Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Kwamba sbb ziko nyingi sio Kila aliyetoa hapati mtt,Pointi yako sasa hapa ni nini Mama Mchungaji? π³π³π³
OkayYeah Kuna scenario ilitokea nikapelekwa kanisani kuombewa!
Kujielewa hakuhusiani na Hela!Mwanaume anaejielewa ndo mwenye hela au?
Hizo stories za Bible nyingi ni fix tupu.Mifano mingine ya kwenye Biblia nayo mh! Ni miujiza tu na inabakia kuwa hivyo. Ililengwa kutufundisha kitu kuhusu uwezo wa Mungu.
Sara alizaa akiwa na miaka 80 sijui. Tunapaswa kweli kuuchukulia muujiza huu literally kama kipoozeo cha wanawake lukuki waliovuka, let's say 70, kuwa wasikate tamaa na watazaa tu hata kwenye 80s kama alivyozaa Sara?
Ndiyo. Aliyezaliwa juzi Desemba 25 anatupa wote second chance...lakini pia hizo second chance zisipokuja (kama katika hii hoja tunayoizungumzia hapa) basi tusijifariji eti wakati wa Mungu haujafika wakati kumbe tunavuna tulichopanda! ππΏ
π€£π€£π€£ ukiwa una unga unga maisha na huna watoto ndio unashauriwa upate watoto ili mteseke wote, utasikia unakula bata / unapendeza kwa sababu hauna majukunu, yani ili mradi upauke tuπ€£Kama yale ma vampire ya kwenye hadithi, manyonya damu yanayotaka damu za watoto.
Yanakulazimisha uzae ili yapate damu za watoto π€£π€£
FactsKuolewa na kuzaa ,je baada ya hapo kipi kitabadilika katika MAISHA yako.
Ikiwa mwanamke hana uwezo wa kiuchumi uliosimama imara asiwekeze kuzaa ilimrdi kazaa ila awekeze katika kujikomboa kwenye umasikini kwanza maana dunia ya science na technology inahitaji watu ambao ni productive . so hata Kama hauna mtoto kila kitu kina work out easily.
Tubadilike ukijua wewe ni masikini elekeza silaha zako zote katika kupambana na umasikini kwanza.
Watoto wapo mtaani wametelekezwa na baba zao wanateseka , wanasoma shule chafu dumu fagio ,wamekondeana kisa tu kulazimisha kuzaa .
Hapa duniani hakuna uhaba wa kitu chochote so wanawake wawe positive wafurahie maisha Kama lady jaydee, Mama Teresa .
Ishi katika purpose yako inatosha.
Hivi unafikiri Putin kutawala Urus amelazimishwa au ni mapenz yake ?Kwani kuolewa na kuzaa ni lazima?
Mbona kuna wanawake wengi wanajivunia kuishi wakifanya kazi zao kwa uhuru, bila mume wala mtoto, wanapuyanga tu wanavyotaka ma vacation dunia nzima, wanajilia maisha wanavyotaka?
Kweli kabisa toto zuri!Wengine Mimba zikifika 6 months lazima zitoke mwanamke akifanikiwa kujifungua salama mtoto hafikishi miezi kadhaaa !
Wachawi sio watuuuu
Nasikia aga tu kama stories za vijiwen ,hiz mambo sikuwah kujua kama uchawi upo mkuu.Imagine unalala unaota unafanya mapenzi na dada yako anaekufuata. Asubuhi ukiamka kweli umechafua shuka
Cha kushangaza tangu hapo mashine haisimami hata ile nature yenu wanaume kuwa asubuhi ni lazima mashine isimame wewe holaaaa . ile ukiona maungo fulani ya mwanamke ule msisimko ishtuke wewe holaaaa
πππππππππ!
Wachawi wasennge sana
Kuna mjamaa India aliwashitaki wazazi wake kwa kumzaa bila yeye kutoa idhini.π€£π€£π€£ ukiwa una unga unga maisha na huna watoto ndio unashauriwa upate watoto ili mteseke wote, utasikia unakula bata / unapendeza kwa sababu hauna majukunu, yani ili mradi upauke tuπ€£
Mungu alitaka kumuonyesja kuwa ye hasaidiwiπ€£Kuna mwamba alioa miaka ya 1997/1998 akaja akapata mtoto wa kwanza mwaka 2009.
Kipindi chote hicho kabla ya kupata mtoto wa kwanza alijaribu kuhangaika kutafuta suluhu hadi akafikia kukata tamaa na akaamua kuoa mke wa pili ili awezebkupata mtoto kupitia mke wa pili.
Lakini jamaa baada ya kuoa mke wa pili na akashoot kote kote wakapata ujauzito wote(mke wa kwanza ambaye haukuweza kupata ujauzito tangu mwaka 1997 na mke wa pili aliyemuoa kama suluhu ya kutatua shida ya kupata mtoto)
Tangu hapo jamaa akawa anazalisha kwa mkupuo wake zake wote wawili.
Wakati wa Mungu ndio wakati sahihi, sisi huwa tunaweka juhudi tu.
Pia hoja ya mleta mada ni sahihi hiiki kipindi huwa kinatia sana stress kwa wanandoa, tena usiombe ukiwa unasemwa na watu hasa mawifi
Ni umbwaa.Wengine Mimba zikifika 6 months lazima zitoke mwanamke akifanikiwa kujifungua salama mtoto hafikishi miezi kadhaaa !
Wachawi sio watuuuu
Putin kutawala Urusi ina uhusiano gani na wanawake kulazimishwa kuolewa na kuzaa?Hivi unafikiri Putin kutawala Urus amelazimishwa au ni mapenz yake ?
Miss you too mnywanii!Kweli kabisa toto zuri!
miss you
anateseka na jinamizi...!Kwani kuna nini kimetokea cute?
Kibongo bongo utaachiwa laana mkuu .Kuna mjamaa India aliwashitaki wazazi wake kwa kumzaa bila yeye kutoa idhini.
Labda na hawa watu wasiotaka kuzaa wanaogopa kushitakiwa na watoto wao kwa kuwazaa bila idhini zao.
Indian man to sue parents for giving birth to him
This Indian man says it's wrong to bring children into the world and burden them with expectations.www.bbc.com
Uchawi Upo binafsi nilishuhudia kabisa πππππ!Nasikia aga tu kama stories za vijiwen ,hiz mambo sikuwah kujua kama uchawi upo mkuu.