Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Ukikutana na mwanamke asiye na hizo njaa 2 ,pesa na love, jasho lazima likutoke tuuuu ..yan hawa ni wao ndio wakupende vinginevyo ihiiiiiiiiii!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Umeona eeehhh!!!
Kiukweli mwanamke akikufeel ye hata usipompa pesa furesh tu!! Mapenzi ya pesa yana expire mkuu real love never die!

Muajemi kakutana na chumaaa hakina njaa ya vyote🀠🀠! Lazima akaeee afu Muajemi anaonekana hana sound kabisa kweli kakosa namna ya kumset iryn mpaka amwambie ukweli kuwa Insider ndie pikipiki posta???
Hapo amezingua sana!
 
Sasa atakosa vyote, ana mkosa Iriny, ana mkosa Insider, anakosa cost zake zote alizo.wekeza. work done = 0
 
Nakwambia! Insiderman alipitia msoto wa jobless hataki masihara kwenye hela! Yuko tayari kumuuza yeyote (naogopa kusema hata Mama J na Junior) anaweza kuwauza ili apate hela! Alichokuwa anamfanyia iryn sio poa kabisa!
 
Kuwadi si mtu mzuri wanang'ata na kupuliza Kama alivyo mtunzi wetu ...
 
Insider nenda kampikie Lyn Ugali Bamia, pita sokoni nunua mazagazaga simple tu, fika mapema pika Kwa ajiri yake. Baada ya hapo jazba zote zitaisha mengine sikufundishi kazi unajua nini Cha kufanya (Bahati mbaya hii ni past). Mimi naamini Lyn anaelewa mpango mzima maana mlienda wote Znz na Muajemi ndio alikuwa sponsor, wewe hukumuwekea dau kichwani ni chobo tu za Muajemi kukuweka sawa usimsemee mbovu Kwa Lyn

Pia nakupongeza Kwa kuchomoa betri Kwa Sumaiya, yaani umemchojoa arafu umemuacha Hata kusahahu mpaka Siku anaaingia kaburi.
 
Insider kashakuwa ntu ya deals mob...hadi salon unapiga deal..watakuchoma hao kwa Iryn ndo uharibu kabisa.
Pia Mrs Pama sijui anakuita kukupa mchongo au kukupa za uso kwa kuwa side ya mchepuko wa mzee.
Huyu Mrs Pama hana na wivu au mzungu wa roho ,maana ingekuwa mwingine kwenye msiba mbona pangechimbika...
 
Muajemi kapewa za uso live. Akaona isiwe tabu. Akaamua kumuarishia Insider man.
 
Nimemaliza episode ya 39
Hivi kmmk Iryn hajaliwa tu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…