Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Nashukuru kuna mtu kanifundisha namna ya kublock/ignore, usitukane mtu kama anakukera just ignore, matusi hayapendezi [emoji120]
Mkuu insider mim ni miongon mwa watu wanaofuatilia na kunufaika na hii story.
Sio watu wote hum wamesoma fasihi au wanaielewa fasihi . Kwa Sisi wanafasihi hatuna Shida na ukweli au uongo wa simulizi muhim tunatambua story inapaswa kubalance pande mbili za fasihi yaani fani na maudhui.

Simulizi inapaswa kubalance vyote fani na maudhui kitu ambacho wewe unakimudu Sana.

Ujumbe tunapata na burudani tunapata.

Unaposimulia story haimaanishi utaandika kila kitu isipokuwa utachagua matukio yapi uweke na yapi usiweke.
 
Ndugu mwandishi na wasomaji,hawa wa kupinga hawakosekani na njia rahisi ya kupambana nao ni kuignore comments zao. Akiandika iache bila kucomment chochote mwisho wa siku ataona ananuka kinyesi na bila shaka ataacha mwenyewe. Mtu akipinga wala msiandike chochote.Muache aandike hata mara 20,msijibu chochote
 
Shida ya jf kila mtu msomi,mjuaji,tajiri,ana connection,ana pisi kali,katembea abriad yaani ana kila kitu. Tatizo linaanzia hapo na ndipo wakosoaji walipo kwenye makundi hayo. Mleta story tusamehe kwa niaba yao na tunashukuru kwa uamuzi wako wa kuendelea na story.
 
Ni story nzuri liyojaa uongo nashangaa mtunzi anaiita true story. Kuna gap nyingi haswa yeye kukutana sana na abiria wa kike na wote wakamshobokea...zile trip za kupeleka abiria private posta...pesa zinavyotiririka upande wake nk

Otherwise ni mtunzi mzuri
Mimi kaniacha hoi tu kwamba mzungu ilibidi ampigie Irine magoti actually hawa jamaa hawana culture hiyo.Insider jitahidi kukoleza na uhalisia ili.kweli ifananie na hiyo unayoiita true story.
 
Haya.nikushukuru tu INSIDER MAN . Nimeanza leo kuusoma uzi wako mpaka unaishia hapa kwenye kelele.
Itoshe kusema leo umenisindikiza toka napanda basi iringa mpaka muda huu nashuka Arusha.

Ahsante sana.

Ukiendelea sawaa ..ukikaza pia sawa.Yote ni maamuz yako na una sababu zako.

Kwakifupi vitoto hivi vingi vya JF ni shida sana
Karibu Arusha mkuu
 
LAST WARNING!

Hassan Killo, ukiendelea kusumbua naweka hapa picha zako hadharani wakuone. Kuna hii moja umepiga ufukweni, na mapozi yako ya kuvunia pamba!

Kua makini dogo, dunia ni kijiji hii.
hahahahaha! Uwiiiiii, ebu wasaidie mods naona wanamlea hassan killo, nafkri ukiweka picha hatorudi tena.,. Mam*qe
 
Mimi kaniacha hoi tu kwamba mzungu ilibidi ampigie Irine magoti actually hawa jamaa hawana culture hiyo.Insider jitahidi kukoleza na uhalisia ili.kweli ifananie na hiyo unayoiita true story.

Mjomba ulikuwepo eneo la tukio???If yes Mzungu aliombaje msamaha?
 
Kuna Mwamba hapa anapiga hela Sana na Hana maneno mengi
Screenshot_2023-07-30-21-46-01-411_com.facebook.katana.jpg
 
Mdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.

Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.

Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.

Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.

Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.

Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.

Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;

1. Niandike Epsode zote then nizipost?

2. Ndani ya week niwe napost episode 3?

Option ipi kwenu itafaa?

BY INSIDER MAN
Eoisode zote kisha ukianza kuachia unaachia tu
 
Mdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.

Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.

Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.

Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.

Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.

Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.

Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;

1. Niandike Epsode zote then nizipost?

2. Ndani ya week niwe napost episode 3?

Option ipi kwenu itafaa?

BY INSIDER MAN
Weweeeeeeeee walete nakubali bro
Watu wanashindwa kuelewa sisi tunajifunza kupitia story hiz za jf
 
Mdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.

Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.

Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.

Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.

Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.

Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.

Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;

1. Niandike Epsode zote then nizipost?

2. Ndani ya week niwe napost episode 3?

Option ipi kwenu itafaa?

BY INSIDER MAN
Kwanza kabisa asante kwa kubadili mawazo yako na kutuheshimu kwa kuendelea na story kaka. Be blessed

Kuhusu hizo opt we angalia tu namna ambayo hutotuacha na arosto ya muda mrefu

Ila nadhani hii ya kutupia kila siku iko vizuri zaidi kama ulivokua unafanya
 
LAST WARNING!

Hassan Killo, ukiendelea kusumbua naweka hapa picha zako hadharani wakuone. Kuna hii moja umepiga ufukweni, na mapozi yako ya kuvunia pamba!

Kua makini dogo, dunia ni kijiji hii.
ndo ndugu yake na Juma killo? 🤣🤣🤣
 
Mkuu kwa niaba na heshima ya waungwana wote tuliokuwa pamoja nawe kila hatua, nakuomba umalizie mkuu...

Wabongo wengi hawajaumbiwa uvumilivu lakini wewe kupitia stori hii katika hayo unayoyasimulia yaonesha ni mtu mvumilivu, hivyo wapuuzie wanaosema ni chai...

JamiiForums na Maxence Melo kama kuna uwezekano, wekeni functionality kwa mleta mada kuwa na uwezo wa ku-admin uzi wake ikiwemo kuban au kuhide uzi wake kwa baadhi ya watu...

JF ya sasa ina tabaka fulani la watu wenye kujawa na matusi, kauli mbaya mbaya, kujihesabia haki na wote wa namna hiyo...
Usipovuta ugoro unakuaga na akili sana dakitare
 
Acha unafiki, kujiona na ujuaji.

Mtu kaleta kisa chake wewe unajua nini kwa yaliyomtokea?!
Iwe kweli Au uongo. Kwa nini unachagua kuwa ni uongo, kwa nn usichague kuwa ni ya ukweli Au Fanya hivi potezea iwe kweli Au uongo.
Sina maisha magumu dada, nilichonacho kinanifanya kuwalipa watu 30 mishahara na wanahudumia familia zaoView attachment 2703007
 
Sasa unatakiwa uniombe kama wenzio walivyokuja pm kuniomba niache jamaa aendelee na story, bila ya kuniomba nitaendelea kuwatetea walaji wa humu jf wasiokuwa na uwezo wa kusema.
Ila we kajamaa ni masikini sana hadi fikra za kimaskini
 
Back
Top Bottom