Jinsi biashara ya real estate, madini na kilimo kinavyozidi kunitajirisha japo mie ni darasa la saba na nipo chini ya miaka 30

Ni matesooo๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Naona mleta huu uzi kamuiga yule Mshikaji Dereva wa Uber aliyekutana na Pisi kali za Kishua na Yeye kaja na huu uzi wake kutafuta attention za watu humu. Vijana wadogo akili zimeshaanza kuchoka hata miaka 30 hawajafikisha ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Tuwasamehe tu bhana.. wapo kutufurahisha๐Ÿ˜Š
 
Hoo 500+ ni mbsli na nyumba na mashamba. Ina maana ukivij8mlisha vyote una bilioni kadhaa. Da
Sasa hivi upo 26 je 2010 ulikuwa ma muaka mingapi ? Hesabu insonesha ulikuwa na miaka 13.
Ndani ya miska 13 umeweza kuwa bilionea.
 
๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Fahari ianzie kwako kwanza sio kuja mtandaoni kuwafurahisha na kuwaringishia watu mambo au vitu usivyokuwa navyo. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Asa mtu si anaamua tu kujifurahisha jamani๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜‚
 
Kumbe matajiri wa la saba mna swaga sana, nilifikiri ni king Msukuma pekee ndo huwa anatolea povu wasomi.
 
tembo man haffi ruined dis bomboclat bway career
 
Safi sana huwezi kua maskini mitandaoni na kwenye real Life.

Halafu Kahama sio mkoa wewe darasa la saba .
 
Wewe unamiliki sanasana mti wa mkorosho...hakuna mwenye pesa anaweza kuandika upumbavu huu
 
Kah hili jamaa liongo Sana aisee au Kuna manufaa anapata kutokana na uongo wake?
 
Kweli wewe ni darasa la saba...mkoa wa Kahama ndo upi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ