Jinsi biashara ya real estate, madini na kilimo kinavyozidi kunitajirisha japo mie ni darasa la saba na nipo chini ya miaka 30

wenyewe sikuizi hawana hela na wao. wamegeuka kua motivational speakers tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™Œ
Pesa mwana haramu inaponyoka mpk freemasons!,ila wewe najua akaunti yako inasoma miamala Tena inasoma M...😁
 
Nilivyoanza kusoma nikawa najisemea mimi nimekuja kufanya nini duniani hapa kama hali yenyewe ndo hii🀣🀣🀣... kumbe alishawahi hadi kufanya mapenzi poriniπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€­
Ebana yani ilibaki kidogo tu nikamwashie bebi moto heee kumbe fix tupu🀣🀣🀣🀣
 
Mods futa uzi,hawa ndio wanatuharibia watoto wetu hawataki shule...
 
Hongera sana lakini elewa kwamba kuna neema za Mungu kwenye haya maisha. Usijione wewe ni Mwamba sana kuliko wengine.😑😑😑

Halafu Wewe sio std 7 unazingua Wewe ni form four ambaye hauna cheti. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sasa wewe mpuuzi ulishindwa nini kutumia ID mpya ili utembee na kijiji?..πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…