Gaga rhino
Senior Member
- Aug 15, 2023
- 196
- 252
Story hii nafikiri ni moja ya story bora kabisa kuwahi kuandikwa hapa JF.
Nampongeza sn Mkuu INSIDER MAN kwanza kwa uandishi wake wa viwango vya hali ya juu ukizingatia kwamba anayapanga matukio katika hali ambayo inamfanya msomaji awe na suspense ya kujua nini kinafuata kwenye mtiririko wa hii story.
Nimetumia siku 4 kuanzia eposod ya kwanza mpk hapa alipoishia huyu mwamba, nimesoma huku nikifuatilia matukio kama kuna sehemu either kajichanganya lkn to be honest sikuona. Na hii ndiyo inaonesha kuwa hii ni true story cos anakwenda day after day, week after the same etc. etc.(according to my analytical eye) kwa hii story.
KILICHONIVUTIA
1. Sehemu nyingi za ukanda wa kuanzia Posta kurudi kaskazini yote ya Dar nimezunguka sn maeneo yale na barabara zote pamoja na maeneo mengi anayoyaeleza msimuliaji nimekuwa nikiyapita so nilikuwa naenda naye bampa to bampa.
2.Msimuliaji ana bahati sn ambayo ni 'unique' hizi bahati zinawapata watu wachache sana. It's God given!
3.Kuna mtu humu amekuwa akicomment hii story na neno lake moja tu la 'NUKTA ' yeye hana maneno mengi kwenye coments zake kiasi ambacho naye amekuwa kivutio...
4. Kuna wajuba walimshukia Ndg INSIDER kwa nguvu ya 5G kuwa mwandishi anayoadithia ni 'Chai' kiasi ambacho kilipelekea uzi kuchafukwa na mwandishi kutaka kuwithdraw ila nguvu ya wana JF iliwazima kama moto wa kibatari.
USHAURI:
Mkuu INSIDERMAN napenda niungane na wana JF wachache waliodokeza kuwa weka kitu hiki kwenye kioo( TV) utengeneze hela. Nahakika na kwasababu unatembea na bahati usishangae unapiga hela kupitia contracts na wadau wa tamthilia kama Dstv or Azam
mwenyewe natumia chrome,, ila mawenge tutumia chrome browser usitumie app
Am working on it, kuna wadau washanitafuta tayari tukifikia pazuri nitawapa mrejesho.
Ila hujasema ulivyokosa deal la kwenda Kaizer then unaenda Far Rabat ya Morroco. Tueleze ilikuwaje ukamsajili Morison Far Rabat wakati yangu ulikuwa unamuweka benchi.😆😆 Uzi wangu utafungua kode nyingi za watu kibiashara na njia zao za kuingiza mizigo, assume kutoka kumaliza bachelor, nkaingia boda nkaja kukutana na huyo dada aliyechange life hadi na mimi kuwa mfanyabiashara ninayeagiza vitu nje sio poa.
Ukimuelewa insider umeelewa story yangu
Naisubili kwa hamuEpisode ya 51 loading.........
Pale zenji hotelini Iryn akiwa kakimbilia bedroom kwa Insider man, jamaa alijichanganya kiasi kwamba tuliosoma Cuba tuliona hii ni story ya kutunga tu na sio ya kweli.nimesoma huku nikifuatilia matukio kama kuna sehemu either kajichanganya lkn to be honest sikuona. Na hii ndiyo inaonesha kuwa hii ni true story cos anakwenda day after day,
HakikaPale zenji hotelini Iryn akiwa kakimbilia bedroom kwa Insider man, jamaa alijichanganya kiasi kwamba tuliosoma Cuba tuliona hii ni story ya kutunga tu na sio ya kweli.
Eti yupo na Iryn kwa bed, mkonga umesoma 5G, baadae Iryn akaanza kumenya muwa hadi......
Mara paaap mlango ukafunguliwa na muajemi ikawa ni fumanizi.....
Jamaa alikata story halafu akaendelea episode iliyofuata kwa kupotezea lile fumanizi akaeleza kitu tofauti kabisa kwamba muajemi alikuja tu kuleta bahasha na kutoa taarifa ya safari ya kesho kurudi Dar so hakufumania watu wakibebishana..... [emoji16]
Kama kweli ulisoma hatua kwa hatua utagundua hii story inatungiwa hapa hapa na sio true story.
Ni burudani tu [emoji23]
Hata wewe uligundua kitu bila shakaHakika
Hicho kipande cha mnara kusoma 5G na iryn kumenya muwa hakuandika insider man Kuna mwamba aliendeleza tu pale alipoishia insider man. Insider man alikuja kusimulia pale muajemi alipokuja kumuulizia iryn then akampa bahasha.Pale zenji hotelini Iryn akiwa kakimbilia bedroom kwa Insider man, jamaa alijichanganya kiasi kwamba tuliosoma Cuba tuliona hii ni story ya kutunga tu na sio ya kweli.
Eti yupo na Iryn kwa bed, mkonga umesoma 5G, baadae Iryn akaanza kumenya muwa hadi......
Mara paaap mlango ukafunguliwa na muajemi ikawa ni fumanizi.....
Jamaa alikata story halafu akaendelea episode iliyofuata kwa kupotezea lile fumanizi akaeleza kitu tofauti kabisa kwamba muajemi alikuja tu kuleta bahasha na kutoa taarifa ya safari ya kesho kurudi Dar so hakufumania watu wakibebishana..... [emoji16]
Kama kweli ulisoma hatua kwa hatua utagundua hii story inatungiwa hapa hapa na sio true story.
Ni burudani tu [emoji23]
Humu ndani ni mchangqnyiko wa vilaza na g.thinkers wa ukweli mkuu wala usishangae watu kubabaikaHicho kipande cha mnara kusoma 5G na iryn kumenya muwa hakuandika insider man Kuna mwamba aliendeleza tu pale alipoishia insider man. Insider man alikuja kusimulia pale muajemi alipokuja kumuulizia iryn then akampa bahasha.
Huu ni uzi wa insider ikiwa kuna mtu anaweka mwendelezo haramu ni lazima mwenye uzi awajibike, ana asipowajibika maana yake aliyepost anavibali vya mhusika (mwenye uzi)Hicho kipande cha mnara kusoma 5G na iryn kumenya muwa hakuandika insider man Kuna mwamba aliendeleza tu pale alipoishia insider man. Insider man alikuja kusimulia pale muajemi alipokuja kumuulizia iryn then akampa bahasha.
Ni ngumu sana kwa mwenye uzi (insider man) kuona kila comment na kuifuatilia.Huu ni uzi wa insider ikiwa kuna mtu anaweka mwendelezo haramu ni lazima mwenye uzi awajibike, ana asipowajibika maana yake aliyepost anavibali vya mhusika (mwenye uzi)
Soma vizuri mwandishi ni yule yule mwenye uzi
Najua waliovamia uzi aliwaonya na kutumia option ya ignoring kwa uvamizi wao.Ni ngumu sana kwa mwenye uzi (insider man) kuona kila comment na kuifuatilia.