Jina Zuri la kiafrika la mtoto wa kiume

Jina Zuri la kiafrika la mtoto wa kiume

Nani kasema kutompa mtoto jina la kwao ni utumwa...kitendo cha kua aware kwamba unawaza hiyo ideology tayari wewe ni mtumwa
 
Kijana wangu wa mwisho nilimuita jina lenye asili ya igbo-nigeria baada ya kukutana na jamaa mmoja kutoka huko
Alizaliwa mwezi mmoja baada ya kifo cha wazazi wangu(sababu ya uzee)
Nikamuita
KAYODE
Means "He has brough us joy"
 
Wanetu nipeni jina la mtoto wa kiume simpo lenye taste ya kiafrika,nimetoa sana majina ya kizungu kwa watoto wangu this time nataka kuonja ladha ya nyumbani,ili nisiwe mtumwa wa kuukataa unyumbani.
Chalii atakuja duniani siku sio nying
Wanetu nipeni jina la mtoto wa kiume simpo lenye taste ya kiafrika,nimetoa sana majina ya kizungu kwa watoto wangu this time nataka kuonja ladha ya nyumbani,ili nisiwe mtumwa wa kuukataa unyumbani.
Chalii atakuja duniani siku sio nyingi.
1. Mpalasinge
1.
 
Ntanzimela Jina lina asili ya Katavi maana yake mtu wa majigambo au mtu anaye tamba.
Taslima
 
Chobweda/ kubweda....maana yake tumepata(Kizaramo hicho)
Ntekaniwa amepiganiwa (Kipare)
Ruwahichi Mungu anajua (kichaga)
Masinde manguvu (Kichaga)
 
Back
Top Bottom