Jinsi ambavyo bwana Denis anateseka na ndoa yake ya kufosi labda malaika pekee ndio waingilie kati!

Ww Ni illuminati au freemason 666 chat tueleze
 
Maelezo ni mengi, kama kuna spelling errors shauri yenu, sisi hatuna cha part one au part two soma sijui peji ya ngapi? Hapana, ni tuna shusha uzi wote soma usisome shauri yako.

[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Safi sana kuna watu wanajikuta wajuaji sana humu,eti "uandishi mbovu" unanilipa?, Kama huwez kusoma thread acha
 
Mtu mwenye nuksi me/ke ukioana nae tu kipimo utakiona kwenye kuvurugika kwa mambo yako. Kipato lazima kipungue, mwenye baraka au kibali mkioana masikini utashangaa mambo yako KILA ufanyalo linatiki tu.
Hakika
 
Shida na raha hii slogan ni ya kwenye harusi pekee na sio applicable in real life. Shida ni ya mwanaume raha ni ya wote.
Anaeweza kukupenda nyakati za shida ni mama YAKO mzazi na Jesus pekee, waliobaki kama awafaidiki nawe sahau.
Shida ni ya mwanaume raha ni ya wote. Daaaaah
 
Shida na raha hii slogan ni ya kwenye harusi pekee na sio applicable in real life. Shida ni ya mwanaume raha ni ya wote.
Anaeweza kukupenda nyakati za shida ni mama YAKO mzazi na Jesus pekee, waliobaki kama awafaidiki nawe sahau.
Hakika na ndo tujifunze sasa
 
Jamaa yangu kibarua kiliota anaumwa figo kasusiwa nyumba hata wa kumchotea maji hana ndani jumba kubwa anaishi mwenyewe na njaa mke kabeba watoto kakimbia.
Shida ni ya kwako raha kwa wote.
Aisee ni kweli raha ya wote
 
Fa
Familia mpya bila pesa itawezekana.
Anauza nyumba yake arudi kijijini asubirie kifo hana wa kumuuguza mama yake alishafariki, mke angekuwa faraja lakini ndio hivyo shida na raha uishia ukumbini.
Au alikuwa anamnyanyasa huyo mke wakati akiwa na hela? Ni ngumu from nowhere tu mke amtelekeze na kuondoka na watoto
 
Nimemuuliza mtoa mada si ww
Kwajinsi alivyohadithia sidhani Kama anaweza kuwa ni yeye coz in some of his own words naye ameonesha kukasirishwa I mean kutoafikiana na msimamo wa jamaa Denis, Ila ndo hivyo Denis ameshaamua kuwa hamuachi mwanamke wake for the sake of his son.
 
Kwajinsi alivyohadithia sidhani Kama anaweza kuwa ni yeye coz in some of his own words naye ameonesha kukasirishwa I mean kutoafikiana na msimamo wa jamaa Denis, Ila ndo hivyo Denis ameshaamua kuwa hamuachi mwanamke wake for the sake of his son.
Elewa swali bro
Ww Ni illuminati au freemason 666 chat tueleze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…