Jina la mwanangu limezua vita ya kifamilia

Joseph
 
Anayeacha kodi ya meza ni Nani?, anayelipia bills mbalimbali ni Nani?, Mwenye mkia wa mbele hapo ni Nani kwani?, Anayehakikisha ulinzi na ustawi wa familia ni Nani kwani?

Kama jibu ni wewe basi una haki ya kubariki jina la mwanao kwa maana ya kulitoa Kama utapenda ww Kama baba , majina pia yana maana kiroho...mama mkwe tayari ashamaliza kazi yake ya kutoa majina ya watt wake.
 
Kiukweli majina yana maana kubwa sana. Ila haya mambo next time kwa ushauri simple tu mkuu..discuss kwanza kwamba baby akija tumpe jina gani na yawe na option za gender zote mbili....ili kuepusha migogoro ya kishubwada kama hii.

Umoja huleta utajiri..msiposhikana kama familia kisa mere things kama hizi mtafeli mapemaaaa... Wengine sisi wazazi wameshatuambiaga mapemaa tusiwape wajukuu majina yao hata kama wametuzaa na kutulea sisi. Sisi kuwa na amani katika ndoa tumewapenda na kuwaheshimu inatosha.

Tutafute majina ambayo mbingu imeyaleta kama tuitwavyo na Bwana Mungu wetu.
NB: Unaweza kumuuliza Roho Mtakatifu na akakupa jina. Ni wewe tu kuamini.

#kamaunakataapitahivi#
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dah kuna watu wana shida nyingi sana. Hata jina la mtoto mgogoro? Nilishawahi kusema mimi ukisikia nina mgogoro na mtu au polisi ujue chanzo ni pesa tu sio ujinga mwingine
Je mwanamke akiforce jina?
 
Mambo mengine mnayataka wenyewe , mtoto wako unataka kumshirikisha kila mtu ! kuzaliwa siyo kama msiba , watoto wako ni wa kwako tu , labda kama mna mila za kishirikina .

Quran inasema hivi , " WAPENI WATOTO WENU MAJINA MAZURI MYAPENDAYO NYINYI " Wala hawakusema subiri mama mkwe ampe jina .
 
😀😀😀wanaume wa siku hizi. Yaani mtoto wako watu wengine ndio wajadili jina la mwanao.

Erythrocyte sasa uelewe hawa watani zetu aina ya maisha na akili walizo nazo🤣🤣🤣
Ni aina ya irresponsible fathers ambao ni KKBs
 
mwita,chacha,robi,wankulu,koku,,,katunzi,ruta,,,,yaani safi sana.
 
Data
X= ?
Y=!
If the NAME =XY
Find the values of ? and ! if the NAME is YX ?
 
Kuna sababu ya baba kuwa ndio muhusika mkuu wa kutoa jina. Unaweza kuta huyo bibi katoa jina la mchepuko wake au njemba aliyemkata utepe.

Anataka kuenzi ujana wake kupitia watoto wa wenzie.

Hata mke wangu hana haki ya kutoa jina. Yeye ni mshauri tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…