Jikumbushe Madokta na Maprofesa hawa

Dr. Chungu tajiri wa CoET kafa majuzi-R. I. P
 
Hamza Njozi ni prof kwa sasa
 
1.dr kessy (political science)

2.prof. Kezilahabi
3.prof.tambila
4.prof.ruanda
5.prof.senkoro
6.prof.kilian
7.prof.mkangara
8.prof. Kassim gululi (rip) etc
 
1.dr kessy (political science)

2.prof. Kezilahabi
3.prof.tambila
4.prof.ruanda
5.prof.senkoro
6.prof.kilian
7.prof.mkangara
8.prof. Kassim gululi (rip) etc

Tambila huyu daah....huyu mzee darasa let haliwez kumsahau. Alitaka kutufanya kitu mbaya tukiwa mwaka wa mwisho
Cc#mkoroshokigoli
 
Prof. Kivaisi- Phy, Prof. Shayo- Maths, Prof. Ndaalio- Chem, Dr. Shija ( nadhani alikwishakuwa Prof.)- Phy, Prof.Sembuche- Maths, Prof. Shao DS,of. Prof. Malekela- Eduation, Dr. Biswalo. , Dr. Bilal- Phy . Jamani wengine wametngulia mbele ya haki R.I.P
 

Du! Hawa wote walikuwa wanatajwa tu kwenye Lecture za Profesa Rwekaza Mukandala na Profesa Max Mmuya na tulifanya baadhi ya review ya vitabu vyao.
 
1. Professor Peter Kopoka
2. Professor Baradyana
3. Dr Ami
4. Dr Urassa
5. Dr Tumsifu
6. Dr Ester Matiko
 
Pamoja na sifa lukuki na kazi kubwa walizozifanya kitaifa na kimataifa,je itakuwa sikuwatendea haki kama nikisema hawakutufanyia vizuri,kama wangefanya vizuri leo hatungekuwa ktk huu mkorogano wa katiba..kadhi na mahakama...maandamano....siasa maji taka.....bunge la mipasho na ndiyooooo
 
1. Professor Peter Kopoka
2. Professor Baradyana
3. Dr Ami
4. Dr Urassa
5. Dr Tumsifu
6. Dr Ester Matiko
oooh kumbe ameshakuwa prof.wakati ananifundisha DS alikuwa dr.,heshima yake huyo mzee.alinijengea uwezo mzuri sana wa kuelewa maswala ya kimaendeleo duniani.
 
Professor Mtatifikolo
Professor Ibrahim Juma
Professor Hassan Mlawa
Professor Ayoub Ryoba
Professor Bashiru Ally
Professor Benson Bana
Professor Nkonoki RIP
Professor Kapunda
 
Kuna Maprofesor na Ma doctor wa Muhimbili University ambao nao ni wakali balaa
1. Prof. Leshabar
2. Prof. Kileo
3. Prof. Mujinja
4. Dr. Kazaura (mzee wa Bio statistics)
5. Dr. Moshiro
6. Dr. Mpembeni
7. Prof. Kiwara (mzee wa Policy)
8. Prof. Mnyika
9. Prof. Simba
Mnaweza kuendelea kuwataja wengine, Lakini hawa wanatisha kwenye maeneo yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…