JIKUMBUSHE (VIDEO): Tundu Lissu akisambaratisha hoja za watetezi wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar usio na ridhaa ya wananchi

JIKUMBUSHE (VIDEO): Tundu Lissu akisambaratisha hoja za watetezi wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar usio na ridhaa ya wananchi

The Palm Beach

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
1,967
Reaction score
4,267

Anaanza kwa kukaribishwa na "Hangaya" kwa sauti nyororo ya Kizanzibari...

Lakini all in all, nasema..;

Huyu jamaa ni mtukutu sana. Anapiga nyundo sadistically kiasi cha kukera sana...!

Lakini ndo hivyo tena. Ukweli uliofichwa kwa nia ovu, ukifichuliwa na kuwekwa wazi, huwaudhi waliokuwa wameuficha...

Lakini on the other hand huyu jamaa ni jasiri sana vile vile...

Anaweza kufanya jambo ambalo wengine wote mnaweza kugwaya kulifanya. Lakini kwake hupita hapohapo bila kuogopa lolote...

Huyu jamaa ni msomi kwelikweli na ni mzalendo kwelikweli. Ufahamu na uelewa wake unampa kutawala fikra za watu. Kumbe ni kweli kabisa, KNOWLEDGE IS POWER..

Huyu jamaa hana longo longo, haogopi kumchana chana yeyote kwa hoja mpaka utainamisha kichwa chini kwa aibu...

Kwenye picha ya video hii nawaona wana CCM nyundo zikiingia sawasawa kiasi cha kuona aibu wenyewe hata kuinamisha vichwa vyao chini..

Lakini wafanyeje sasa? Ni bora mkono uende kinywani. Mambo mengine yatajiju.. haa haa haa...!!

We miss you Tundu Lissu...!!
 
View attachment 2404531
View attachment 2404531
Huyu jamaa ni mtukutu sana.

Huyu jamaa ni jasiri sana.

Huyu jamaa ni msomi kwelikweli na ni mzalendo kwelikweli.

Huyu jamaa hana longo longo, haogopi kumchana chana yeyote kwa hoja mpaka utainamisha kichwa chini kwa aibu.

Kwenye picha ya video hii nawaomba wana CCM mpaka wanaona aibu na kuinamisha vichwa chini.

We miss you Tundu Lissu.
Huyu jamaa ni kichwa kweri kweri ! Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. !!
 
View attachment 2404531
View attachment 2404531
Huyu jamaa ni mtukutu sana.

Huyu jamaa ni jasiri sana.

Huyu jamaa ni msomi kwelikweli na ni mzalendo kwelikweli.

Huyu jamaa hana longo longo, haogopi kumchana chana yeyote kwa hoja mpaka utainamisha kichwa chini kwa aibu.

Kwenye picha ya video hii nawaomba wana CCM mpaka wanaona aibu na kuinamisha vichwa chini.

We miss you Tundu Lissu.
Presentation kuntu👌
Walimchukia kwa kuwa haamini kwenye u CHAWA
 
Hakuna mzalendo kama yeye
Kwenye siasa wengine huwa hawapendi au hawampendagi MTU anayeongea ukweli ulio dhahir !! Sijui tabia hii ni yetu huku dunia ya tatu au hii chuki huwa ipo duniani kote !! Tabia hii ya kuongea ukweli ulio dhahir imeshawaponza watu wengi kuingia kwenye matatizo na wale wasiopenda kuusikia ukweli !! Hatar sn !!!
 
View attachment 2404531

Huyu jamaa ni mtukutu sana.

Huyu jamaa ni jasiri sana.

Huyu jamaa ni msomi kwelikweli na ni mzalendo kwelikweli.

Huyu jamaa hana longo longo, haogopi kumchana chana yeyote kwa hoja mpaka utainamisha kichwa chini kwa aibu.

Kwenye picha ya video hii nawaomba wana CCM mpaka wanaona aibu na kuinamisha vichwa chini.

We miss you Tundu Lissu.
huyu jamaa ni kichwa sana basi tu nadhani hakwenda mahali sahihi tu.tujitafakari sisi wengine.
 
Kwa sasa ndio naelewa kwanini Yesu aliuwawa wakati alikuwa anasema kweli
Hata wewe jaribu uanze kuongea kila kitu cha ukweli mtupu utachikiwa na na watu wengi wabaya !! Na duniani watu wabaya wakorofi ndio wengi !! Lakini utapendwa na wema na Mungu atakupenda pia na atakulinda !!
 
Back
Top Bottom