Jina la mwanangu limezua vita ya kifamilia

Jina la mwanangu limezua vita ya kifamilia

Same situation ilinitokea mimi kipindi nimempata binti yangu. Mimi na baba yake tulishapanga jina kabla hajazaliwa akiwa wa kike aitwe X akiwa wa kiume aitwe Y. Baada ya kuzaliwa wa kike tukampa jina X lakini mama wa baba mtoto alipokuja akataka binti aitwe jina lake kisingizio jina X halina mtakatifu kidini. Binafsi nilishikiria msimamo wa jina alilitoa baba yake ila mwisho wa siku bibi akatoa jina lingine tofauti na lake ( niligoma kabisa asirithi jina) akabatizwa nalo na jina X likabaki katika tangazo hivyo ana majina mawili XZ ambayo yapo kwenye cheti cha kuzaliwa.
Haya mambo yapo sana hasa katika familia ambayo baba anapelekeshwa na hana maamuzi yake binafsi na msimamo.
 
Historically hata mimi mzee wangu hakunipa jina langu familia nzima walipewa karatasi kura nyingi zikaangukia jina langu. So nimepata jina kwa kura.
Technically kura ipigwe mbona una njia nzuri tu ya kumaliza utata?ita ukoo kama watakuwa na muda waje waseme wanataka ndugu yao aitwe nani.

Japokuwa sijajua bado ni mantiki gani inayofanya ndugu kuchagua jina la mwanao maana nadhani mpaka umekua na umeweza kumzalisha mtu basi wewe ni mtu mzima enough kuamua mambo yako.
 
Aisee nakumbuka first born wangu jina lake tulipanga kabisaa ilaa kilichotokeaa 😀 😀
 
Ukiona ndugu au wazazi wanataka mtoto wako aitwe jina lao ujue kuwa kuna uchawi, uganga wanataka kurithisha mtoto...

Maana watoto wadogo ndio wanatumiwa kurithishwa vitu hawawezi kukataa...

Ni vyema kuchagua jina na kujua maana na pia kuacha kurithisha majina...

Bwana YESU KRISTO atukuzwe
 
Ukiona ndugu au wazazi wanataka mtoto wako aitwe jina lao ujue kuwa kuna uchawi, uganga wanataka kurithisha mtoto...

Maana watoto wadogo ndio wanatumiwa kurithishwa vitu hawawezi kukataa...

Ni vyema kuchagua jina na kujua maana na pia kuacha kurithisha majina...

Bwana YESU KRISTO atukuzwe
Yote ni majina ya kikristo mkuu,

Ila hapa kila mtu anaona anahaki zaidi ya lake kutumika.
 
Mimi pia hii situation ishanitokea
Nimezaa mtoto wangu vizuri, natoka theatre nakuta bibi mdogo! Upande wa baba) kashAmpa jina anamwita jina X (Ambalo ni jina la dadA yake, bibi wa mwanagu, au mama wa mume ambaye yeye ni marehemu)

Niliposikia nikamwambia kurisisha mtoto jina si vizuri, tukitoka hospital tutapendekeza jina mimi na babake

Acha aanze kulia [emoji23][emoji23][emoji23]ookh wewe umeolewa tu ujui mila zetu lazima mtoto wa kwanza wakike aitwe jina la bibi yake, alipiga simu kwanduguze wote, nikashangaa tu upepo umebadilika kila mtu kanuna kwa nini nakataa jina la mtoto la kurisisha.

Baba wa mtoto alipokuja akakuta kuna mnuno unaendelea kwa mamake mdogo naye akapanik akaungana naye akasema mwanae ataitwa jina la bibi yake X kama ambayo mama mdogo kashaamua

Kesho yake akaenda RITA kuomba cheti cha kuzaliwa
Jina ambalo tulikuwa nalo mimi nikawa namuita hilo hilo,mpaka leo mtoto shuleni anaitwa X Nyumbani anaitwa Y
 
Mimi pia hii situation ishanitokea
Nimezaa mtoto wangu vizuri, natoka theatre nakuta bibi mdogo! Upande wa baba) kashAmpa jina anamwita jina X (Ambalo ni jina la dadA yake, bibi wa mwanagu, au mama wa mume ambaye yeye ni marehemu)

Niliposikia nikamwambia kurisisha mtoto jina si vizuri, tukitoka hospital tutapendekeza jina mimi na babake

Acha aanze kulia [emoji23][emoji23][emoji23]ookh wewe umeolewa tu ujui mila zetu lazima mtoto wa kwanza wakike aitwe jina la bibi yake, alipiga simu kwanduguze wote, nikashangaa tu upepo umebadilika kila mtu kanuna kwa nini nakataa jina la mtoto la kurisisha.

Baba wa mtoto alipokuja akakuta kuna mnuno unaendelea kwa mamake mdogo naye akapanik akaungana naye akasema mwanae ataitwa jina la bibi yake X kama ambayo mama mdogo kashaamua

Kesho yake akaenda RITA kuomba cheti cha kuzaliwa
Jina ambalo tulikuwa nalo mimi nikawa namuita hilo hilo,mpaka leo mtoto shuleni anaitwa X Nyumbani anaitwa Y
Kuna watu wananirushia mawe hapa ila hizi situation ni common kwenye jamii zetu.

Ndio maana nikapost for academic purpose kwamba mimi nitapata majibu na wengine nao watajifunza.
 
Huku kwetu mwenye jukumu la kutoa jina ni baba wa mtoto peke yake, hao wengine ni washauri tu, ila jina huwa tunatoa sisi baba.

Hata mabibi au mababu huwa wanatulia na unapigiwa simu baba mwenye mtoto kama uko mbali au vipi, utoe jina huko huko.

Sisi wengine huwa tuna majina yetu tayari, na wake zetu huwa wanajua kama tukijaliwa mtoto wa kike au wa kiume ataitwa fulani.
Ndio nilichofanya sitakagi mjadala mbegu niweke Mimi jina ataje mwingine haipo hiyo
 
Unakubalije mwanao kupewa jina na mtu mwingine ilhali ww jina unalo, acha akili za kuahikiwa hizo.

Halafu hiyo kitu ya kuitwa YXZ wakati wewe unaitwa ZMN itameleta shida huko mbele mkuu.

Mwache mwanao aitwe YZMN au XZMN.
 
two-beers-being-toasted-vector-id150672528.jpg
pole mkuu wangu kula majii
 
Mimi wa kwangu alikaa wiki bila kupewa jina hadi nilipoambiwa na mama yake kuwa tunasubiria jina la mtoto nikalitamka likawa hilo hadi kesho.

The same kwa mtoto wa kike same same nashangaa huyo mwanamke wako anachogombania nini basi kuna siri nzito usipuuze hakuna kitu mwanamke anachobishania kwenye mahusiano kisichokuwa na sababu za nyuma kwake.
Huenda jina la Zilipendwa wake a.k.a ex-wake[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Nilikataa jina lililotoa dada yangu kwa mtoto wangu ikaleta mtafaruku kidogo,nikakaza nikawaambia kama hilo jina(jina la mama yetu mdogo RIP)ni zuri basi zaa umwite mwanao,kesi iliisha hivyo.
 
Kutongoza utongoze ww,mahari ulipe ww,chumba na kitanda cha kunyandulia uingie gharama ww,kiuno ukate ww,mbegu umwage ww,mimba ulee ww,mtoto azaliwe na kutunzwa kwa gharama zako why kwanini atokee jitu liwe na mamlaka kwenye uchaguzi wa jina la mwanao??
Mm kwangu hakuna na hatatokea wa kunichagulia jina mwanangu.
 
Back
Top Bottom