hahahaha Research Methodologies? Alikuwa ananifurahisha sana...Pale Nkrumah alikuwa hataki watu wakae kule juuyap, pia nimepitia kwenye mikono ya Sansa, Makulilo, Bashiru Ally, Audax Kweyamba, dr Rev Mogela, prof Munishi, Dr Benson Bana, Rwekaza Mukandala nk. unamkumbuka DR LYMO wa AS?