JosephMimi wa kwangu alikaa wiki bila kupewa jina hadi nilipoambiwa na mama yake kuwa tunasubiria jina la mtoto nikalitamka likawa hilo hadi kesho. The same kwa mtoto wa kike same same nashangaa huyo mwanamke wako anachogombania nini basi kuna siri nzito usipuuze hakuna kitu mwanamke anachobishania kwenye mahusiano kisichokuwa na sababu za nyuma kwake.