Uchaguzi 2020 Jimbo la Ubungo: ACT-Wazalendo yadaiwa kumuwekea pingamizi Meya Jacob na madiwani wote wa CHADEMA

Sasa mbona unalalamika na wakati ndo vizuri kwenu maccm?
 
Sasa mbona unalalamika na wakati ndo vizuri kwenu maccm?
Hahahaha mpk sasa CCM wapo kimya ni nyinyi kutwa mitandaoni kulalamika na kutafuta kura za huruma niwambie tu haijawai tokea Tanzania mtu akasema nimempigia kura fulani kwa sababu nimemuonea huruma watanzania kuoneana huruma ni ktk mapenzi tu..

Sasa kama mnatafuta wapenzi mnaweza kuonewa huruma but kama mnatafuta kutawala nchi jua watu wanataka sera za kiuchumi na kijamii na mueleze mtatufikisha wapi kiuchumi kitu ambacho hamuwezi kabisa kama mmeshindwa kujenga hata ghorofa moja yawe HQ yenu na ruzuku mnapata na wabunge wenu wanakatwa fedha kila mwisho wa mwezi lakini mmeshindwa hata kununua kiwanja Chanika
 
Zitto eti anataka ushirikiano na Chadema halafu wanafanya haya!? 😳😳😳

 
Acha kuandika PUMBA! Nyie wenye viwanja vya kupora kila kona Nchini mmefanya lipi la maana zaidi ya wizi na ufisadi wa trillions!?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…