Uchaguzi 2020 Jimbo la Ubungo: ACT-Wazalendo yadaiwa kumuwekea pingamizi Meya Jacob na madiwani wote wa CHADEMA

Uchaguzi 2020 Jimbo la Ubungo: ACT-Wazalendo yadaiwa kumuwekea pingamizi Meya Jacob na madiwani wote wa CHADEMA

Watu mmoja akifuatilia kwenye internet anasimulia watu zaidi ya watano na hao watano wanasimulia wengine taarifa usambaa ivyo uko nchi gani wewe
Hahahahaha mnajidanganya sana mzee Tanzania kwa sensa ya mwaka 2012 ina mikoa 31 ina wilaya 169 na wapiga kura zaidi ya milioni 29 je familia zinapokutana ni familia ngapi wanaongelea siasa? Mfano ww tu niambie lini umeongea na familia yako kuhusu siasa? Niambie ni siasa gani wanafanya Chadema mitandaoni zaidi ya kulalamika kwenye vitu ambavyo havimsaidii babu yangu kule bukoba lini chadema wameongelea kuhusu Afya ,Elimu,Uchumi mitandaoni zaidi ya kuongelea vitu vya kuwafaidisha wao tu kama kuwa na uhuru wa kutukana uhuru wa kuandamana bila ya kufata sheria sijui tume huru sijui kufanya siasa je ni matanzania gani anafaidika na hvyo vitu moja kwa moja je unaweza kuacha kufanya kazi na kwenda kuandamana eti kisa Lissu Chadema wamekatazwa kufanya siasa za majukwaani?

Chadema nyinyi ndo chama cha kwanza kuingia kwenye Digital media na nyinyi ndo chama cha kwanza kufaidika na Digital media lakini mnatumia mitandao si kuelezea sera zenu zaidi ya kutumia kama uwanja wa kutafuta huruma na kuleta taaruki kwa watu sasa CCM wameshaona weekness yenu upande wa Digital wao wanawekeza kwenye kuelezea sera na mikakati ya kiuchumi na mipango ya kiuchumi soon watawa out smart kwenye upande huo.
 
Hahahaha mpk sasa CCM wapo kimya ni nyinyi kutwa mitandaoni kulalamika na kutafuta kura za huruma niwambie tu haijawai tokea Tanzania mtu akasema nimempigia kura fulani kwa sababu nimemuonea huruma watanzania kuoneana huruma ni ktk mapenzi tu..

Sasa kama mnatafuta wapenzi mnaweza kuonewa huruma but kama mnatafuta kutawala nchi jua watu wanataka sera za kiuchumi na kijamii na mueleze mtatufikisha wapi kiuchumi kitu ambacho hamuwezi kabisa kama mmeshindwa kujenga hata ghorofa moja yawe HQ yenu na ruzuku mnapata na wabunge wenu wanakatwa fedha kila mwisho wa mwezi lakini mmeshindwa hata kununua kiwanja Chanika
Sasa hapo bwashee unakwama ,hiyo CCM toka nchi ipate uhuru 1961 mpaka leo na rasilimali zilizopo lakini bado watanzania wapo kwenye umaskini wa kupitiliza,shule hazina madawati wala vyoo ,wangne mpaka leo wanasomea chini ya muembe mfano kwa Job Ndugai .Mapenzi ya chama yasikufanye ukawa mpumbavuu wa mwisho ,jaribu kufikiri.
 
Hahahahaha dah yaan ndio kusema kikulacho kinguoni mwako ?
 
Screenshot_20200826-195243.png
 
Vijana wa Chadema wanajifanya Wajuaji lakini nimegundua hawafuatilii mambo bali Wanasubiri Mtu aweke Post ikisha wao Wanakurupuka.

Diwani anapomuekea Pingamizi diwani mwenzake, Zitto anahusikaje?
Sasa kuna Mchezo Watu wa Chini wanachezeana bila ya Viongozi wa Juu kujua.

Hapa Zitto amepokea Taarifa kuwa Madiwani wa Chadema wamewaeke Pingamizi Madiwani wa ACT lakini Zotto hajamshambulia Mtu, wala hajamwita Mtu msaliti, wala hajamwita Mtu CCM B, Lakini Vijana wa Chadema anaposikia tu Diwane wa Chadema kawekewq pingamizi na ACT basi hasubiri uthibitisho Bali ataanza na Kumtukana Zitto kumwita Msaliti.

Vijana wa Chadema wanahisi ni Wao tu wenye mamlaka ya kufanya Chochote dhidi ya Vyama vengine, Wakifanyiwa wao wanaita Wenzao Wasaliti.
Acheni Ujinga na Usuperiority Complex wenu.

 
Hakika wanaosema kila chadema ni chama cha wajinga wajinga wanaongea kweli kabisa!

Hivi kuna kosa kuwekewa pingamizi?
 
Sasa hapo bwashee unakwama ,hiyo CCM toka nchi ipate uhuru 1961 mpaka leo na rasilimali zilizopo lakini bado watanzania wapo kwenye umaskini wa kupitiliza,shule hazina madawati wala vyoo ,wangne mpaka leo wanasomea chini ya muembe mfano kwa Job Ndugai .Mapenzi ya chama yasikufanye ukawa mpumbavuu wa mwisho ,jaribu kufikiri.
Mkuu unaweza kunambia akiingia Lissu na wenzie wataleta madawati,watachimba vyoo na watajenga madarasa nchi nzima pasiwepo mwanafunzi anaesoma chini au pasiwepo na masikini?

Unatakiwa kujua uchumi au maendeleo ya nchi yanaletwa na vitu vingi si kuwa na rasilimali tu Europe ndo mfano mzuri maendeleo ya Ulaya na US hayakuletwa na rasilimali yameletwa na viwanda na mapinduzi ya kisayansi sasa kama ingekuwa rasilimali ndo maendeleo bhasi Africa na Asia tungekuwa tunatoa misaada kwa wazungu coz nchi zao hazina rasilimali za kutosha kama kwetu .

Haya Ukiangalia Uchumi wa tanzania anzia mwaka 1995 usizungumzie mwaka 1961 _1990 coz kulikuwa hakuna vision yeyote ya kiuchumi sasa baada ya 1995-2020 je malengo ya kimtakati ya kidunia kiuchumi yanafikiwa jibu ni ndio uchumi unakua kwa wastani wa 5.6% mpm 7 kwa mwaka je uoni ni tunaenda vzr? ULAYA na US imewachukua miaka zaidi ya 200 mpk 300 kuwa na maendeleo waliyonayo sasa hv tena pamoja na wizi na kupora mali za wengine ndo wamefika hapo sisi miaka 59 tu tupo hapa kama unavyoona unadhani tupo vibaya? Africa inakuwa kwa kasi kiuchumia na kimaendeleo kuliko uchumi wa nchi za ulaya ulivyokuwa ktk kipindi cha miaka hyo kabla ya industrial revolution
 
Dah inasikitisha sana Zitto naye kubariki hayo Mapingamizi ,,,Upinzani imara ni kupambana na CCM na sio Upinzani mwenzako ,kazi ya kupambana na wapinzani wamepewa Lipumba na Shibuda na wapo kwenye payroll.

Nyie mbona mmebariki mapingamizi dhidi ya Lipumba?
 
Mbona attachment wameitoa? Kama kweli basi Membe ametumwa na CCM kuvuruga. na ACT ni hao hao! Kuwa naye makini!
Membe yuko nyumbani hauoni Mkumbo kawaagiza ACT waweke pingamizi kwa cdm
 
Hahahahahahaha yeye akiwekea mapingamizi wengine hawakimbiliii mitandaoni lakini kawekewa yeye fasta anakimbilia mitandaoni kulia lia Chadema wameshaona mitandaoni kama ndo HQ yao si Ufipa tena

Chadema wanadanganywa na twakimu za kuwa
Wananchi wenye kuaccess Internet Tanzania ni milion 22.3 sawa na asilimia 41.4 ya wananchi wote sijui kama walishajiuliza Tanzania ni mambo gani au vitu gani vinafatiliwa au kugoogle sana kwenye Internet ?

Watanzania wengi wanaotumia internet hawafatilii siasa kwenye mitandao ni asilimia chache sana hata ukifanya utafiti utagundua ni Twitter na Jamii forum tu ndo wanafatilia siasa but sehemu au mitandao mingine nadhani unajua nn kinafatiliwa sasa jiulize Twitter na JF ni watanzania wangapi wana account au kuijua?

Tanzania bado main stream media(TV,Magazeti,Radio) bado zinanguvu sana na bado zinafatiliwa na watu wengi kwa sababu kupata taarifa huko ni free au cheap kulinganisha na mitandaoni sasa wanapogeuza mitandao kama ndo sehemu muhimu ya kuwapasha habari Watanzania wanatakiwa kujua nilazima uwe na bando kitu ambacho mtu wa mikoani hawezi kununua GB 4 eti kumuangalia Tundu Lissu akiutubia You tube au Chadema wanasema nini mitandaoni .

Sidhani na wala tusijidanganye!

Tulitembelea vijiji Mandera,Kibaoni, Saadani, Karagwe, Kaishakira, Ilogelo, Mawe matatu, rwenzori na vingine 18 wakati wa utafiti wa Covid , mwezi March mwaka huu tulistaajabishwa na wingi wa simu hasa za tecno zenye access na radio za kimataifa plus internet (www) na wengi tayari walikua na ABC’s kuhusu maradhi hayo!

My point is, wakati huu ni uchaguzi mkuu wa nchi husidhani wananchi wamekaa tu wanasubiri kulishwa taarifa muhimu kama hizi!

Nao wamejifunza sasa kuzitafuta!

Let’s trade carefully!!
 
Upuuzi mtupu hizi pingamizi..... Oktoba tutajua kama kuna pingamizi au jinamizi
 

Meya wa Ubungo, Boniface Jacob ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa ACT Wazalendo wamewawekea mapingamizi wagombea wa CHADEMA katika Halmashauri ya Ubungo akiwemo yeye.

Amedai pia, ACT haijawawekea mapingamizi CCM.

Huyu sio Membe kupitia ACT?
Mwambie atulie, mbona yeye hakuwawekea ACT? NA CCM hawajalalamika, au anafikili yeye ndo mjanja kuliko wengine
 
Back
Top Bottom