Jina la Sabaya lasimamisha kesi kwa muda

Wanasheria ni wasanii na wanabishaji sana

Imagine all these days wanapiga show ya yondo sister kwenye misa ya kwanza

mbaafff
 
Unachoelezea ni kweli kabisa. Hata hii habari kuna sehemu ukisoma unashindwa kupata mtiririko mzuri. Habari za mahakama zinapaswa kuandikwa vizuri na kwa usahihi mkubwa
Ila Tanzania kwa kukosa umakini tuko kwenye kiwango kingine. Hawa watu dizaini hii ndiyo huwa hata sehemu kama JF hawajui kuandika baadhi ya maneno na ukiwasahihisha wanatukana
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha yaridhia ombi la kufanya marekebisho ya hati ya mashtaka ya kesi ya unyang`anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekua Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake 2 baada ya kubaini kulikua na makosa ya uchapishaji wa jina la tatu la mshatakiwa wa kwanza lililokua likisomeka kama 'Sayaba' badala ya Sabaya.

Zaidi endelea kufuatilia taarifa zetu Itv
 
Safi kabsa maelezo yako.
 
Fuatilia utetezi wake, Hajakiri kutumwa kufanya uhalifu.

Amekiri kuwa na shughuli za kiusalama alizotumwa na mamlaka ya juu ya serikali nje ya eneo lake la kazi na ndo maana watuhumiwa aliwapeleka polisi pia akasema kuna shughuli nyingine za kukamata mitambo ya fedha feki alishawahi kutumwa ambazo makamu wa sasa anafahamu.

Alikakataa tuhuma za ujambazi uliohusishwa na shughuli hizo za kiusalama za serikali.

Haya ya kukiri kufanya uhalifu na kusingizia alitumwa naona ni ya mtandaoni. Hata hivyo Still bado ana wakati mgumu sana mtu huyu.
 
ila wanaJF kama vitu hamvijui ni bora kupita tuu haina shida, sasa hakimu kashasema wana kesi ya kujibu wewe unategemea nini?

Hapo sasa ndiyo mtuhumiwa anaanza kusema ana watoto 10 wake saba wanaomtegemea anasomesha ndugu, anaumwa ukimwi ili apunguziwe miaka, lakini dogo amekalia bomu akisimama linamlipukia.
 
Refer kesi ya zombe, wale wauwaji walisema pia walitumwa na boss wao. zombe sasa hivi anajipigia chimpumu kilaina na kubeba wamama wauza.
 
Taifa la kipumbavu na tumekubali kukumbatia ujinga. Matokeo yake hata ujinga tunaona ndiyo akili zenyewe hizo.
 
Ata Kenyata alikuwa na kesi ya kujibu kule ICC lakini mwisho wa siku uyooo anakula bata hapo Kenya
 
Sheria ulisomea chuo gani mkuu.
 

Sasa kama yeye sio sayaba all this time yeye Sabaya kwanini alikuwa akijibu maswali??
Mimi sijui am confused [emoji52]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…