Tajiri mkopeshaji
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 613
- 1,445
salute!!!! Tukipata watu kumi wenye fikra pevu kama ww,,angalau chai zitapungua umu jf..Tena wasichezee kabisa kuleta story za uongo hapa, matukio ya uongo halafu watu wanakenua tu. Mimi nitakuwepo kutwa nzima hapa kuhakikisha jamaa haleti uongo wake hapa.
noted..Nashukuru wewe mwerevu, ila tahadhari siyo kila mtu anafaa kutukanwa ndg kuwa makini na zingatia hilo
kataa uongo!!Mkuu hawa misukule ni ngumu kuibadilisha, watu wanadanganywa ila wanakenua tu. Nimeshamwambia mtunzi azingatie matukio yawe na uhalisia au aweke wazi mapema tu kuwa ni story ya uongo. Haiwezekani watu na pumbu zetu tukae chini tusome uongo unaodaiwa ni kweli.
watu kama nyinyi ni wa kupigwa ban tuu kwani umelazimishwa usome?kataa uongo!!
Kataa chai!!
Chai peleka fb!!
Naona maisha yamekuchapa kweli kweli unatafuta pa kutolea stresskataa uongo!!
Kataa chai!!
Chai peleka fb!!
Inaniumiza kichwa changu sanaIna Nini mkuu
Kwqni tatuzo ni nini hata kama tukidanganywa?? Kina chochote anapunguza mifukon na akilini mwetu?? Kwann ww usiendelee na mambo mengine unayoona ya ukweli ukaachana na hili dogo la uongo!!Mkuu hawa misukule ni ngumu kuibadilisha, watu wanadanganywa ila wanakenua tu. Nimeshamwambia mtunzi azingatie matukio yawe na uhalisia au aweke wazi mapema tu kuwa ni story ya uongo. Haiwezekani watu na pumbu zetu tukae chini tusome uongo unaodaiwa ni kweli.
Wengine kina nani, kwa nini unajipa uhalali wa kiwasemea wengine, jisemee mwenyewe usitafute kichaka cha "wengine". We jamaa unaonekana una mambo ya kijinga kabisa.Wapi nimesema naumia, hilo nilitolea mfano wa moja kati ya mambo yanayoonyesha udanganyifu wa wazi, kama umetekwa na story ni wewe mkuu ila sisi wengine hatuko hivyo tunahoji palipo na sababu ya kuhoji.
Bora mzee wako angetumia condom tu, kwa kutokutumia kwake kaleta shida duniani.Personal attack haitasaidia kunirudisha nyuma, mimi nacritisize uzi wewe unaleta mambo binafsi. Kwa kuwa mna arosto na story basi jiungeni kumbembeleza msimulizaji aendelee ila sharti awe mkweli, akiweka chumvi tu mimi huyu hapa.
@insider man refer my comment!! Utasabisha nionekane tapeli!!!! Please naomba usisuse as you said beforeLeta mzigo hapa unanifarakanisha na wateja wangu. Nimeunda group la WhatsApp wanalipia buku 2 sa wanataka next Episode
Fursa mzee@insider man refer my comment!! Utasabisha nionekane tapeli!!!! Please naomba usisuse as you said before
Sio uliishi mkuu. Bado unaishi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Tuendelee kula kimasiahara.Hebu tuzingatie Hili
Medecin , fungua hii link ya jamaa hapa bonyeza button tatu za juu then IGNORE, hakuna mahala utaona comment zake, unajua tatizo la akili lipo na dawa yake haipo. Hapo ndipo shida ilipo,
Asitokee mtu kumjibu, hili litaisha, uzi wa kula tunda kimasihara uliishi muda mrefu sababu tuliamua kupuuza wapuuzi wanaojidai wao ni wajuaji zaidi
Bro endelea haters hawakosekani tonatofautian kiakili ila kuna sisi wengine tunajifunza mengi sana kupitia stori yako tunakuombz tuendelee na stori tumalizieNdugu zangu wana JF kwa heshima ya watu wote humu ndani naomba kuisotisha hii story iishie hapa sitoimaliza maana inaonekana ni chai. Na mimi siwezi kupoteza muda kuandika kitu ambacho watu wanasema ni uongo.
Nina mambo na majukumu mengi ya kufanya na hakuna anayenilipa kwenye hii story, napoteza muda wangu kuwapa watu story kilichonitokea na mpaka nikaamua kuandika lakini inaonekana ni 0,
Nafikiri kila mtu aendelee na mambo yake kwa stage iliyofikia kumaliza story itakua ngumu, nafikiri tuishie hapa. Kama mtu ameshasema story ni chai kuna haja gani ya kuendelea kuandika?.
Kwa wale tuliokuwa pamoja ahsanteni kwa muda tulionza pamoja ila mimi binafsi nimeshindwa kuendelea kuandika, maana watu wanakatisha sana tamaa.
Story haijaisha hapo niko na matukio ya March, lakini mtu kashaaanza kutukana, haters wamekua wengi, lakini hii ni JF kila mtu anahaki ya kuongea. Ustaarabu mngesubiri story iishe hapo ndo muanze kujudge, maana hivi vyote nilivyoandika na ushahidi navyo kwa picha, Contracts nilizoingia nawateja zangu zote ninazo mpaka Iryn.
Story haijaisha mtu watu wameanza kukosoa anyway ndo wabongo walivyo, sinaga muda na JF ila haya matukio yalinitokea ni kweli na nilikua ndo nimeanza kuingia kwenye kiini cha story na nilikua nimepanga kuandika Epsodes 30 tu.
Wabongo tunakosa kitu kinaitwa patient hapa ndo tunafeli sana, story haijaisha hata mjue lengo la kichwa cha story lakini watu wameanza kushout. Siwezi endelea kuandika kwa style hii inakatisha tamaa, ndomana story nyingi za JF zinaishia njiani.
Wale ambao tunawasiliana PM na tumebadlishana namba tutaendelea kuwasiliana tuko pamoja, ila niseme biashara ya Uber ilinipa mafanikio sana na mpaka sasa naendelea kunufaika.
ALL THE BEST
Hassani Killo,me nadhani ungetulia tu uache uzi wa watu uendeleeKufanya biashara na wewe sio sababu ya kunianika, mimi ni verified member na na watu wengi tu najuana nao physically including you, sasa kunijua jina na details zangu kadhaa usidhani unayajua maisha yangu yote.
Nilikuwa msamvu najenga hostel ya mzee pale MUM ndio nikawasiliana nawewe wakati nje ya hapo hatujuani kihivyo
Usipovuta ugoro unakuaga na akili sana dakitare
Ila Hassani Killo una mikwara ya kitoto sana! Kwanini inakuuma INSIDER MAN kupendwa na mademu? We umevuliwa ubingwa au ni vp?Wazee nimerudi, vipi tuanzie tulipoishia au nilegeze kama jamaa aendelee na story? maana hata mimi ni fan wake ila sipendagi uongo. Nina uwezo wa kumwambia aendelee au asiendelee na akakubali.
Angalizo: Atakayenijibu vibaya ndio mbaya wenu asiyetaka story.
1. Niandike Epsode zote then nizipost?
2. Ndani ya week niwe napost episode 3?
Option ipi kwenu itafaa?
BY INSIDER MAN