Uchaguzi 2020 Jimbo la Nyamagana, Mabula huwezi kutoboa I swear

huyu kada anakidhungu kama mzee yule wa "pipoz udhidi tu dai ini ze reki aka intapreeenyuuashipi aka Gaddafi alikuwa raisi wa Iraqi" eti competence.
Haka kalugha tunapenda kukatumia Ila kanachanganya flan. Unakuwa salama zaidi kama ukikakwepa na kukatumia pale tu inapolazimu. Ukijenga nako mazoea sana, hakachelewi kukuacha mavodo wazi.
 
[SUB]Tunataka Alphonce Mawazo mwingine kutoka pande hizo ,magunia hayana dili[/SUB]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…