Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ndiyo maana wale waoga wa kukosolewa waliamini risasi ndiyo njia sahihi ya kumnyamazishaHuyu jamaa ni kichwa kweri kweri ! Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana wale waoga wa kukosolewa waliamini risasi ndiyo njia sahihi ya kumnyamazishaHuyu jamaa ni kichwa kweri kweri ! Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. !!
Wangejifunza wenye akili hizo kwamba hoja huzimishwa kwa hoja na wala sio kwa mabavu wala kwa matusi. !!Ndiyo maana wale waoga wa kukosolewa waliamini risasi ndiyo njia sahihi ya kumnyamazisha
Nilishauri na nashauri tena, tusilinganishe vitu visivyo fanana!. Tusimcopee TL na ZZK, compare like people and like things, TL ni level ya JPM not ZZK!.
HAPANA..Nilishauri na nashauri tena, tusilinganishe vitu visivyo fanana!. Tusimcopee TL na ZZK, compare like people and like things, TL ni level ya JPM not ZZK!.
P
Nimecheka hadi nimeharibu hali ya hewa na vioo vya Suzuki havifunguki na kuna mvua inanyesha 🤣🤣🤣🤣🤣4. Kiwango chake cha uelewa wa mambo ya kitaifa na kimataifa..
= Hapa sasa ni kulinganisha mlima Kilimanjaro na Sekenke
= TL anaijua dunia. JPM alikuwa ni zero brain kwenye eneo hili. Na ukitaka kujifunza mambo ya dunia na ya nchi hii, TL anaweza kuwa mwalimu wako mzuri sana..
Unajua ndugu kuna maoni na kusema vitu halisi ukiwa na justifications mkononi..Lisu Alimpa dadaye Ubunge
Aliwachaji Chadema mamilioni ya shilingi kwenye Kesi
Sasa analamba asali
Leo tunapo adhimisha miaka 60 ya huu muungano wetu adhimu, nafanya tafakuri, niliwahi kuandika nini humu kuhusu muungano wetu.Naunga mkono hoja na hili hata mimi nalitambua na niliisha m profile humu
Ukilinganisha vitu, linganisha vitu vinavyofanana, watu wanaofanana, usilinganisha mbingu na nchi au jua na mwezi!.
- Mifano ni hii Vurugu za Bungeni: Mhe.Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni Mtundu Toka Shule!.
- Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu!, Unammaliza Kabisa Hadi Ameshindwa Kazi!.
- Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!
- Unamjua aliyemshauri Lissu agombee urais?. Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
- Je ulijua Tundu Lissu alisita kurejea nchini hadi ahakikishiwe usalama wake?, unajua kina nani walimshauri arejee hivyo hivyo hata bila kuhakikishiwa usalama wake? Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!
- Lissu is very good kwa kujenga hoja ila pia ni binadamu na sio malaika, anaweza kukosea, mfano kwenye hili Lissu aliwaingiza chaka Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!
- Hakuna mtu anayefanikiwa peke yake, ukiona mtu kafanikiwa kwenye jambo fulani ujue kuna watu wamemsaidia alipaswa kuwashukuru Nyaraka za Muungano: Tundu Lissu kutoishukuru JF na Pasco maana yake nini?
P
Leo tunapo adhimisha miaka 60 ya huu muungano wetu adhimu, nafanya tafakuri, niliwahi kuandika nini humu kuhusu muungano wetu.
Nawatakia maadhimisho mema ya miaka 60 ya muungano wetu adhimu.
Ujumbe wangu ni muungano wetu adhimu udumu milele, na sasa ni muda muafaka tuachane na huu muungano wa kimaghumashi, wa union na federation, sasa twende kwenye muungano wa kweli wa union wa nchi moja, serikali moja, na rais mmoja!.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Tusaidie
P
Huyu jamaa wa kwenye katuni kama yule mchungaji "Mwalimu Mwakasege"Hii kichwa ilimsumbua sana Zuzu wa Taifa, akaona bora niisukumie moto, motoni akaanguka mwenyewe
View attachment 2404895
Mbona inajieleza kitu kitu, ni ramani ya Zanzibar.
Hivi kile Kivuko Kiko wapi Sasa!?..Magu alikuwa tapeli wa kisiasa.
..uliwahi kumsikia akitetea wanyonge au madini kabla hajawa raisi?
..miaka yote hiyo alikuwa mlamba asali ktk awamu ya Mkapa alipouza nyumba za serikali, na ktk awamu ya Kikwete aliponunua kivuko kibovu Mv Bagamoyo.
Kwamba hakiwezekani !?Pascall huwa anafanha uchokozi wa makusudi. Anafanya kitu anachojua.
Hotuba hii itaishi hadi itakapopatikana katiba ya wananchi.View attachment 2404531
Anaanza kwa kukaribishwa na "Hangaya" kwa sauti nyororo ya Kizanzibari...
Lakini all in all, nasema..;
Huyu jamaa ni mtukutu sana. Anapiga nyundo sadistically kiasi cha kukera sana...!
Lakini ndo hivyo tena. Ukweli uliofichwa kwa nia ovu, ukifichuliwa na kuwekwa wazi, huwaudhi waliokuwa wameuficha...
Lakini on the other hand huyu jamaa ni jasiri sana vile vile...
Anaweza kufanya jambo ambalo wengine wote mnaweza kugwaya kulifanya. Lakini kwake hupita hapohapo bila kuogopa lolote...
Huyu jamaa ni msomi kwelikweli na ni mzalendo kwelikweli. Ufahamu na uelewa wake unampa kutawala fikra za watu. Kumbe ni kweli kabisa, KNOWLEDGE IS POWER..
Huyu jamaa hana longo longo, haogopi kumchana chana yeyote kwa hoja mpaka utainamisha kichwa chini kwa aibu...
Kwenye picha ya video hii nawaona wana CCM nyundo zikiingia sawasawa kiasi cha kuona aibu wenyewe hata kuinamisha vichwa vyao chini..
Lakini wafanyeje sasa? Ni bora mkono uende kinywani. Mambo mengine yatajiju.. haa haa haa...!!
We miss you Tundu Lissu...!!
Wahafidhina wa Zanzibar watakubali!? Au ndio wataona wamemezwa Rasmi kwenye ukoloni wa Bara!?Leo tunapo adhimisha miaka 60 ya huu muungano wetu adhimu, nafanya tafakuri, niliwahi kuandika nini humu kuhusu muungano wetu.
Nawatakia maadhimisho mema ya miaka 60 ya muungano wetu adhimu.
Ujumbe wangu ni muungano wetu adhimu udumu milele, na sasa ni muda muafaka tuachane na huu muungano wa kimaghumashi, wa union na federation, sasa twende kwenye muungano wa kweli wa union wa nchi moja, serikali moja, na rais mmoja!.
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Tusaidie
P
Kwa kweli !View attachment 2404531
Anaanza kwa kukaribishwa na "Hangaya" kwa sauti nyororo ya Kizanzibari...
Lakini all in all, nasema..;
Huyu jamaa ni mtukutu sana. Anapiga nyundo sadistically kiasi cha kukera sana...!
Lakini ndo hivyo tena. Ukweli uliofichwa kwa nia ovu, ukifichuliwa na kuwekwa wazi, huwaudhi waliokuwa wameuficha...
Lakini on the other hand huyu jamaa ni jasiri sana vile vile...
Anaweza kufanya jambo ambalo wengine wote mnaweza kugwaya kulifanya. Lakini kwake hupita hapohapo bila kuogopa lolote...
Huyu jamaa ni msomi kwelikweli na ni mzalendo kwelikweli. Ufahamu na uelewa wake unampa kutawala fikra za watu. Kumbe ni kweli kabisa, KNOWLEDGE IS POWER..
Huyu jamaa hana longo longo, haogopi kumchana chana yeyote kwa hoja mpaka utainamisha kichwa chini kwa aibu...
Kwenye picha ya video hii nawaona wana CCM nyundo zikiingia sawasawa kiasi cha kuona aibu wenyewe hata kuinamisha vichwa vyao chini..
Lakini wafanyeje sasa? Ni bora mkono uende kinywani. Mambo mengine yatajiju.. haa haa haa...!!
We miss you Tundu Lissu...!!
Hata Yesu Kristo kwa kuwa mkweli ilimgharimu kifo lakini chake kifo kilikuwa cha faida kubwa kwa ulimwengu wote na kwa kila binadamu.Kwenye siasa wengine huwa hawapendi au hawampendagi MTU anayeongea ukweli ulio dhahir !! Sijui tabia hii ni yetu huku dunia ya tatu au hii chuki huwa ipo duniani kote !! Tabia hii ya kuongea ukweli ulio dhahir imeshawaponza watu wengi kuingia kwenye matatizo na wale wasiopenda kuusikia ukweli !! Hatar sn !!!
Tuungane kumu wish Tundu Lissu all the best kesho.Naunga mkono hoja na hili hata mimi nalitambua na niliisha m profile humu
Ukilinganisha vitu, linganisha vitu vinavyofanana, watu wanaofanana, usilinganisha mbingu na nchi au jua na mwezi!.
- Mifano ni hii Vurugu za Bungeni: Mhe.Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni Mtundu Toka Shule!.
- Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu!, Unammaliza Kabisa Hadi Ameshindwa Kazi!.
- Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!
- Unamjua aliyemshauri Lissu agombee urais?. Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
- Je ulijua Tundu Lissu alisita kurejea nchini hadi ahakikishiwe usalama wake?, unajua kina nani walimshauri arejee hivyo hivyo hata bila kuhakikishiwa usalama wake? Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!
- Lissu is very good kwa kujenga hoja ila pia ni binadamu na sio malaika, anaweza kukosea, mfano kwenye hili Lissu aliwaingiza chaka Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!
- Hakuna mtu anayefanikiwa peke yake, ukiona mtu kafanikiwa kwenye jambo fulani ujue kuna watu wamemsaidia alipaswa kuwashukuru Nyaraka za Muungano: Tundu Lissu kutoishukuru JF na Pasco maana yake nini?
P
Time fliesView attachment 2404531
Anaanza kwa kukaribishwa na "Hangaya" kwa sauti nyororo ya Kizanzibari...
Lakini all in all, nasema..;
Huyu jamaa ni mtukutu sana. Anapiga nyundo sadistically kiasi cha kukera sana...!
Lakini ndo hivyo tena. Ukweli uliofichwa kwa nia ovu, ukifichuliwa na kuwekwa wazi, huwaudhi waliokuwa wameuficha...
Lakini on the other hand huyu jamaa ni jasiri sana vile vile...
Anaweza kufanya jambo ambalo wengine wote mnaweza kugwaya kulifanya. Lakini kwake hupita hapohapo bila kuogopa lolote...
Huyu jamaa ni msomi kwelikweli na ni mzalendo kwelikweli. Ufahamu na uelewa wake unampa kutawala fikra za watu. Kumbe ni kweli kabisa, KNOWLEDGE IS POWER..
Huyu jamaa hana longo longo, haogopi kumchana chana yeyote kwa hoja mpaka utainamisha kichwa chini kwa aibu...
Kwenye picha ya video hii nawaona wana CCM nyundo zikiingia sawasawa kiasi cha kuona aibu wenyewe hata kuinamisha vichwa vyao chini..
Lakini wafanyeje sasa? Ni bora mkono uende kinywani. Mambo mengine yatajiju.. haa haa haa...!!
We miss you Tundu Lissu...!!