Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Wakati wajumbe wanakaa kupitisha suala la stori kuwekwa Weekend tu sikuwepo maana nisingeunga hiyo hoja...Hii stori ilipaswa itupiwe humu kila siku jioni mtu unatoka kibaruani unajua kabsa kuna burudani ukifka home
Sisi tulipitisha nikiwa makamu mwenyekiti na kura ilipigwa na ikaonekana wengi wali unga mkono story iletwe ijumaa , jmoss na jpili

Na hili limekuja Muda mfupi baada ya baadhi ya wajumbe kusema hii story Ni chai tupu na Hakuna ukweli wowote ndipo bwana insider akaomba kuahirisha kutoa story yake na ndio baadae sisi tulifika Hadi nyumbani kwake makulu anakojenga kwenda kumuomba agahirishe uamuzi wake ndio akakubali alete every weekend

Hata hili ya kuleta ktk za week Ni kwamba amefunja mkataba tulio wekeana na hili alikubaliki kbsa namuonja atii mkataba wa kuleta story kila weekend
 
Utakuwa unatamani kumuonja.
 
Bora sasa INSIDER MAN amepata mtetezi wa kweli [emoji120]
 
Biashara ya Uber pia imeniachia kumbukumbu mbaya sana ambayo sitokuja kuisahau kwenye Maisha yangu.

“MEMORIES NEVER DIE.”
Imekuachia kumbukumbu gan mbaya
 
Sijui kwa nini nahisi kwamba Irene atakuwa kafia huko ndani kwake? Japo naombea isiwe kweli

Ndugu zangu tusipende sana kuishi peke yetu kwa vyovyote vile tujitahidi angalau kuwa hata na ndugu mmoja au dada wa kazi hata kama unaona hauhitaji dada wa kazi but for security reasons better to have one.

Wakati mwingine unaweza hata ukaumwa ghafla au ukafia ndani peke yako tu hakuna atakayejua ukiwa unaishi mwenyewe.

Sasa hapo kama Irene angekuwa na dada wa kazi angalau zisingepita siku zote hizo bila kutafutwa!! Dada wa kazi angeshirikisha majirani kama mama mwenye nyumba haamki au hajarudi kama alitoka.

Huu uzi una mengi ya kujifunza.
 
Ungelijua raha tunazopata watu tunaoishi home alone wala usingetoa ushauri huo, kufa mtu atakufa tu Na kuoza ataoza hata apigwe kafru maiti, hofu ya nini sasa, Na tusikariri kifo mungu alivyokuandikia kitokee hata ukaishi mwezini au barabarani utakufa ulipopangiwa mauti yakukute.
 

Iyrn alifia ndani kwake baada ya kuwekewa sumu kwenye kinywaji na Muajeni pindi wakiwa Zanzibar, sumu hiyo ilimla pole pole na baada ya kufika nyumbani kwake ndipo alifia ndani.

Wewe Insider baada ya kumpigia Muajemi kumuulizia kuhusu Iyrn nae pia akakujibu hafahamu, na ndipo Muajeni akawa amepata jibu sahihi kuwa sumu aliyomuwekea Iyrn pindi wakiwa Zanzibar imefanya kazi na ametimiza lengo lake la kumuua Irene, ndipo akaamua kufunga safari yake ya ghafra kuondoka,

Na ndio maana tangu akate simu hakumpigia tena Muajemi ili kumuuliza kama amempata Iyrn,

Na kingine ninachoweza kuhisi ni kwamba, Yule Mama mzungu huenda pia amehusika kwa kifo cha Iryn , huenda Muajemi alikua ni mamluki aliekodiwa na mama mzungu ili kumuua Iyrn ili mama huyo aweze kuendelea kumiliki mari zote alizotakiwa kuzimiliki Iyrn na ndio maana mama huyo amehama alipokua akiishi na amezima simu yake.


, Bira shaka baada ya kuvunja mlango na kukuta maiti ya Iyrn ulijaribu kumpigia kwa njia ya WhatsApp Muajemi hakupatina tena.

WAUAJI NI MUAJEMI NA MAMA WA KIZUNGU.🫡
 
Dah nimeogopa
 
Duuuh
 
Kama umauti ulivyomkuta marehemu Isaac Muyenjwa Gamba huko nchini Ujerumani, so sad yani [emoji17]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…