Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Dah endelea buana
 
Leta zako ambazo sio chai acha kudandia za watu.
 
Hii story ukiisoma vizuri mwanzoni kabisaa ina motivate kwenye kupambana na kupigania ndoto zako ila hapa ilipofika mwamba amejitafuta amejipata haswaa so kwasie wasakatonge wenzake Kuna kawivu kanaingia (ni kawaida) huu wivu wa mafanikio unakipimo chake, ukiwa ni wivu wa kawaida basi utakumotivate, ukiwa ni wivu wa kupitiliza hapa inatengeneza chuki na hasira za kwanini, kitu ambacho tunapaswa kujua huwa Kuna kipimo cha wivu, kamwe tusiruhusu wivu wa kupitiliza ututawale.
 
We hayo matukio halisi sindiyo
Uyalate sasa kiazi ww... kanuni ni moja tu ukiona mtu anasema uongo na ukwel unaujua unaelezea hali halisi
 
Mnaokuja pm kuniomba nilegeze msimamo wangu sitaki, nimeamua kwa hiari yangu kuwatetea walaji kwa hiyo sishauriki katika hilo, lengo ni kuiona jf yenye maudhui ya kweli na maana sio kunyweshana chai ya moto na joto hili.
Kiazi
 
Ndani ya wiki episode 3
 
INSIDER MAN
wapuuzi wa5 wasifanye watu 10,000 wakose uhondo!

Asante kwa kuamua kuimalizia story, andika yote uitupie episodes zote.

Ukikwama bando twaweza changia.
Hao wanaosema chai walete mandazi, waandike zao.
 
N
Ndugu Hassan nusu na robo
 
Broda unakubalije kuwasikiliza hawa mapapai. We weka stor usisome maelezo ya watu. Kuna shule kubwa kwenye stori yako ni wajinga tu wanachagua namna ya kuitafsiri wao. We weka stor mjanja anajifunza mpuuzi anadiscus.
 
Qumamaqee mwamba kama mwamba
 
Kitu ambacho watu hawaelewi ni kimoja...kwenye story lazima pawe na uhalisia wa eneo husika..mfano mzungu akapiga magoti....

Ukiangalia hata tamthilia Azam TV...kuna sehemu wanatafri kwa kiswahili ..tamththilia mfano za kituruki..kuna muda utakuta wanasema fanya masiala nini?? Hilo neno kwa kituruki lipo kweli.?? Ila ni katika kwendana na mukutadha wa maisha yaliyopo ya kibongo
 
Kwenye maisha usijaribu kufanya maamuzi kwa sababu ya mtu mmoja kakukera angalia walio wengi ambao wako upande wako.
 
Mwambieni aharakishe hiyo episode mpya nataka kuitolea maoni leoleo kabla sijalala.
Daah imebidi nicheke tu! Hivi nyie jamaa hicho kikao chenu cha criticism plan mlikaa wapi na wenzako?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


INSIDER MAN endelea na story yako hawa jamaa hutawaweza wameamua kuwa upande huo wa kuchambua na kupinga and which is normal in life.
 
Ila insider umepoteza uaminifu.utasusaje ,kususia watu 1miliom Kwa sabab ya watu 3.


Kuna wakati ilryn Ali appreciate akakuita gentleman.


You're Gentleman nana. Naona bado wapo wapo Wana maneno don't care. Be a man
 
Yes.... Kwasasa baridi imepungua kwakweli

Tunaingia msimu wa vumbi sasa

Ni hakuna kupumzika[emoji28]
Hapa ni leo leo nachomoka ...sina uhakika kama huu mji una gari za muda wote kama Mbeya au iringa anytime unaondoka kwenda mjini
 
Sasa mtu anakaa kwa dada ake ana kutisha
 
Huna sababu yoyote unatafuta attention tu.
Ukianzisha uzi wako unabuma unaamua kupitia nyota za wanaume kama hivi.
Nitafute attention Kwa lipi..Kwan tunajuana umu?? hapa mm ni sehem ya kupumzisha akili tu,,kama ww unachukulia seriously jf pole zako .wajinga kama ww ndio mnakimbilia umu na kuchukulia mambo seriously..

Sijawah anzisha Uzi umu na sitofanya never coz najua wajinga umu wengi kama ww huwez nishaur chochote.. simply your nothing umo kichwan.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…