Jina la Spika litashangaza wengi

Wengine hapo nyoka wanatumika kuchunguza wenzai

Nyangumi moja wapo kishavuliwa walimvuta kwny Sukuma Gang akajaa leo hii kina Gwajima, Msukuma, Kibajaj ndio wa kwanza kumruka
Wale ni ng'ombe yaani mang'ombe tu.
 
Ramli oyee
 
Ni Ali Hassan Mwinyi yule raisi Mstaaafu,yaani bungeni patakuwa hapatoshi.
 
George simbachawene anakwenda kukalia kiti!
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘‡
Your browser is not able to display this video.
 
Mimi pia nimeshangaa nilipoona wewe hukulitaja Jina hilo la speaker mtalajiwa.
 
Atakuwa ni ZUZU mtu wa chama kingine kujitokeza kuomba kura za U Spika ndani ya Bunge la Chama Cha Mapinduzi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mimi pia nimeshangaa nilipoona wewe hukulitaja Jina hilo la speaker mtalajiwa.
 
So far so good, wafuatao wameufyata Hadi 2030 au 2040
1.Sabaya
2. Bashite
3. Ndugai
4. Mzee wร  kushika dola aka Bashir
5. Polepole
6. Mrisho

Walisumbua sana enzi hizo......
Bashiru usimuweke kwenye hilo kundi
 
wajinga ndo watashangaa
 
Limepita sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ