Muju4
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 5,489
- 7,446
EboooohZamu ya spika muislam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EboooohZamu ya spika muislam
Wale ni ng'ombe yaani mang'ombe tu.Wengine hapo nyoka wanatumika kuchunguza wenzai
Nyangumi moja wapo kishavuliwa walimvuta kwny Sukuma Gang akajaa leo hii kina Gwajima, Msukuma, Kibajaj ndio wa kwanza kumruka
Na siyo kibandamaiti....🤣Mchafukoge 🤣
Ramli oyeeTofauti na miaka ya nyuma ambayo tumezoea kuona naibu spika akipewa nafasi kubwa ya kuwa spika hali hiyo itakuwa tofauti na Spika mpya atakuwa si maarufu kivile na uteuzi wa jina lake utashangaza wengi.
Mimi mwenyewe nimeshangaa niliposikia ndio lenyewe
Dah! jamani
usiogope, maana mimi nipo pamoja nawe.Mtu anaitwa JAMBA KWA NGUVU dah... [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi pia nimeshangaa nilipoona wewe hukulitaja Jina hilo la speaker mtalajiwa.Tofauti na miaka ya nyuma ambayo tumezoea kuona naibu spika akipewa nafasi kubwa ya kuwa spika hali hiyo itakuwa tofauti na Spika mpya atakuwa si maarufu kivile na uteuzi wa jina lake utashangaza wengi.
Mimi mwenyewe nimeshangaa niliposikia ndio lenyewe
Ohoooooo utachafua Hali ya hewa
Nadhani spika atakuwa si Mkristo.Ngoja na mimi nigombee
Atakuwa ni ZUZU mtu wa chama kingine kujitokeza kuomba kura za U Spika ndani ya Bunge la Chama Cha Mapinduzi.Spika hateuliwi, anachaguliwa kwa kupigiwa kura na wabunge na kwa kuwa Bunge hili limejaa CCM watupu, hakuna cha kushangaza yeye kuwa kada wa CCM.
Kwa kuwa CCM ina tabia ya kutusukumizia viongozi wa hovyo kuliko wa awali, hakuna cha kushangaza akiwa wa hovyo kuliko Ndugai na hili halina mjadala.
Atakayeshangaa haijui Tanzania, hajui madhara CCM iliyotusababishia ktoka tupate uhuru miaka 60 iliyopita na hajui kuwa yeye ni kula na kulala, na hivyo ni mtaji mkubwa na hazina ya CCM.
Mimi pia nimeshangaa nilipoona wewe hukulitaja Jina hilo la speaker mtalajiwa.Tofauti na miaka ya nyuma ambayo tumezoea kuona naibu spika akipewa nafasi kubwa ya kuwa spika hali hiyo itakuwa tofauti na Spika mpya atakuwa si maarufu kivile na uteuzi wa jina lake utashangaza wengi.
Mimi mwenyewe nimeshangaa niliposikia ndio lenyewe
Huyo jamaa nakumbuka aliwahi kuliomba bunge MSAMAHA kwa kile kinachodaiwa kuwa ni UTOVU WA NIDHAMU NA UCHONGANISHI. 😜😜😜Masele anaenda kuchukua fomu.
inawezekana ikawa zamu ya wanawake, ila waislamu.Tumeambiwa ni zamu ya Wanawake hii. Wanaume tumeshindwa hata kumtetea Ndugai
Bashiru usimuweke kwenye hilo kundiSo far so good, wafuatao wameufyata Hadi 2030 au 2040
1.Sabaya
2. Bashite
3. Ndugai
4. Mzee wà kushika dola aka Bashir
5. Polepole
6. Mrisho
Walisumbua sana enzi hizo......
wajinga ndo watashangaaTofauti na miaka ya nyuma ambayo tumezoea kuona naibu spika akipewa nafasi kubwa ya kuwa spika hali hiyo itakuwa tofauti na Spika mpya atakuwa si maarufu kivile na uteuzi wa jina lake utashangaza wengi.
Mimi mwenyewe nimeshangaa niliposikia ndio lenyewe
Limepita sasa?Tofauti na miaka ya nyuma ambayo tumezoea kuona naibu spika akipewa nafasi kubwa ya kuwa spika hali hiyo itakuwa tofauti na Spika mpya atakuwa si maarufu kivile na uteuzi wa jina lake utashangaza wengi.
Mimi mwenyewe nimeshangaa niliposikia ndio lenyewe