huo msosi ni wa njemba moja ya mkoa tena anaweza asishibe
Mambo yalikua yante yante arifu bila kusahau bulubandi
Tushaosha vyombo.babulai View attachment 1170742
Wa Arusha wanakuambia "hatuli kushiba tunakula kumaliiii....kumaliza"ngoja nikazie hapo
watu wa mikoa ya kanda ya ziwa huo n mlo wa mtoto
Nashukuru sana mkuu mama la mama KasieZero IQ nimevutiwa na mapishi yako, naomba nikuunge wajihi hatua kwa hatua za mapishi na Kasie Makorokocho.
View attachment 1171237
Viungo vunakaangwa tayari kwa kupondwa kupata ungainly wa pilau.
View attachment 1171239
Vitunguu swaumu vichanga napenda kutumia hivi maana si vikali sana.
View attachment 1171241
Vitunguu maji na viazi hapo bado kukatwa na kuwekwa kwenye sefuria.
View attachment 1171243
Mchele ushachambuliwa.... Tayari kupikwa, huwa sioshi mchele kama nakula pilau Ila nikipika wali kwenye rice cooker huwa nauosha.
View attachment 1171246
Njegere hapo ntatumia mkono mmoja tuu na karoti ntaikata size ya nusu kidole vyembamba virefu. Shurti pilau liwe na rangi.
View attachment 1171251
Nyama inachemka na maji mengii ili ikiiva supu ndo maji ya kupikia pialu. Huwa sichemshi maji pembeni labda kama napika pilau ya mboga mboga au ya mayai.
View attachment 1171253
Pilau imeiva, tayari kupakuliwa.
View attachment 1171257
Kachumbari iko tayari...
View attachment 1171258
View attachment 1171259
Maji ya chungwa na mbegu zake... DIY...hand made.
K' Chief Matata.
Mengine sikuingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Changamsha mikono hiyo mkuu,,njaa kali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Napika mkuu, ila ngoja niibie mbinu kwanza ili nichanganye na zangu...Mkuu wewe hupiki?Mbona sijaona ukitupia mapicha ya sotojo.