JosephMimi wa kwangu alikaa wiki bila kupewa jina hadi nilipoambiwa na mama yake kuwa tunasubiria jina la mtoto nikalitamka likawa hilo hadi kesho. The same kwa mtoto wa kike same same nashangaa huyo mwanamke wako anachogombania nini basi kuna siri nzito usipuuze hakuna kitu mwanamke anachobishania kwenye mahusiano kisichokuwa na sababu za nyuma kwake.
Ndiyo nani huyo kijanaJoseph
ndiyo nani huyo kijana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dah kuna watu wana shida nyingi sana. Hata jina la mtoto mgogoro? Nilishawahi kusema mimi ukisikia nina mgogoro na mtu au polisi ujue chanzo ni pesa tu sio ujinga mwingineWewe sidhani hata kuna sperm za kutungisha mimba ..akili yako haijakaa kiume kabisa
Je mwanamke akiforce jina?🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dah kuna watu wana shida nyingi sana. Hata jina la mtoto mgogoro? Nilishawahi kusema mimi ukisikia nina mgogoro na mtu au polisi ujue chanzo ni pesa tu sio ujinga mwingine
Mambo mengine mnayataka wenyewe , mtoto wako unataka kumshirikisha kila mtu ! kuzaliwa siyo kama msiba , watoto wako ni wa kwako tu , labda kama mna mila za kishirikina .Wakuu nipo njia panda ya kuchagua upande. Haya mambo yasikie tu kwa wengine.
Wakati anazaliwa mwanangu huyu mama yake mzazi mwenzangu ndio alisimamia jambo hili ukizingatia kuwa hiyo ndio ilikua taaluma yake.
Sasa jamaa alipozaliwa tu huyu mama akampa jina dogo tuseme jina Y maana ndio alikua mtu wa kwanza kumbeba na kumhudumia wakati mama wa mtoto bado akiwa katika usingizi.
Sasa baada ya hapo tukakaa na Mzazi mwenzangu kujadili official name ya dogo. Tukakubaliana Jina X . hili likashika kasi na likakubalika kwetu.
Sasa tunataka kupata cheti cha kuzaliwa . Tangazo la Kuzaliwa linamtambua dogo kwa jina Y ila ipo option ya kubadili.
Sasa upande wangu wakagundua kuwa kuna jina jingine la dogo analotambulika ambalo lipo katika tangazo la kuzaliwa.
Binafsi mimi sina matatizo na jina lolote so long as huyu dogo anabeba DNA yangu either mimi ndio nimempa au mtu mwingine yeyote.
Historically hata mimi mzee wangu hakunipa jina langu familia nzima walipewa karatasi kura nyingi zikaangukia jina langu. So nimepata jina kwa kura.
Ila sasa naona watu wanaanza kununiana tu nani mwenye haki ya kuchagua jina na jina lipi litumike.
Nilichoamua ni kuwa majina x na y yote yaandikwe kwenye cheti. Yaani aitwe YX ...... I hope kila upande utaridhika na vita itakwisha.
Aisee nimeshangaa sana. Yaani jina linampotezea mtu muda? Inaonekana hawa vijana hawana kazi za maana za kufanyaKazi sana mnahangaika na vitu vidogodogo!
😀😀😀wanaume wa siku hizi. Yaani mtoto wako watu wengine ndio wajadili jina la mwanao.Mambo mengine mnayataka wenyewe , mtoto wako unataka kumshirikisha kila mtu ! kuzaliwa siyo kama msiba , watoto wako ni wa kwako tu , labda kama mna mila za kishirikina .
Quran inasema hivi , " WAPENI WATOTO WENU MAJINA MAZURI MYAPENDAYO NYINYI " Wala hawakusema subiri mama mkwe ampe jina .
mwita,chacha,robi,wankulu,koku,,,katunzi,ruta,,,,yaani safi sana.Huku kwetu mwenye jukumu la kutoa jina ni baba wa mtoto peke yake, hao wengine ni washauri tu, ila jina huwa tunatoa sisi baba.
Hata mabibi au mababu huwa wanatulia na unapigiwa simu baba mwenye mtoto kama uko mbali au vipi, utoe jina huko huko.
Sisi wengine huwa tuna majina yetu tayari, na wake zetu huwa wanajua kama tukijaliwa mtoto wa kike au wa kiume ataitwa fulani.
Huyo anayetaka kumpa jina hana uzazi? Mpe jina wewe, masuala ya kuogopa nani atakasirika ni ujinga
kweli maana hayana uhusiano na haikua nia yenu, jina ni mijawapo ya zawadi nzuri kwa mtoto wenu.Bila shaka uki unganisha ayo majina YX jina litakua baya ilo msi mtese mtoto