Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ki nini mkuu😃Kimeliwa
Mkuu ungetumia tu Grenade kumchapa huyo Tapeli, Hii nyuklia uliyomshushia ataamka kweli kesho!?🤣🤣
Fanya hivyo mkuu. Nimeona kijana ana kituNimerestore simu,,, ngoja tumtafutie
Na atafika nacho mbali sana akizingatiaFanya hivyo mkuu. Nimeona kijana ana kitu
Asikubali kuyumbishwa tuNa atafika nacho mbali sana akizingatia
😄😄😄😄😄😄😄😄Huyu apewe namba za NGUGI WA THIONG'O
Kwakweli 😂😂😂Asikubali kuyumbishwa tu
Ki million 500+Ki nini mkuu😃
Hahaha😂😂😂... wewe una ngapi kwenye account yako au na wewe ndo kimeliwa😂Ki million 500+
Nina hiyo alfu arubaini aliyosema mweka mada...Hahaha😂😂😂... wewe una ngapi kwenye account yako au na wewe ndo kimeliwa😂
Me nlikua najua wote humu mabillionaire😃😃Nina hiyo alfu arubaini aliyosema mweka mada...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Milioni 500?
Ukute hapo una elfu 50 tu.
Labda weweMe nlikua najua wote humu mabillionaire😃😃
Em kuwa serious basi😃😃, ndo ningekua nashinda humu 24/7😶Labda wewe
Labda ni freemasonEm kuwa serious basi😃😃, ndo ningekua nashinda humu 24/7😶
wenyewe sikuizi hawana hela na wao. wamegeuka kua motivational speakers tu😂😂🤣🤣🤣🙌Labda ni freemason