Atlast nimempata
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 386
- 680
Najiorodhesha nikiwa wa kwanza! NitagMwisho wa story nitawapa option kwa watakaotaka kumwona Iryn kuweni humble.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najiorodhesha nikiwa wa kwanza! NitagMwisho wa story nitawapa option kwa watakaotaka kumwona Iryn kuweni humble.
Mkuu tupe ya kuzugia hapa wengine hatuna usingizi
Mh? Mama edina insiderman kakuita baby! Angalia usijeliwa kimasihara Mama Edina insiderman sio mtu mzuri atii!!@[emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu tumesubiri siku nzima aise,tupe hata episode Moja tutafutie usingizi,alafu kesho ushushe hizo mbiliKesho nitawapa 2 mkuu, kuweni humble. Story ipo tayari ila sijaifanyia mapitio. Huku tunakokwenda sasa andaeni popcorn tu maana ni kutamu balaa.
Oya wee [emoji18][emoji39] kesho ni full burudani tuu Simba tunampiga mtu halafu nakuja kumalizia Uzi wako hapa[emoji897]Kesho nitawapa 2 mkuu, kuweni humble. Story ipo tayari ila sijaifanyia mapitio. Huku tunakokwenda sasa andaeni popcorn tu maana ni kutamu balaa.
DahhhKesho nitawapa 2 mkuu, kuweni humble. Story ipo tayari ila sijaifanyia mapitio. Huku tunakokwenda sasa andaeni popcorn tu maana ni kutamu balaa.
Mkuu tumesubiri siku nzima aise,tupe hata episode Moja tutafutie usingizi,alafu kesho ushushe hizo mbili
Oya wee [emoji18][emoji39] kesho ni full burudani tuu Simba tunampiga mtu halafu nakuja kumalizia Uzi wako hapa[emoji897]
Mambo yako haya mkuu [emoji119]View attachment 2715802
Kama upo samaki samaki nitag tuonane niko na Mama J hapa tuna enjoy [emoji4]
Mambo yako haya mkuu [emoji119]
𝑲𝒊𝒏𝒚𝒘𝒂𝒋𝒊 𝒄𝒉𝒂𝒌𝒐 𝑷𝒆𝒏𝒅𝒘𝒂View attachment 2715802
Kama upo samaki samaki nitag tuonane niko na Mama J hapa tuna enjoy [emoji4]
Mwisho wa story nitawapa option kwa watakaotaka kumwona Iryn kuweni humble.
Mimi ni pm na picha ya iryn! Please! Hata kipande cha mguu au uno au sura au kwapa au kifua, au full! 😄😆😆😆View attachment 2715802
Kama upo samaki samaki nitag tuonane niko na Mama J hapa tuna enjoy [emoji4]
Utaharibu usimuonyeshe kabisaaa... Haujafikiri labda kuna ambao watakuwa wameenda talk of the town area kumvizia hayo maeneo?
Kwani ni nani asiejua kama iryn ni mobetoKuna watu hamko serious mjue, mnaomba picha ya Iryn DM tafadhali[emoji23][emoji23]
Oooh sawa mkuu...Ni utani tu mkuu #arosto
Shida yako nini mrembo?Utaharibu usimuonyeshe kabisaaa... Haujafikiri labda kuna ambao watakuwa wameenda talk of the town area kumvizia hayo maeneo?