Hahahaha Chadema wamekuwa wakali utadhani ni under dog wkt mmeshaanza kuunda serikali hata kabla ya uchaguzi kwa maana kila mwanachadema anaamini Lissu anashinda sasa mnatakiwa kurelax wazeeAcha kuandika PUMBA! Nyie wenye viwanja vya kupora kila kona Nchini mmefanya lipi la maana zaidi ya wizi na ufisadi wa trillions!?
Kingine unapotoa tuhuma nzito kama hzo za CCM kupora viwanja ebu niambie kuna kesi mahakama gani kuanzia mahakama ya mwanzo mpk mahakama ya rufaa kama kuna kesi ya mtu aliyeporwa viwanja na CCM
Kuhusu wizi wa matrillions nadhani utuambie zile SGR zinajengwa kwa ela za wizi yale madaraja na mabarabara yanajengwa kwa ela ya wizi zile meli zinanunuliwa na ela ya wizi uchumi wa kati umefikiwa kwa ela ya wizi kama ni wizi wa namna hii bhasi ni wizi mzuri lakini wizi wa kuwakata wabunge wenu ela kila mwisho wa mwezi si wizi kuchukua ruzuku ,kuchangisha ela mitandaoni si wizi ikiwa mpk leo mnakaa kwenye nyumba ya kupanga pale Ufipa mmeshindwa hata kujenga vyumba viwili viwe ofisi ya makao makuu yenu ambayo kila mwanachadema atasema hii ni michango au ruzuku ambayo Watanzania wote tunawachangia kwa kodi zetu.