Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Mtu unaishi kasulu huko, kazi kupalilia michikichi. Lazima upagawe ukisikia watu wanapewa nauli laki tatu huko Daslam. Shida ni wewe mkuu!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mimi sio tajiri lakini kuwapa jamaa zangu laki 3 au 5 jambo la kawaida sana tu. Kuna rafiki yangu nime msamehe million 2 kwasababu alianza kupunguza mawasiliano na mimi nikajua huyu hataki kulipa tu. Kwahio acha nimsamehe ili urafiki wetu ubaki

Je urafiki bado upo au kakukimbia zaidi?[emoji848]
 
nimefikiria kwa hekima ya Mzee Pama lazma awe amemshirikisha rafiki yake wa dhati kuhusu hiyo Dualis ya mchepuko wake.
 
Hivi INSIDER MAN bajaji biashara dogo yule ilkuwaje?
Nataka nione mli manage vipi biashara ya Bajaj .....najifunza Mengi the way unaongelea hizi biashara za vyombo vya usafirishaji aseeh !

Blessed!
miongoni mwa biashara ambazo lazma nije nizifanye ni hyo ya USAFIRISHAJI
 
Mimi mpaka Sasa Sijaona maajabu ya uyo mrembo aliyekutanishwa na INSIDER ndani biashara ya Uber.....vingine vyote alivyosimulia naona kawaida tu.
Sijui Kwa wenzangu...
KuchaguA TITLE ya kitabu au stori sio kazi rahisi,,,,ndio maana waandishi wengi wa vitabu huwa wana watu wao wa muhimu wanaowashirikisha kwa kila jambo.
 
INSIDER MAN pole sana ndg, kwa kuondokewa na kumpoteza mtu muhimu sana kwenye harakati zako za utafutaji, naamini Mzee alikuachia jukumu kubwa sana la kumlinda na kumwangalia mchepuko wake pamoja na kijana wake ambaye atazaliwa, japo sijui kama ulilifahamu hili jambo mapema mzee Pama alikuamini na kukupenda sana kama rafiki na kijana wake, hivyo ni jukumu na wajibu wako kuendeleza ile imani aliyoijenga kwako japo kimwili hayupo tena pamoja na wewe lakini naamini kiroho huko alipo bado anaendelea kukufuatilia,
Ushauri wangu kwako kijana, jenga na endeleza imani uliyoiweka kwake wakati yupo hai na hata sasa timiza yote aliyokuasa uyafanye hasa kumlinda na kumwangalia mchepuko wake!
 
Huko kunaitwa kichagua dhambi, unachotamka ndio kinajengeaka... nataka kujua tu Dualis ilienda kwa Jeni?
Lazima alimkabidhi mwenye nayo Jen. Hata ingekuwa mimi baada ya msiba tu namkabidhi ndinga lake
 
"Amtunze na kumwangalia mchepuko wake"
Bila shaka ameelewa Hilo maana huwez kulima pasipo na mpango wa kuvuna na huwez kuvuna pasipo ya kulima

Bibilia imeliweka hili vizuri maana inasema huwez kukusanya pasipo kutawanya
 
"Amtunze na kumwangalia mchepuko wake"
Bila shaka ameelewa Hilo maana huwez kulima pasipo na mpango wa kuvuna na huwez kuvuna pasipo ya kulima

Bibilia imeliweka hili vizuri maana inasema huwez kukusanya pasipo kutawanya
Naamini hapa Insider hawezi play foolish maana mzee alimchukulia kama kijana wake, hivyo anapaswa kumweshimu mchepuko wa mzee kama mama mdogo na asiweke tamaa za mwili mbele!
 
Naamini hapa Insider hawezi play foolish maana mzee alimchukulia kama kijana wake, hivyo anapaswa kumweshimu mchepuko wa mzee kama mama mdogo na asiweke tamaa za mwili mbele!
Kwa upande wangu nadhani anatakiwa amliwaze, kwa maana ya kumfariji kwa Sasa katika kipindi hiki kigum baada ya kumkabidhi gari, akae nae mbali.

Ili aweze kujisimamia mwenyewe, ajiweke mbali ili kuepuka hisia na tamaa za mwili na kumpa nafasi atafute Mwenza mwingine atakayekuwa naee kimapenzi, hii n Kwa Sababu kwa hshima ya marehem insider hawez katu kulala na mamaake huyo.

Lingine ni kwamba aendelee kumsimamia Kwa mbali pale atapotaka msaada tu na si vinginevyo.

Kimahitaji insider hataweza kumuhudumia, Kwa maana kwamba SI rahisi kuhudumia familia t
Yake na mchepuko was Mzee. Ni lazima mchepuko ujue hali ishakuwa hali na niwakat wa kusimama yeye mweyewe
 
Kwa upande wangu nadhani anatakiwa amliwaze, kwa maana ya kumfariji kwa Sasa katika kipindi hiki kigum baada ya kumkabidhi gari, akae nae mbali.
Haya matukio your yameahapita ila nafikiri njia sahihi ni kuendelea kuwa nae karibu na kumwangalia kama vile ambavyo marehemu mzee Pama alipokuwa hai alimwagiza kijana afanye, kikubwa ni nidhamu na heshima tuu maana mzee alimwamini na kwa muda mfupi alimfanyia kijana mambo kadhaa na hii ni kutokana na uaminifu na imani iliyojengeka baina yao, hivyo akiendelea kuwa karibu na mama mdogo siyo dhambi kikubwa ni kutoweka matamanio ya mwili mbele
 
Wasiwasi ni kwamba naye ni mwanamke baada ya kuJifungua atapata huduma zote za uzazi fine. Baadae kitawasha mkuu unadhani hapo itakuaje?
 
Umenichekesha mkuu. Mimi kama insider namkabidhi gari take vizr kabisa.

Kiufupi Kuna mambo hubakigi kama laana tu ukikausha
Duh hiyo haiwezi kuwa kumbukumbu zaidi itakuwa ni wizi na utapeli, na hiyo gari itageuka kuwa mateso kwako maana kumbuka marehemu huwa hawafi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…