johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Lisu Alimpa dadaye Ubunge..Magu alikuwa tapeli wa kisiasa.
..uliwahi kumsikia akitetea wanyonge au madini kabla hajawa raisi?
..miaka yote hiyo alikuwa mlamba asali ktk awamu ya Mkapa alipouza nyumba za serikali, na ktk awamu ya Kikwete aliponunua kivuko kibovu Mv Bagamoyo.
Aliwachaji Chadema mamilioni ya shilingi kwenye Kesi
Sasa analamba asali