Jina Zuri la kiafrika la mtoto wa kiume

Jina Zuri la kiafrika la mtoto wa kiume

Furaha
Baraka
Amani
SHujaa
Mwindaji
Bahati
Shibe
Mwanga
Nuru
Tanzania
Tanzanite
almazi
Rubi
SHaba
Uledi
Hari
Msomi
Majaliwa
Riziki
Neema
Rehema
 
Kuna majina kutokana na mjabila yetu
Labada taja maelezo fulani kuhusu jina halafu wakupe majina tokana na lugha za makabila yetu;
Mfano - mwenye nguvu (Mungu) - Gwamaka
 
I am glad hata unaulizia jina la kiafrika. Mpumbavu mwingine angeenda Google kutafta majina ya kizungu ampe mtoto wake. Jina lolote ni zuri hakuna jina la kiafrika wala la kizungu zuri.

Mpe jina la ukoo wako achana na kutafta majina ya ukoo wa watu na jamii nyingine.

Jina la ukoo wako ndio unapaswa mwanaume kuliendeleza, sio kuendeleza ukoo na bloodline za jamii na koo za watu wengine.
Hii ngumu kwasisi tunaotaka tengeneza koo zetu
 
I am glad hata unaulizia jina la kiafrika. Mpumbavu mwingine angeenda Google kutafta majina ya kizungu ampe mtoto wake. Jina lolote ni zuri hakuna jina la kiafrika wala la kizungu zuri.

Mpe jina la ukoo wako achana na kutafta majina ya ukoo wa watu na jamii nyingine.

Jina la ukoo wako ndio unapaswa mwanaume kuliendeleza, sio kuendeleza ukoo na bloodline za jamii na koo za watu wengine.
Inaonekana huna akili.
 
Nisingekua na akili nisingekuzalisha watoto 2 mama. Sina akili nakuvua chupi Mrs. Junior?
Screenshot_20240422_135711_Firefox.jpg

Dogo akili huna, Wahi Mirembe chapu ukapate tiba.
 
Muite Furaha,Amani,Zawadi,Waziri etc.Daaaa mimi wanangu nimewapa majina vyeo vya Jeshini,Nimeanza na General(Wakiume) ,na Lieutenant (Wakike).Sijabahatika wengine
 
Kaite ka
ONG'ONG'O
Kifupi: ONG'O

wewe: Baba Ong'o
Mkeo: Mama Ong'o

yaani katakuwa na jina very unique 😁😁😁
 
Back
Top Bottom