Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Kishkwambi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mitimirefu.Wanetu nipeni jina la mtoto wa kiume simpo lenye taste ya kiafrika,nimetoa sana majina ya kizungu kwa watoto wangu this time nataka kuonja ladha ya nyumbani,ili nisiwe mtumwa wa kuukataa unyumbani.
Chalii atakuja duniani siku sio nyingi.
Mpe jina la Mzize.Wanetu nipeni jina la mtoto wa kiume simpo lenye taste ya kiafrika,nimetoa
Hayo majina yote ni ya wazungu, we umeyatafri kwa kiswahili, hivyo bado hujapendekeza jina la kiafrika 😂Simba
Asante
Shujaa
Jadi
Tembo
Tumaini
Safari
Mzito
Baridi
Akili
Fikiri
Bingwa
Motomoto
Baraka
Bora
Maridadi
Leo
Halisi
kakinunulie choda...nimetoka kupata tabu sana mwezi wa pili uliopita, nimetafuta jina la kiume wiki 3 jamani😛, kilikuja home kitoto kimoja kidogo kikatamka jina moja hivi ...kilitamka kiutani...nikatulia na jina hilo siku ya tatu nikagundua lile jina linamfaa mwanangu...hadi leo...malaika aliniletea jina nikapita nalo..ila kile kitoto kikijuamwanangu anaitwa lile jina kitakuwa kinahisi kilichangia kupata jina ..ila dume nakausha tuli😎
Aitwe joelWanetu nipeni jina la mtoto wa kiume simpo lenye taste ya kiafrika,nimetoa sana majina ya kizungu kwa watoto wangu this time nataka kuonja ladha ya nyumbani,ili nisiwe mtumwa wa kuukataa unyumbani.
Chalii atakuja duniani siku sio nyingi.
miaka ya 90 niko chalii sana hata akili hazijakomaa kuna babu yangu alikua anakujaga home yule mzee alikua anaitwa "Babu Che Mambo" alikua anapiga tumbaku bandika bandua.Muite Mambo
Pwagu tena? hahahaaaSafi sana na mm nina mpango wa kuwapa watoto wangu majna ya kimila tuu...ww jaribu hili NHGWANA PWAGU.!
Niliwaza sana nimuite Aucho,Diara, Bacca,Gabon au Museven.Yanga linafaa sanaa
Mbona sana tu,tunaukataa uzungu ila tunaishi uzungu kwenye maisha yetu ya kila siku.kumbe sikuhizi wanaweza kuangalia jinsia!..
KristianWewe ni wa dini ipi?