Jina la Spika litashangaza wengi

Kwenye uspika hakuna uteuzi mnagombea wengi, unachukua fomu chama kinakupitisha jina lako linaenda kupigiwa na wabunge
Asante kutujulisha utaratibu, Carol Ndossi nampendekeza
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji16][emoji16][emoji16]Kwasasa watu hawa wamelishika mno jina la Mwenyezi Mungu, lakini HAWANA MUNGU KABISA NDANI YA MIOYO YAO.
Subiri uone hicho unachoomba Mungu apishilie mbali kama kitapitishiwa mbali au la [emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Mtu anaitwa JAMBA KWA NGUVU dah... [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…