Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

**Prisca ni aina ya wale wanawake wanaopenda sana kudekezwa na kupetiwa petiwa, na pia ni aina ya wanawake ambao wakipenda wanapenda kweli.

Sasa mimi wanawake wa dizaini hii siwawezi kwakweli kwenye historia ya maisha yangu. Suala la kumbembeleza na kumdekeza mwanamke kama movie za Kikorea mimi siwezi.**

HAYA NDIO MAAMUZI YA KIUME
 
Ila insider.....

Unachanganya sna mbna kila mtu unae kutana nae Ni pisi Mara dad ake prisca kishamba Ni mkali kupita prisca wkt awali umesem prisca kishamba Ni mashine Zaid ,Tena uliyempeleka air port Ni mwnamke mrembo kuwai kumbeba na kumuona

Embu Seema ukweli Nani mkali
Mkeo,prisca,marry ,iryn,wale wa mam wa will au mchepuko wa Yule kigog wa serkali. Nani mkali katk wote ili niweze ku portroyi piss Ni ipi Kali ktk hzo Seema bila kujali
Kishamba😂
 
IN ADDITION

Sikuwai kuwapa muendelezo kwa kilichotokea kwa Uncle wangu. Alihama pale Mikocheni alijenga nyumba yake huko Bunju. Sasa mwaka 2020 wachina waliondoka Tanzania, sababu kubwa ilikua ni kodi. Kama mnavyojua Wachina ni wakwepaji wakubwa wa kodi.

Uncle wangu ni mhuni sana alificha gari ya kampuni mpaka leo analo, na baadhi ya madeni alokuwa anakusanya alikua anaficha. Kesi ilikua kubwa ikapelekea wachina kuamisha stoo yao ya Mabag ili kuzikwepa mamlaka za serikali.

Walikua wanafanya kazi ya kuuza mabag store pamoja na kukopesha na kupunguza bei ili yatoke haraka wao waondoke.

Baada ya kuona hali so hali wakaondoka chap, Uncle pesa alizobaki nazo pamoja na madeni ilikua ni zaidi ya million 80, hizi ni taarifa za ndani kabisa nilipata. Sio hivyo tu, walimwachia na Godown kile kiwanda cha assembling, hivyo kulikua na assets kibao kama ma AC, ma fan, na mazaga kibao. Nyumba walokua wanakaa waliacha mashine nyingi kama mashine za kufulia, yaani waliacha mazaga kibao.

Mzee baba akalifumua lile Godown akauza Mabati, mbao, nyaya za umeme, ma AC, ma fan na mitambo kibao. Unaambiwa kupitia lile godown aliingiza si chini ya 20 million. Bado vitu vingine vilivyoachwa na wachina mle ndani.

Baada ya hapo mzee baba alishindwa kupanga mipango mizuri ya zile pesa akaanza kula bata na madem zake, unaambiwa hata home akawa harudi, ukifungua gari lake unakutana na machupa ya wine na bia tu.

Zile pesa hatimae zikaisha na hakufanya jambo lolote la maana la kimaendeleo, Since 2021 life ni gumu sana. Aunt yangu alikuaga mtu wa nyumbani tu, kuna kipindi nilimpaga ushauri afungue hata biashara ya Mabag hata hakutaka kunisikiliza sababu pesa zilikuwepo. Hata Uncle nilimshauri afungue biashara ya kuuza jumla na rejareja bag zote lakini hakunielewa kipindi kile.

Life limegeuka now wanahali mbaya sana kiuchumi, wale watoto zake hawasomi shule japo walifaulu form 4, yule mtoto mkubwa niliongea naye nimsapoti arudi shule lakini aligoma kabisa, alisema anataka akomae na mambo yake shule hapana. Dogo nilishamsapoti na kiasi cha pesa tayari, mambo mengine atajua yeye.

Aunt aliyekua ananiona mimi fala, now ndo ananitafuta niwe namsaidia. Kuna jambo moja ambalo anataka kulifanya ni kuhusu yule mtoto wa mwisho wa kike. Tulikua tunapatana sana hivyo nitamsapoti kwenye masomo yake akianza secondary hiyo ndo plan yangu.

Kipindi nakwenda kuwasalimia nilienda na mke wangu na mtoto, maana hata familia yangu walikua hawaijui na pia niliwakaribisha kipindi cha kutoa mahali na hawakutaka kuja. That time nilienda na gari kabisa.

Maisha ni fumbo kubwa sana, yule unayemdharau ndo anakuja kuwa msaada kwako. Muheshim kila unayemwona mbele yako, hakuna anayejua ya kesho. Kesho yetu sote hapa ni fumbo.​
Kabisa mkuu mi mwenyewe nimepitia na bado napitia.
 
Insider unapenda hela ila unapenda mihela vidogo. Hauna long run plan ...plan zako zote ni upate hela kesho upite hivi.

Ninge kua mimi ndio wewe ningefanya mipango ya kumbinafsisha irene by any means. Yaani ningecheza karata zote kuhakikisha irene ni wangu na ananitegemea mimi kikila kitu yaani hakuna kitu atafikiri afanye bila kunishirikisha na kwa moto ambao ninge mnogesha nao angejikuta tu ni mjamzito na hatuna jinsi zaidi ya kuendelea kuwa pamoja na kuniheshimu ka mme wake.


Sasa wewe ulikua radhi kumuuza kwa muajemi ili akupe hela za supu ambazo sio constant yaani anakupa leo milioni tana halafu hujui nyingine atakupa lini na anaishia kukuahidi tu kuwa mtafanya biashara [emoji16][emoji16][emoji16]

Wakati huo irene amesha kupa mkataba wa uhakika wa kila mwezi kuvuta milioni 2 Haha ishia hapo tu bado unanafasi ya kumiliki yeye na miradi yake na Mali zake. Wewe unataka uendelee kuwala kimasihala wakina prisca.....bro chance yako ya kuingia kwenye umilionea ukiwa kijana ilikua ni kujimilikisha irene no matter mama junior atafanya nini maana huyo mama j mwenyewe bado humjui vizuri siku akianza kuvuta mpunga wake wake wa uhakika atakuaje.

Yaani ile siku ana financial freedom ndio utajua hujui ...

Na irene angekuambia anakupenda angekua anakupenda ile ukweli kabisa. Ika mama j inaweza ikiwa ni vile hajui atafanyaje cos bado hajagusa hela za uhakika.
 
Insider unapenda hela ila unapenda mihela vidogo. Hauna long run plan ...plan zako zote ni upate hela kesho upite hivi.

Ninge kua mimi ndio wewe ningefanya mipango ya kumbinafsisha irene by any means. Yaani ningecheza karata zote kuhakikisha irene ni wangu na ananitegemea mimi kikila kitu yaani hakuna kitu atafikiri afanye bila kunishirikisha na kwa moto ambao ninge mnogesha nao angejikuta tu ni mjamzito na hatuna jinsi zaidi ya kuendelea kuwa pamoja na kuniheshimu ka mme wake.


Sasa wewe ulikua radhi kumuuza kwa muajemi ili akupe hela za supu ambazo sio constant yaani anakupa leo milioni tana halafu hujui nyingine atakupa lini na anaishia kukuahidi tu kuwa mtafanya biashara [emoji16][emoji16][emoji16]

Wakati huo irene amesha kupa mkataba wa uhakika wa kila mwezi kuvuta milioni 2 Haha ishia hapo tu bado unanafasi ya kumiliki yeye na miradi yake na Mali zake. Wewe unataka uendelee kuwala kimasihala wakina prisca.....bro chance yako ya kuingia kwenye umilionea ukiwa kijana ilikua ni kujimilikisha irene no matter mama junior atafanya nini maana huyo mama j mwenyewe bado humjui vizuri siku akianza kuvuta mpunga wake wake wa uhakika atakuaje.

Yaani ile siku ana financial freedom ndio utajua hujui ...

Na irene angekuambia anakupenda angekua anakupenda ile ukweli kabisa. Ika mama j inaweza ikiwa ni vile hajui atafanyaje cos bado hajagusa hela za uhakika.
Hii mindset ndo inafanya watu wasiwe na marafiki, watu wamekaa kimaslah maslah
 
Insider unapenda hela ila unapenda mihela vidogo. Hauna long run plan ...plan zako zote ni upate hela kesho upite hivi.

Ninge kua mimi ndio wewe ningefanya mipango ya kumbinafsisha irene by any means. Yaani ningecheza karata zote kuhakikisha irene ni wangu na ananitegemea mimi kikila kitu yaani hakuna kitu atafikiri afanye bila kunishirikisha na kwa moto ambao ninge mnogesha nao angejikuta tu ni mjamzito na hatuna jinsi zaidi ya kuendelea kuwa pamoja na kuniheshimu ka mme wake.


Sasa wewe ulikua radhi kumuuza kwa muajemi ili akupe hela za supu ambazo sio constant yaani anakupa leo milioni tana halafu hujui nyingine atakupa lini na anaishia kukuahidi tu kuwa mtafanya biashara [emoji16][emoji16][emoji16]

Wakati huo irene amesha kupa mkataba wa uhakika wa kila mwezi kuvuta milioni 2 Haha ishia hapo tu bado unanafasi ya kumiliki yeye na miradi yake na Mali zake. Wewe unataka uendelee kuwala kimasihala wakina prisca.....bro chance yako ya kuingia kwenye umilionea ukiwa kijana ilikua ni kujimilikisha irene no matter mama junior atafanya nini maana huyo mama j mwenyewe bado humjui vizuri siku akianza kuvuta mpunga wake wake wa uhakika atakuaje.

Yaani ile siku ana financial freedom ndio utajua hujui ...

Na irene angekuambia anakupenda angekua anakupenda ile ukweli kabisa. Ika mama j inaweza ikiwa ni vile hajui atafanyaje cos bado hajagusa hela za uhakika.
Tamaa mbele, mauti nyuma. Mwamba yupo genuine kabisa na hata hana tamaa na ndiyo maana amejenga imani kubwa kwa watu.
Wewe ni dizaini ya watu ambao hawaaminiki.
 
Tamaa mbele, mauti nyuma. Mwamba yupo genuine kabisa na hata hana tamaa na ndiyo maana amejenga imani kubwa kwa watu.
Wewe ni dizaini ya watu ambao hawaaminiki.
Kwa hiyo Bora amuuze tu rafiki na amcholee ramani ya udhaifu wake kwa watu asio hata wafahamu vizuri kama muajemi. Vipi huyo muajemi angemteka dada wa watu ingekuaje ....?

Hata huyo insider mwenyewe angeanzia wapi kumpata huyo muajemi....?

Yaani ni Bora kama alishindwa kula yeye angemuacha dada wa watu na sio kumuuza.
 
Hii stori imekuwa Kama kusubiria maziwa fresh kusubiria yagande ndio tule ugali.....nilichogundua mwandishi huenda ikawa Ni true story ila iko wazi mwandishi hatakii hii story ifike mwisho kasi ya mwanzo inaendelea kupungua huku mbele tunaona uongo uongo mwingi na maneno mengii yasiyo na msingi ili kujaza episode apate neno la kusema...tukutane week ijayo au sitokuwa mjini...Huyu mwamba msanii Sanaa hata Mimi nishamchoka.....hamna msingi wa story kwenye Kila episode imebaki DIALOGUE TU!!!!
 
Hii stori imekuwa Kama kusubiria maziwa fresh kusubiria yagande ndio tule ugali.....nilichogundua mwandishi huenda ikawa Ni true story ila iko wazi mwandishi hatakii hii story ifike mwisho kasi ya mwanzo inaendelea kupungua huku mbele tunaona uongo uongo mwingi na maneno mengii yasiyo na msingi ili kujaza episode apate neno la kusema...tukutane week ijayo au sitokuwa mjini...Huyu mwamba msanii Sanaa hata Mimi nishamchoka.....hamna msingi wa story kwenye Kila episode imebaki DIALOGUE TU!!!!
Anazingua tu kama vipi asitishe tu chai zake hapa maana kama anabembelezwa
 
Back
Top Bottom