Jina gani la uwanja wa soka linakuvutia sana?

Jina gani la uwanja wa soka linakuvutia sana?

estadio santiago bernabeu💥
estadio wanda metropolitano.💥
signal iduna park💥
 
Nangwanda sijaona nalipenda sana sana hili jina sijui nilamtu
Ndio ni jina mtu alikuwa anaitwa Lawi Nangwanda sijaona...mimi nayeye kwetu ni kijiji cha mnyambe wilaya ya newala mkoa wa mtwara ndio vijana wa nyerere hao hata humu ndani Mohamed Said ashamuelezea....aliwahi kuwa mbunge na waziri pia
 
Lake Tanganyika, Borge el Arab, Julai 5, Stamford Brigde, Signal Iduna Park, Allianz Arena, Soccer City, Camp Nou, Villa Park, La Bombonera and Salt Lake Stadium
 
Gwambina De Stade Stadium
Misungwi Mwanza

Uwanja wa mpira wa miguu wa timu ya Gwambina FC inayomilikiwa na tajiri ALEXANDER MNYETI
 
Back
Top Bottom