Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Hii stori imekuwa Kama kusubiria maziwa fresh kusubiria yagande ndio tule ugali.....nilichogundua mwandishi huenda ikawa Ni true story ila iko wazi mwandishi hatakii hii story ifike mwisho kasi ya mwanzo inaendelea kupungua huku mbele tunaona uongo uongo mwingi na maneno mengii yasiyo na msingi ili kujaza episode apate neno la kusema...tukutane week ijayo au sitokuwa mjini...Huyu mwamba msanii Sanaa hata Mimi nishamchoka.....hamna msingi wa story kwenye Kila episode imebaki DIALOGUE TU!!!!
🤣🤣🤣Alipiga uturn pale kwenye kutoweka kwa iryn
Pale ndo story narration yote aliibadil,waliosoma literature kwa hobby kama mie nilimsoma🤣
Na ukiisoma kwa makini uhai wa story uliishia pale
Anyways,good story👌
Mie nashukia hapa faya 🤣🏌️🏌️🏂🏄
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alipiga uturn pale kwenye kutoweka kwa iryn
Pale ndo story narration yote aliibadil,waliosoma literature kwa hobby kama mie nilimsoma[emoji1787]
Na ukiisoma kwa makini uhai wa story uliishia pale
Anyways,good story[emoji108]
Mie nashukia hapa faya [emoji1787][emoji2506][emoji2506][emoji473][emoji475]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ...ila bhn pale demu anakuita chumbani kwake afu unaleta Mapenzi ya kikorea aisee Ni wazi huyu jamaa hakumla huyu manzi.....anajaribu kutupanga tu baada ya kuona comments nyingi watu hawawezi muelewa inabidi ajaribu UTURN bro!!!!
 
Fact. Hii story kimsingi ilishaisha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alipiga uturn pale kwenye kutoweka kwa iryn
Pale ndo story narration yote aliibadil,waliosoma literature kwa hobby kama mie nilimsoma[emoji1787]
Na ukiisoma kwa makini uhai wa story uliishia pale
Anyways,good story[emoji108]
Mie nashukia hapa faya [emoji1787][emoji2506][emoji2506][emoji473][emoji475]
 
Hii stori imekuwa Kama kusubiria maziwa fresh kusubiria yagande ndio tule ugali.....nilichogundua mwandishi huenda ikawa Ni true story ila iko wazi mwandishi hatakii hii story ifike mwisho kasi ya mwanzo inaendelea kupungua huku mbele tunaona uongo uongo mwingi na maneno mengii yasiyo na msingi ili kujaza episode apate neno la kusema...tukutane week ijayo au sitokuwa mjini...Huyu mwamba msanii Sanaa hata Mimi nishamchoka.....hamna msingi wa story kwenye Kila episode imebaki DIALOGUE TU!!!!
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
**Prisca ni aina ya wale wanawake wanaopenda sana kudekezwa na kupetiwa petiwa, na pia ni aina ya wanawake ambao wakipenda wanapenda kweli.

Sasa mimi wanawake wa dizaini hii siwawezi kwakweli kwenye historia ya maisha yangu. Suala la kumbembeleza na kumdekeza mwanamke kama movie za Kikorea mimi siwezi.**

HAYA NDIO MAAMUZI YA KIUME
Same too me
 
Insider unapenda hela ila unapenda mihela vidogo. Hauna long run plan ...plan zako zote ni upate hela kesho upite hivi.

Ninge kua mimi ndio wewe ningefanya mipango ya kumbinafsisha irene by any means. Yaani ningecheza karata zote kuhakikisha irene ni wangu na ananitegemea mimi kikila kitu yaani hakuna kitu atafikiri afanye bila kunishirikisha na kwa moto ambao ninge mnogesha nao angejikuta tu ni mjamzito na hatuna jinsi zaidi ya kuendelea kuwa pamoja na kuniheshimu ka mme wake.


Sasa wewe ulikua radhi kumuuza kwa muajemi ili akupe hela za supu ambazo sio constant yaani anakupa leo milioni tana halafu hujui nyingine atakupa lini na anaishia kukuahidi tu kuwa mtafanya biashara [emoji16][emoji16][emoji16]

Wakati huo irene amesha kupa mkataba wa uhakika wa kila mwezi kuvuta milioni 2 Haha ishia hapo tu bado unanafasi ya kumiliki yeye na miradi yake na Mali zake. Wewe unataka uendelee kuwala kimasihala wakina prisca.....bro chance yako ya kuingia kwenye umilionea ukiwa kijana ilikua ni kujimilikisha irene no matter mama junior atafanya nini maana huyo mama j mwenyewe bado humjui vizuri siku akianza kuvuta mpunga wake wake wa uhakika atakuaje.

Yaani ile siku ana financial freedom ndio utajua hujui ...

Na irene angekuambia anakupenda angekua anakupenda ile ukweli kabisa. Ika mama j inaweza ikiwa ni vile hajui atafanyaje cos bado hajagusa hela za uhakika.
Hata mimi ningedoo that ningempelekea moto wa hatari[emoji23]
 
Hii stori imekuwa Kama kusubiria maziwa fresh kusubiria yagande ndio tule ugali.....nilichogundua mwandishi huenda ikawa Ni true story ila iko wazi mwandishi hatakii hii story ifike mwisho kasi ya mwanzo inaendelea kupungua huku mbele tunaona uongo uongo mwingi na maneno mengii yasiyo na msingi ili kujaza episode apate neno la kusema...tukutane week ijayo au sitokuwa mjini...Huyu mwamba msanii Sanaa hata Mimi nishamchoka.....hamna msingi wa story kwenye Kila episode imebaki DIALOGUE TU!!!!
Ungekua na majukumu hiki ni kitu kidogo sana.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Alipiga uturn pale kwenye kutoweka kwa iryn
Pale ndo story narration yote aliibadil,waliosoma literature kwa hobby kama mie nilimsoma[emoji1787]
Na ukiisoma kwa makini uhai wa story uliishia pale
Anyways,good story[emoji108]
Mie nashukia hapa faya [emoji1787][emoji2506][emoji2506][emoji473][emoji475]
Nyie vipi mbona shobo nyingi
 
Back
Top Bottom