Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Story hii nafikiri ni moja ya story bora kabisa kuwahi kuandikwa hapa JF.

Nampongeza sn Mkuu INSIDER MAN kwanza kwa uandishi wake wa viwango vya hali ya juu ukizingatia kwamba anayapanga matukio katika hali ambayo inamfanya msomaji awe na suspense ya kujua nini kinafuata kwenye mtiririko wa hii story.

Nimetumia siku 4 kuanzia eposod ya kwanza mpk hapa alipoishia huyu mwamba, nimesoma huku nikifuatilia matukio kama kuna sehemu either kajichanganya lkn to be honest sikuona. Na hii ndiyo inaonesha kuwa hii ni true story cos anakwenda day after day, week after the same etc. etc.(according to my analytical eye) kwa hii story.

KILICHONIVUTIA
1. Sehemu nyingi za ukanda wa kuanzia Posta kurudi kaskazini yote ya Dar nimezunguka sn maeneo yale na barabara zote pamoja na maeneo mengi anayoyaeleza msimuliaji nimekuwa nikiyapita so nilikuwa naenda naye bampa to bampa.

2.Msimuliaji ana bahati sn ambayo ni 'unique' hizi bahati zinawapata watu wachache sana. It's God given!

3.Kuna mtu humu amekuwa akicomment hii story na neno lake moja tu la 'NUKTA ' yeye hana maneno mengi kwenye coments zake kiasi ambacho naye amekuwa kivutio...

4. Kuna wajuba walimshukia Ndg INSIDER kwa nguvu ya 5G kuwa mwandishi anayoadithia ni 'Chai' kiasi ambacho kilipelekea uzi kuchafukwa na mwandishi kutaka kuwithdraw ila nguvu ya wana JF iliwazima kama moto wa kibatari.

USHAURI:
Mkuu INSIDERMAN napenda niungane na wana JF wachache waliodokeza kuwa weka kitu hiki kwenye kioo( TV) utengeneze hela. Nahakika na kwasababu unatembea na bahati usishangae unapiga hela kupitia contracts na wadau wa tamthilia kama Dstv or Azam

Am working on it, kuna wadau washanitafuta tayari tukifikia pazuri nitawapa mrejesho.
 
Am working on it, kuna wadau washanitafuta tayari tukifikia pazuri nitawapa mrejesho.

Kila la kheri kiongozi.

Kuhusu Iryn hiyo namwachia Watu8 ila katika maamuzi Bora yaliyograduate ni kutokumgusa Sumaiya, angeharibu sana. Mropokaji na anajisahau wewe ni Meneja wake.

Vinginevyo, tunasubiria ushushe vitu..mie mwenyewe Roho inaniuma sana nna machungu hatari ya zero distance kule parking
 
😆😆 Uzi wangu utafungua kode nyingi za watu kibiashara na njia zao za kuingiza mizigo, assume kutoka kumaliza bachelor, nkaingia boda nkaja kukutana na huyo dada aliyechange life hadi na mimi kuwa mfanyabiashara ninayeagiza vitu nje sio poa.
Ukimuelewa insider umeelewa story yangu
Ila hujasema ulivyokosa deal la kwenda Kaizer then unaenda Far Rabat ya Morroco. Tueleze ilikuwaje ukamsajili Morison Far Rabat wakati yangu ulikuwa unamuweka benchi.
 
nimesoma huku nikifuatilia matukio kama kuna sehemu either kajichanganya lkn to be honest sikuona. Na hii ndiyo inaonesha kuwa hii ni true story cos anakwenda day after day,
Pale zenji hotelini Iryn akiwa kakimbilia bedroom kwa Insider man, jamaa alijichanganya kiasi kwamba tuliosoma Cuba tuliona hii ni story ya kutunga tu na sio ya kweli.

Eti yupo na Iryn kwa bed, mkonga umesoma 5G, baadae Iryn akaanza kumenya muwa hadi......

Mara paaap mlango ukafunguliwa na muajemi ikawa ni fumanizi.....

Jamaa alikata story halafu akaendelea episode iliyofuata kwa kupotezea lile fumanizi akaeleza kitu tofauti kabisa kwamba muajemi alikuja tu kuleta bahasha na kutoa taarifa ya safari ya kesho kurudi Dar so hakufumania watu wakibebishana..... 😁

Kama kweli ulisoma hatua kwa hatua utagundua hii story inatungiwa hapa hapa na sio true story.

Ni burudani tu 😂
 
Pale zenji hotelini Iryn akiwa kakimbilia bedroom kwa Insider man, jamaa alijichanganya kiasi kwamba tuliosoma Cuba tuliona hii ni story ya kutunga tu na sio ya kweli.

Eti yupo na Iryn kwa bed, mkonga umesoma 5G, baadae Iryn akaanza kumenya muwa hadi......

Mara paaap mlango ukafunguliwa na muajemi ikawa ni fumanizi.....

Jamaa alikata story halafu akaendelea episode iliyofuata kwa kupotezea lile fumanizi akaeleza kitu tofauti kabisa kwamba muajemi alikuja tu kuleta bahasha na kutoa taarifa ya safari ya kesho kurudi Dar so hakufumania watu wakibebishana..... [emoji16]

Kama kweli ulisoma hatua kwa hatua utagundua hii story inatungiwa hapa hapa na sio true story.

Ni burudani tu [emoji23]
Hakika
 
Pale zenji hotelini Iryn akiwa kakimbilia bedroom kwa Insider man, jamaa alijichanganya kiasi kwamba tuliosoma Cuba tuliona hii ni story ya kutunga tu na sio ya kweli.

Eti yupo na Iryn kwa bed, mkonga umesoma 5G, baadae Iryn akaanza kumenya muwa hadi......

Mara paaap mlango ukafunguliwa na muajemi ikawa ni fumanizi.....

Jamaa alikata story halafu akaendelea episode iliyofuata kwa kupotezea lile fumanizi akaeleza kitu tofauti kabisa kwamba muajemi alikuja tu kuleta bahasha na kutoa taarifa ya safari ya kesho kurudi Dar so hakufumania watu wakibebishana..... [emoji16]

Kama kweli ulisoma hatua kwa hatua utagundua hii story inatungiwa hapa hapa na sio true story.

Ni burudani tu [emoji23]
Hicho kipande cha mnara kusoma 5G na iryn kumenya muwa hakuandika insider man Kuna mwamba aliendeleza tu pale alipoishia insider man. Insider man alikuja kusimulia pale muajemi alipokuja kumuulizia iryn then akampa bahasha.
 
Hicho kipande cha mnara kusoma 5G na iryn kumenya muwa hakuandika insider man Kuna mwamba aliendeleza tu pale alipoishia insider man. Insider man alikuja kusimulia pale muajemi alipokuja kumuulizia iryn then akampa bahasha.
Humu ndani ni mchangqnyiko wa vilaza na g.thinkers wa ukweli mkuu wala usishangae watu kubabaika
 
Hicho kipande cha mnara kusoma 5G na iryn kumenya muwa hakuandika insider man Kuna mwamba aliendeleza tu pale alipoishia insider man. Insider man alikuja kusimulia pale muajemi alipokuja kumuulizia iryn then akampa bahasha.
Huu ni uzi wa insider ikiwa kuna mtu anaweka mwendelezo haramu ni lazima mwenye uzi awajibike, ana asipowajibika maana yake aliyepost anavibali vya mhusika (mwenye uzi)

Soma vizuri mwandishi ni yule yule mwenye uzi
 
Huu ni uzi wa insider ikiwa kuna mtu anaweka mwendelezo haramu ni lazima mwenye uzi awajibike, ana asipowajibika maana yake aliyepost anavibali vya mhusika (mwenye uzi)

Soma vizuri mwandishi ni yule yule mwenye uzi
Ni ngumu sana kwa mwenye uzi (insider man) kuona kila comment na kuifuatilia.
 
Ni ngumu sana kwa mwenye uzi (insider man) kuona kila comment na kuifuatilia.
Najua waliovamia uzi aliwaonya na kutumia option ya ignoring kwa uvamizi wao.

JF wana utaratibu wao wa kupiga ban mtu yeyote anayeleta shida kwa mwingine, so haijatokea hiyo kwa huu uzi kwa maana ya kwamba wavamizi wamedhibitiwa?
 
Back
Top Bottom