Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Hivi INSIDER MAN bajaji biashara dogo yule ilkuwaje?
Nataka nione mli manage vipi biashara ya Bajaj .....najifunza Mengi the way unaongelea hizi biashara za vyombo vya usafirishaji aseeh !

Blessed!

Biashara ya Bajaji ni ya Mama Junior mimi ni kama msimamizi tu na bado tunaendelea na yuleyule dogo. Bajaji bado mpya kabisa dogo anaitunza sana, good news kupitia bajaji, Mama J mwezi May alinunua pikipiki so now ana bajaji na Pikipiki.
 
Biashara ya Bajaji ni ya Mama Junior mimi ni kama msimamizi tu na bado tunaendelea na yuleyule dogo. Bajaji bado mpya kabisa dogo anaitunza sana, good news kupitia bajaji, Mama J mwezi May alinunua pikipiki so now ana bajaji na Pikipiki.
tupe ratiba kiongozi, yani hapa tupo tunachungulia kila mda kama nyumba za uswahilini kuchungulia kama mtu katoka msalani ama laa 🤣🤣
 
Episode 45 Insider man alielezea mzee Pama alishaandika will nadhani ilisomwa kwenye kikao cha ukoo nadhani Dualis itaonekana kwenye wosia kwa Jane.
 
Umewaza kama mimi[emoji2][emoji2][emoji2]
 
R.I.P MZEE PAMA
 
Mimi sio tajiri lakini kuwapa jamaa zangu laki 3 au 5 jambo la kawaida sana tu. Kuna rafiki yangu nime msamehe million 2 kwasababu alianza kupunguza mawasiliano na mimi nikajua huyu hataki kulipa tu. Kwahio acha nimsamehe ili urafiki wetu ubaki
 
Tufanye wewe ndio insider vipi utaisalimisha au utabaki nayo ili iwe kumbu kumbu ya kumuenzi mzee pama
 
Mimi sio tajiri lakini kuwapa jamaa zangu laki 3 au 5 jambo la kawaida sana tu. Kuna rafiki yangu nime msamehe million 2 kwasababu alianza kupunguza mawasiliano na mimi nikajua huyu hataki kulipa tu. Kwahio acha nimsamehe ili urafiki wetu ubaki
mh! another KIDUKULILO kwenye ubora wake
 
Utasema ivo labda kwasababu haujafanya kazi na watu wa namna hiyo, kwenye kutoa izo ela sina shaka na hii story, kuna muda unazungukwa na watu wanene kupata milioni, laki5 izi, mtu akikupa laki2 anakwambia kanywe soda au hii ni lunch
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…