Blue Bahari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,851
- 2,171
Makongamano ndiyo wapi huko? Au ulikuwa unamaanisha Makongolosi?Kwa hiyo ule ujenzi unaoendelea kutoka Makongamano kwenda Tabora/Singida lami itapita angani?
Mlugo Yuko Jimbo la Songwe (Wilaya ya Songwe)Pili Je ni Kwa Kasaka au Kwa Mlugo?
Acha siasa. Bara bara ile inasababisha vifo Kila siku na vilemaHiyo section kuanzia Makongamano Hadi Rungwa itakuwa ya mwisho,very unfortunately Kwa wewe Jamaa wa huko polini.
Kasaka ni hewa 100%Makongamano ndiyo wapi huko? Au ulikuwa unamaanisha Makongolosi?
Mlugo Yuko Jimbo la Songwe (Wilaya ya Songwe)
Kasaka Yuko Jimbo la Lupa (Wilaya ya Chunya)
Sio niweke mkataba , Ujenzi unaendelea kutokea Mkiwa huko Singida 👇👇Weka tenda documents hapa za mradi.
Mkandarasi anaitwa nani?
Mradi ni kms ngapi?
Mradi ni Trilion ngapi?
Mradi ulianza lini?
Mradi unamalizika lini?
Mimi huwa nasikitishwa sana na ubora wa hizi barabara. Kwanini tunajenga basi kama hatuna hela ya kutosha, watu wasomi tunao lakini maamuzi yao ni hovyo kabisa. Kwa mkoa wa Mbeya imekua kawaida sasa kujenga barabara zenye ubora hafifu, kila siku ni kuziba mashimo tuu.Tena ni sehemu strategic kwenye maendeleo, kuna madini ya dhahabu, kuna kilimo cha zao la tumbaku, kuna ufugaji wa ng'ombe na kule mbele kama unaelekea Tabora kuna hifadhi zenye wanyama pori.
Ni aibu kwamba ile barabara kuu kabisa inayounganisha Mbeya na mikoa ya Tabora na Singida ni ya vumbi.
Kichekesho zaidi ni kile kipande 'kipya' cha lami kinachotokea mbeya mjini mpaka Chunya mjini, barabara haina hata muda mrefu imejaa mashimo ya kutisha. Mchina ametupiga pale, nchi shamba la bibi hili.
CCM ni adui mkubwa wa maendeleo ya nchi hiiTena ni sehemu strategic kwenye maendeleo, kuna madini ya dhahabu, kuna kilimo cha zao la tumbaku, kuna ufugaji wa ng'ombe na kule mbele kama unaelekea Tabora kuna hifadhi zenye wanyama pori.
Ni aibu kwamba ile barabara kuu kabisa inayounganisha Mbeya na mikoa ya Tabora na Singida ni ya vumbi.
Kichekesho zaidi ni kile kipande 'kipya' cha lami kinachotokea mbeya mjini mpaka Chunya mjini, barabara haina hata muda mrefu imejaa mashimo ya kutisha. Mchina ametupiga pale, nchi shamba la bibi hili.
Hizo wanaita sijui periodic maintenance ndiko wanakopiga pesa ndefu mkuuMimi huwa nasikitishwa sana na ubora wa hizi barabara. Kwanini tunajenga basi kama hatuna hela ya kutosha, watu wasomi tunao lakini maamuzi yao ni hovyo kabisa. Kwa mkoa wa Mbeya imekua kawaida sasa kujenga barabara zenye ubora hafifu, kila siku ni kuziba mashimo tuu.
Nina maamishamakongorosi Hadi Rungwa kms 300. Na kutoka Rungwa kwenda Itigi mkoa wa singida kms 175Na wewe mleta mada acha uongo kwamba hakuna hata nusu kilomita ya lami.
Jimbo la Lupa linaanzia Chalangwa mpaka Kambikatoto (mpakani na Rungwa). Kilomita za lami kutoka Mbeya Mjini ni 114 mpaka Makongolosi. Labda kama unamaanisha kutoka Makongolosi mpaka Rungwa (kilomita zaidi ya 300).
Siasa gani Sasa? Hiyo section ni ya mwisho na sijaona hata dalili ya serikali kuipa ushirikiano Kwa sababu ni mapori.Acha siasa. Bara bara ile inasababisha vifo Kila siku na vilema
MakongolosiMakongamano ndiyo wapi huko? Au ulikuwa unamaanisha Makongolosi?
Mlugo Yuko Jimbo la Songwe (Wilaya ya Songwe)
Kasaka Yuko Jimbo la Lupa (Wilaya ya Chunya)
Ni sahihi.Kasaka ni hewa 100%
Ndio wakati wa nyie werevu kujenga Sasa Barabara badala ya kulalamika ccmCCM inapenda sehemu za watu wajinga kama Lindi, Pwani, Tanga, Dodoma n.k
Yuko kijana msomi na mchapa kazi , mtamuona muda ukifika. CCM Ina hazina nyoingi, ya vijana na sio akina KasakaNi sahihi.
Nani aliyewahi kuwa mbunge wa Jimbo la Lupa na akafanya makubwa?
Nani atatufaa Kwa uchaguzi wa 2025?
Una maana jimbo la Ilala liendelee kukaliwa na CCM kwa kuwa lina Maendeleo makubwa na linaongoza kwa Mapato!Ukweli Tanganyika ni nchi ngumu.
Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami.
Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena, ili aendelee kuwa mbunge wa Lupa.
Ninashauri CCM itusaidie kumuondoa mbunge wa sasa, itupatie mtu anayeelewa wananchi wanachokitaka.
Cha kufurahisha zaidi hata maji safi na salama hayapo, Jimbo nzima
Hayo ni mawazo yako! Usipoteshe mada.Una maana jimbo la Ilala liendelee kukaliwa na CCM kwa kuwa lina Maendeleo makubwa na linaongoza kwa Mapato!
Hatuhitaji Msomi wala mtanashati maana hao ndiyo waliotufikisha hapa. Tunahitaji mtu anayeelewa mahitaji yetuYuko kijana msomi na mchapa kazi , mtamuona muda ukifika. CCM Ina haxina nyongi, sio Kasaka