Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Wiki mbili zote hizo.....mm siku hiyo ningelala stand.
 
Sijasoma.
 
Kwakwel una ngekewa..!!Nyota yako kama alivyosema Msomaji inang'aa mno!
 
Nilikua nimemshika mkono kuonesha hata mimi na chombo kikali ila ukweli sio dem wangu ni bossy wangu na uzuri wa Iryn hakuaga mtu wa kujionyesha.



Mtaalam wewe jasiri sana.....duh!!!
 
cocochanel wewe ni platinum member wa JF halafu hata kuandika hujui.Huwa unaandika vitu havieleweki πŸ™„
 
Nilikua nimemshika mkono kuonesha hata mimi na chombo kikali ila ukweli sio dem wangu ni bossy wangu na uzuri wa Iryn hakuaga mtu wa kujionyesha.



Mtaalam wewe jasiri sana.....duh!!!
Ni asili ya kila nafsi kutaka kuwa juu ya nyingine na ndio Mana tuna develop kwa jinsi iyo. Yaani huwa kaushindani ndani kwa ndani mwa nafsini zetu. Ingawa Ina ubaya na uzuri wake pia
 

Sasa katika katiba ya mabazazi, huu ndio wakati sahihi wa kuku kuliwa sababu kashalizoea banda...
 
Kwa jinsi story hii inatufundisha mengi naomba insider atafute hata lipa namba tumpe chochote kile. Badala ya kunywa bia 2 ni heri nikupe moja kaka. Be blessed. Msalimie Junior
Na mimi najitolea kumtengenezea hyo Lipa Namba bure kabisaaa.......,

Iwekwe hapa jukwaani achangiwe kidogo......,,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…