Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Mkuu, ulipopewa hela na jane kipindi ametoka msibani ulisema utalipa deni lako kwa mama wawili, ila hujagusia kama ulilipa deni
Vipi kuhusu ujenzi wako pia

Mkuu unataka niwe nandika kila kitu? Yaani niandike nilikwenda kwa mama 2 kulipa deni?[emoji1][emoji1544].

Suala la ujenzi ni binafsi ndomana siandiki progress humu ndani[emoji3]
 
hamnaga urithi ujombani, hata vitabu vya dini vinakataa hili bila kupepesa macho.
Mkuu kapotray movie za kibongo kabisa, ingekuwa bongo movie hapo lazima mtoto angepewa nafasi ya kutegemewa azaliwe Me ili awe mrithi wa mali utasikia ndio mboni ya jicho la bibi na babu since hawana mtoto wa kiume. Yaani sijui huwa tunawaza nini aisee
 
Wale mademu wawili wa salon lucy na yule kimbaumbau aliyechaniwa bikini akaachwa na upwiru wake walishayatabiri haya kuwa mwisho wa siku iryn atapata mjanja wa kumkaza utabaki unashangaa tu, hahah.
Mwisho wa siku jamaa atakuja kuchukua hata nafasi ya Insider hapo kazini[emoji1787]
 
EPISODE 54

CONTINUE

Baada ya kumaliza mazungumzo na Prisca niliingia kwa gari na tukaondoka na Jane ili nimuone kama ataweza kuiendesha Dualis. Nilimuelekeza vitu vidogo sana na nikamwachia gari aendeshe na tulikwenda mpaka Bahari Beach Hotel tukageuza.

Jane aliendesha gari vizuri kabisa na sikuwa nawasiwasi wa kumuachia gari. Kwa upande wake Jane aliomba nimuachie Ist aendelee itumia mpaka azoee mazingira ndo nitampa Dualis. Nilimkubalia ombi lake na mimi niliondoka na ile Dualis, hata alivyokomaa barabarani tulikuwa tuna badilishana magari akiimisi ist yangu nampelekea au anaifata ananiachia Dualis yake.

Muda tuliotumia ni kama lisaa mpaka tunarudi Mbweni kwake na baada ya kuachana naye pale nilimpigia simu Prisca na nikamwambia ajiandae tuonane ili tuongee hili suala. Suala la kwenda kwao kwa upande wangu niliona haliwezekani kabisa.

Saa 11 jioni nilikuwa nimeshawasili pale kwao na yeye alitoka tukaondoka kwenda Upepo garden.

Baada ya kuwasili pale tulitafuta angle nzuri tukakaa na mazungumzo yakaendelea.

PRISCA: “Babe nina hamu na wine kidogo.”

MIMI: “Tena usithubutu tutagombana sasa hivi, agiza kinywaji chochote kisichokuwa na kilevi.”

PRISCA: “Sawa babe.”

MIMI: “Bora umerudi kwa mama akupe elimu ya ujauzito. Niambie kinachoendelea kwanza huko nyumbani.”

Ilibidi muda huu nianze kumuuliza Prisca ni nini kinaendelea baada ya kurudi kwao akiwa mjamzito.

PRISCA: “Babe home hawana shida kabisa hata mama hajaonesha sign yoyote, ila ndo kama nilivyokwambia kuhusu baba ndo amekuwa mkali sana. Wazazi wanataka waongee na wewe kuhusu hili suala, Baba akirudi alisema nikupe taarifa muonane, babe wewe usiwe na wasiwasi wewe njoo tu.”

MIMI: “Huko kwenu siwezi kuja Prisca, wazazi wanataka kuniuliza kuhusu masuala ya ndoa wala sio kitu kingine. Unakumbuka nilishakwambia before? Haiwezekani nikujaze mimba afu wazazi waridhie uishi kama single mother.”

PRISCA: “Mimi ndo niliye ridhia hii mimba wewe njoo hata wadanganye ili mambo mengine yaendelee.”

MIMI: “Unajua sipendi kuongea uongo wala kutoa ahadi ambazo najua sitoweza kuzitimiza, kuwadanganya wazazi sio busara nitakuwa natafuta laana tu. Njia sahihi me naona wewe ukae kwanza chini na wazazi wako waambie ukweli kuhusu hio mimba.”

PRISCA: “Babe, sidhani kama hii ni good idea utafanya nichukiwe pale home kwa maamuzi yangu ya kipumbavu. Insider hata kama nimefanya maamuzi ya kijinga lakini isiwe sababu ya mimi kugombana na familia yangu. I know you are very smart ndomana hata mama alivyojua mimba ni yako hajaonesha sign yoyote ile, niseme mama yangu amekupenda. Ombi langu angalia namna gani ya kuongea na wazazi wangu, lengo tuwe na chemistry nzuri honey.”

MIMI: “Ni kweli but hili sio suala jepesi kama unavyolichukulia. Ningekuwa sina mke lingekuwa lishaisha muda mrefu sana, mzee wako anataka kusikia nina mipango gani na wewe bhasi. Kwanza Mzee wako anarudi lini?”

PRISCA: “I think next week, babe usiwe na wasiwasi na mimi sawa eeh!, na pia sifikirii kama nitakuja kuwa na mwanaume mwingine zaidi yako hata ukitaka mtoto mwingine nitakuwa tayari kukuzalia.”

MIMI: “Nipe muda nitafute njia nzuri ya kuongea na wazazi kuhusu hili jambo. Kwasasa home unaweza waambia nimesafiri niko mkoani.”

PRISCA: “Sawa honey, pia nampango wa kufungua biashara ya cosmetics ili nipunguze utegemezi pale home na kwako pia.”

MIMI: “Suala la biashara hata mimi nakuunga mkono, umewaza jambo zuri naf…..”

PRISCA: “Babe sorry da Mary anapiga embu nimsikilize anasema nini.”

Prisca alipokea simu ya Mary na nilikuwa nikisikia wanacho zungumza ilikuwa ni masuala ya kutoka out na baada ya kumaliza kuongea na simu tuliendelea na mazungumzo yetu,

MIMI: “Mary anasemaje?”

PRISCA: “Anataka twende Kidimbwi anasema anahamu ya kutoka leo, babe twende nikapunguze stress za mitihani.”

MIMI:”Mwambie Mary atangulie, sisi tutamkuta.”

PRISCA: “Ngoja nimtumie text hapa.”

MIMI: “Na vipi kuhusu hio plan yako ya biashara, una experince na hii biashara? Na mtaji ni kiasi gani?”

PRISCA: “Experience nitapata kwa mamdogo Ney, yeye ndo anafanya hii biashara, atanisaidia kwenye kupata mzigo na baadhi ya vitu. Kuhusu mtaji wewe usiwe na wasiwasi labda utanisaidia kidogo sana kama nitakwama.”

MIMI: “Kumbe umejipanga eeh!, na ulianza lini huu mpango?”

PRISCA: “Muda toka nijue nina ujauzito ilibidi nikae chini nifikiri kuhusu maisha.”

MIMI: “Good naona sahivi utoto umeisha kidogo umekuwa matured sasa.”

PRISCA: “Babe sipendi uchokozi wako ujue.”

Tuliongea mambo mengi sana muda huu hasa mipango ya kimaisha. Prisca alikuwa anakwenda kuwa mama mtoto wangu, hivyo ilibidi tupange mipango ya pamoja kwaajili ya mtoto na yeye.

Saa 2 tuliondoka maeneo haya na tulikwenda mpaka Kidimbwi kumeet na Mary maana alikuwa kafika muda sana akitusubiri.

Baada ya kuwasili pale tulikuta ameandaa sehemu tayari hivyo tulikaa na tukaagiza vinywaji.

MARY: “Prisca leo haturudi home tutakwenda kulala kwako nimeshaongea na mama tayari.”

PRISCA: “Funguo ziko home sasa.”

MARY: “Nimebeba.“
Na muda huu tuliishia kupigana jicho na Prisca.

Kwa upande mwingine Prisca aliniomba sana tukalale wote hii siku kule kwake na pia suala la kwenda na Mary bila mimi lingeleta maswali sana, maana Mary alikuwa hujui kama mimi sikai pale.

MIMI: “Mary nitakuacha ulale na Prisca afu mimi nitarudi home sawa?”

MARY: “Mimi nitalala seblen tu hata msiwe na wasiwasi.”

Baada ya kuona Mary amekaza ilibidi nikubali kwenda kulala na Prisca. Ukweli toka Prisca ahamie kwake nilikuwa nimelala mara 1 tu kipindi kile nimetoka msiba wa Pama. Nilijisikia hukumu moyoni na niliona anahaki ya kuwa pamoja na mimi kama Baba mtoto, ilibidi nimkubalie tutakwenda kulala wote.

Na muda huu ilibidi nimtumie text mama J nimwambie nimekwama bandarini kuna mzigo nafuatilia wa ofisi hivyo naweza chelewa kurudi na yeye alinijibu “Sawa takecare.”

Tulikaa pale mpaka saa 6 usiku ndo tukaondoka maana Prisca alikuwa hanywi so alikuwa amelala kwenye mapaja yangu muda wote na alionekana kuchoka sana.

Baada ya kufika kwa Prisca sisi tulikwenda kulala chumbani lakini Mary alilala pale seblen.
Muda huu ilibidi tutengeneze njia ya kupita mtoto na ilichukua kama lisaa hivi kukamilika. Baada ya hapo Prisca alilala lakini mimi sikuwa na usingizi kabisa, nilikuwa nawaza kule home kwa wife, machale yalikuwa yakinicheza sana.

Roho yangu ilikuwa na wasiwasi sana kwakweli hata sijui nilikuwa naogopa nini, kucheki muda ilikuwa saa 8 na madakika. Muda huu ilibidi nikaoge kwanza then nifanye harakati za kuwakimbia pale, maana niliwaza kutokulala home sio jambo nzuri, niliona ni bora kuchelewa kuliko kurudi asubuhi kwanza ni dharau kwa mama J.

Muda huu Prisca alikuwa amelala tayari yuko hoi, pale seblen Mary naye alikuwa naye kalala. Nilifungua mlango taratibu pamoja na kuufunga afu ufunguo nikautupia kwa dirishani na nikaondoka.

Baada ya kuwasili home niliingia ndani mara nyingi huwa natembea na funguo zangu. Wife baada ya kusikia nimefika aliamka pale kitandani na alikwenda kwanza washroom.

WIFE: “Baba J ulikuwa wapi? Usiku huu.”

MIMI: “Nilikuwa bandarini kama nilivyo kuambia muda ule.”

WIFE: “Mbona unakuwa muongo hivi? Nimewasiliana na Iryn amekataa hajakutuma huko bandarini.”

Nikajisemea leo kimenuka kumbe wife alipiga simu kwa Iryn hii ni hatari sasa. Muda ule namtumia text hata sikutegemea kama angemuuliza Iryn kuhusu hili jambo, ilibidi nijiongeze kama mwanaume.

MIMI: “Ipo hivi Jumanne kuna mzigo nilikwenda kuuchukua bandarini lakini nilichukua nusu tu sababu ya usafiri ambapo mwingine niliplan ningeuchukua jumatano lakini sikwenda kuufuata na hili Iryn hajui. Jana alinipa taarifa Jumatatu atafanya ukaguzi ndo nikaona nikaimalizie mzigo uliobaki maana angekuta hesabu haiko sawa asinge nielewa na angeniona mzembe.”

WIFE: “Una uhakika na unachoongea?”

MIMI: “Ndio mimi sikujua kama ungewasiliana na Iryn maana hajui hili na akijua atamind sana.”

WIFE: “Okay, Unanuka pombe hata hivyo.”

MIMI “Nilipitia sehemu kupunguza mawazo maana leo nimetapeliwa Million 3 swahiba, usinione hapa ninamawazo sana.” Nilibadilisha mada kijanja.

WIFE: “Ilikuwaje mpaka unatapeliwa pesa zote hizo?”

MIMI: “Acha tu kesho nitakuambia mke wangu tulale.”

Niliwaza pale kitandani Iryn ameshindwa kunifichia siri kaamua kunikataa kwa mama J lakini sikutaka kumlaumu sababu sijui mama J alimuingiaje. Muda huu niliwaza niandae mpango kabambe ambao nitakuwa ninakwenda kulala kwa Prisca bila shida yoyote.

********
Jumatatu asubuhi niliwasiliana na Gorata ili anipe ratiba zake na akanambia ataondoka na ndege ya saa 7 mchana. Baada ya kupata breakfast niliondoka kwenda Mikocheni na muda huu nilionana na Lucy na tukaanza story,

“Insider mbona sikuoni pamoja na Iryn mpo sawa kweli?”

“Yeah tuko sawa vipi kuna tatizo?”

“Mmhh hapana nimeuliza tu, ni muda sijawaona pamoja na Iryn naye kama hayuko sawa kama kuna kinachoendelea niambie.”

“Hapana Lucy mimi namuona Iryn yuko sawa mbona.”

Niliondoka pale Mikocheni baada ya kuona Lucy ameanza umbeya na nilimpigia simu Gorata akanambia nimpitie saloon. Baada ya kuwasili pale saloon niliingia ndani na nilimkuta yuko na Sumaiya akifanyiwa make-up.

“Insider natakiwa kucheck-in saa 5 nitawai kweli na sasa ni saa 3.”

“Mmh utawai tu kwani bado sana?”

“Sio sana ndani ya dakika 15 nitakuwa nimemaliza.”

Na muda huu Sumaiya alikuwa akiniangalia sana ni kama alikuwa anashangaa kuona nikiongea na Gorata. Sumaiya alikuwa kama anataka kuniuliza kitu lakini anasita sita, na mimi nilimsoma muda nika-amua kutoka nje.

Baada ya dakika 20 Gorata alikuwa amemaliza na tukaondoka kuelekea hotelini kuchukua mabag yake na tukaanza safari ya kwenda JNIA. Njiani Gorata alinipa mpango wa biashara zake ambazo anaplan ya kuja kuwekeza nchini na alisema kama mpango wake utafanikiwa bhasi tutafanya kazi pamoja. Kwa upande wangu sikuwa na pingamizi maana alikuwa na mpango mzuri sana, nilimwambia akiwa tayari anijulishe.

Baada ya kuwasili pale JNIA terminal 3 nilimpa kampani mpaka ndani ndo tukaagana pale.

“Insider next time tutakwenda kutalii wote Serengeti sawa?”

“Sawa dada yangu wewe niambie mapema ili niandae mazingira.” Na tuliishia kukumbatiana tukaagana.

Mimi baada ya kuachana na Gorata niliamua kwenda Changanyikeni kwa Prisca maana niliondoka katika mazingira sio mazuri. Sasa wakati niko pale mataa ya External Iryn alinipigia simu na mimi baada ya kuona ni yeye nilijua lazima litakuwa suala la wife.

“Hello bossy habari yako.”

“Insider mbona unafanya mambo kama sio matured? Hivi unaanzaje kuniingiza kwenye mambo yako?. Naomba tuwe na mipaka tafadhali sana, sitaki kugombana na mama J kisa ujinga wako.“

Iryn alikuwa kawaka sana afu alionekana kukasirika sana.

“Ok samahani lakini sio kama unavyofikiri mama J alikurupuka tu, sasa na wewe ulishindwa kunitetea?”

“Insider ulitaka nimjibu nini? Nimdanganye ili nilete matatizo? Umejaribu kuwaza kama ningekubali afu kumbe mpo wote angenionaje?, tafadhali sana tambua sijapenda ulichokifanya kitaniletea matatizo na mke wako kwa upumbavu wako.” Na akakata simu.

Niliwaza pale na kwa upande mwingine niliona Iryn kama yuko sawa lakini niliishia kumlaumu mama J kwa wivu wake wa kijinga. Kitendo cha urafiki wao kilianza kunipa maswali niliona kama nilikosea sana kuwaweka karibu.

Baada ya kufika pale home kwa Prisca niliwakuta wako seblen wanaangalia movie na mimi niliwasalimia pale, lakini wote walikuwa wakinitizama sana usoni.

MIMI: “Mtu na dada yake mnapendana sana kama mapacha.”

PRISCA: “Babe umeondoka muda gani leo asubuhi ?”

MARY: “Hata mimi nasubir jibu hapa sijasikia kabisa mtu akifungua mlango.”

MIMI: “Mnalala kama maiti haiwezekan nafungua geti Mary husikii, kidogo Prisca naweza mtetea maana alikuwa chumbani.”

PRISCA: “Da Mary ndo kawaida yake analala sana pia mvivu wa kuamka.”

MIMI: “Mmeshajiandaa lakini? maana nataka niwapeleke kwenu au mmeghairi?”

MARY: “Tunawahi nini? tutakwenda hata badae.”

PRISCA: “Mary kapike chakula bhasi.”

MARY: “Kwanini tusitoke kula lunch? Insider kaja na usafiri.”

MIMI: “Mary unapenda sana vyakula vya kudownload.”

PRISCA: “Ndo alivyo mvivu mvivu sana.”

MARY: “Sio mvivu mimi ndo mpishi wa pale home Sema kula vyakula vya home kila siku inakera, sometimes inabidi unachange ladha.”

MIMI: “Mary sio mvivu hata msibani nilimwona anachacharika, Mary kapike bhasi leo nionje mapishi yako huenda nikawaoa wote.”

MARY: “Insider twende jikoni unicompany.”

Wakati niko na Mary jikoni tukisaidiana kupika simu yangu ilianza kuita na ile kuangalia alikuwa ni Iryn akipiga tena na mimi nikapokea simu yake.

“Hello Bossy.”

“Insider hujanitumia ripoti za jumamosi na jumapili mpaka sasa kuna shida gani?”

“Ooh sorry nilisahau asee but ziko tayari.”

“Unaanzaje kusahau vitu muhimu kama hivi? Pia hujapeleka mzigo kule Posta napigiwa simu hapa.”

Iryn alionekana kukasirika kwa hili na mimi niliishia kunyamaza tu maana nilikosa cha kujibu na akakata simu. Kwa upande wangu niliona kweli nilizingua kutotuma ripoti na suala la kupeleka mzigo posta niliwaza kuupeleka baada ya kula lunch.

Baada ya kula lunch ya pamoja niliona bora nitoke niende Masaki nikachukue mzigo then nipeleke Posta. Posta kuna Saloon huwa tunashirikiana nao ni ya mama mmoja mhindi rafiki wa Mama Janeth ni kama partners hata sisi tukikwama huwa tunakwenda kuchukua mzigo kwao.

Wakati natoka Mary aliomba tuondoke wote ili nikamuache Mlimani City akatume hela na baada ya kuwasili maeneo yale niliamua kuingia ndani ili kumpa kampani.

Tuliachana pale na mimi nilikwenda Parking nilikopark gari ili niondoke lakini nilikumbuka sijalipia parking hivyo ikabidi nitoke nikalipie.

Baada ya kurudi nilikuta missed call ya Iryn alipiga tena simu maana niliiacha simu ndani ya gari,

“Huyu b*tch anataka nini tena muda huu?”

Na mimi niliamua kuipotezea ile simu yake, lakini wakati nageuza gari ili niondoke alipiga tena simu, ikabidi niipokee nimsikilize anataka nini muda huu.

“Yes Bossy.”

“Nakupigia simu hupokei.”

“Nilikuwa nimetingwa kidogo, nakutumia ripoti soon na mzigo nakwenda peleka now.”

“Kesho tuonane kwaajili ya suala la mkataba wako wa kazi.” Na alitoa sauti ya mtitizo sana tena yenye u-serious, na akakata simu.

Na mimi muda huu nilijua kibarua kishaota nyasi tayari. Kwanza Iryn kwenda kuchukua gari kwa mama Janeth ilinipa maswali kwamba hahitaji tena usafiri wangu. Pili, toka nifanye maendeleo yote ya kampuni kama kuweka zile Canvas na mapambo mengine pamoja na zile T-shirts hakuwai hata kunipongeza, ni mama Janeth pekee aliyenipigia simu na kunipongeza kwa lile jambo.

Muda huu niliwaza nimtafute mama wa2 anipe assist ya kazi maana alisema muda wowote nikiwa tayari nimjulishe.

EPISODE 55[emoji116]
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
 
EPISODE 54

CONTINUE

Baada ya kumaliza mazungumzo na Prisca niliingia kwa gari na tukaondoka na Jane ili nimuone kama ataweza kuiendesha Dualis. Nilimuelekeza vitu vidogo sana na nikamwachia gari aendeshe na tulikwenda mpaka Bahari Beach Hotel tukageuza.

Jane aliendesha gari vizuri kabisa na sikuwa nawasiwasi wa kumuachia gari. Kwa upande wake Jane aliomba nimuachie Ist aendelee itumia mpaka azoee mazingira ndo nitampa Dualis. Nilimkubalia ombi lake na mimi niliondoka na ile Dualis, hata alivyokomaa barabarani tulikuwa tuna badilishana magari akiimisi ist yangu nampelekea au anaifata ananiachia Dualis yake.

Muda tuliotumia ni kama lisaa mpaka tunarudi Mbweni kwake na baada ya kuachana naye pale nilimpigia simu Prisca na nikamwambia ajiandae tuonane ili tuongee hili suala. Suala la kwenda kwao kwa upande wangu niliona haliwezekani kabisa.

Saa 11 jioni nilikuwa nimeshawasili pale kwao na yeye alitoka tukaondoka kwenda Upepo garden.

Baada ya kuwasili pale tulitafuta angle nzuri tukakaa na mazungumzo yakaendelea.

PRISCA: “Babe nina hamu na wine kidogo.”

MIMI: “Tena usithubutu tutagombana sasa hivi, agiza kinywaji chochote kisichokuwa na kilevi.”

PRISCA: “Sawa babe.”

MIMI: “Bora umerudi kwa mama akupe elimu ya ujauzito. Niambie kinachoendelea kwanza huko nyumbani.”

Ilibidi muda huu nianze kumuuliza Prisca ni nini kinaendelea baada ya kurudi kwao akiwa mjamzito.

PRISCA: “Babe home hawana shida kabisa hata mama hajaonesha sign yoyote, ila ndo kama nilivyokwambia kuhusu baba ndo amekuwa mkali sana. Wazazi wanataka waongee na wewe kuhusu hili suala, Baba akirudi alisema nikupe taarifa muonane, babe wewe usiwe na wasiwasi wewe njoo tu.”

MIMI: “Huko kwenu siwezi kuja Prisca, wazazi wanataka kuniuliza kuhusu masuala ya ndoa wala sio kitu kingine. Unakumbuka nilishakwambia before? Haiwezekani nikujaze mimba afu wazazi waridhie uishi kama single mother.”

PRISCA: “Mimi ndo niliye ridhia hii mimba wewe njoo hata wadanganye ili mambo mengine yaendelee.”

MIMI: “Unajua sipendi kuongea uongo wala kutoa ahadi ambazo najua sitoweza kuzitimiza, kuwadanganya wazazi sio busara nitakuwa natafuta laana tu. Njia sahihi me naona wewe ukae kwanza chini na wazazi wako waambie ukweli kuhusu hio mimba.”

PRISCA: “Babe, sidhani kama hii ni good idea utafanya nichukiwe pale home kwa maamuzi yangu ya kipumbavu. Insider hata kama nimefanya maamuzi ya kijinga lakini isiwe sababu ya mimi kugombana na familia yangu. I know you are very smart ndomana hata mama alivyojua mimba ni yako hajaonesha sign yoyote ile, niseme mama yangu amekupenda. Ombi langu angalia namna gani ya kuongea na wazazi wangu, lengo tuwe na chemistry nzuri honey.”

MIMI: “Ni kweli but hili sio suala jepesi kama unavyolichukulia. Ningekuwa sina mke lingekuwa lishaisha muda mrefu sana, mzee wako anataka kusikia nina mipango gani na wewe bhasi. Kwanza Mzee wako anarudi lini?”

PRISCA: “I think next week, babe usiwe na wasiwasi na mimi sawa eeh!, na pia sifikirii kama nitakuja kuwa na mwanaume mwingine zaidi yako hata ukitaka mtoto mwingine nitakuwa tayari kukuzalia.”

MIMI: “Nipe muda nitafute njia nzuri ya kuongea na wazazi kuhusu hili jambo. Kwasasa home unaweza waambia nimesafiri niko mkoani.”

PRISCA: “Sawa honey, pia nampango wa kufungua biashara ya cosmetics ili nipunguze utegemezi pale home na kwako pia.”

MIMI: “Suala la biashara hata mimi nakuunga mkono, umewaza jambo zuri naf…..”

PRISCA: “Babe sorry da Mary anapiga embu nimsikilize anasema nini.”

Prisca alipokea simu ya Mary na nilikuwa nikisikia wanacho zungumza ilikuwa ni masuala ya kutoka out na baada ya kumaliza kuongea na simu tuliendelea na mazungumzo yetu,

MIMI: “Mary anasemaje?”

PRISCA: “Anataka twende Kidimbwi anasema anahamu ya kutoka leo, babe twende nikapunguze stress za mitihani.”

MIMI:”Mwambie Mary atangulie, sisi tutamkuta.”

PRISCA: “Ngoja nimtumie text hapa.”

MIMI: “Na vipi kuhusu hio plan yako ya biashara, una experince na hii biashara? Na mtaji ni kiasi gani?”

PRISCA: “Experience nitapata kwa mamdogo Ney, yeye ndo anafanya hii biashara, atanisaidia kwenye kupata mzigo na baadhi ya vitu. Kuhusu mtaji wewe usiwe na wasiwasi labda utanisaidia kidogo sana kama nitakwama.”

MIMI: “Kumbe umejipanga eeh!, na ulianza lini huu mpango?”

PRISCA: “Muda toka nijue nina ujauzito ilibidi nikae chini nifikiri kuhusu maisha.”

MIMI: “Good naona sahivi utoto umeisha kidogo umekuwa matured sasa.”

PRISCA: “Babe sipendi uchokozi wako ujue.”

Tuliongea mambo mengi sana muda huu hasa mipango ya kimaisha. Prisca alikuwa anakwenda kuwa mama mtoto wangu, hivyo ilibidi tupange mipango ya pamoja kwaajili ya mtoto na yeye.

Saa 2 tuliondoka maeneo haya na tulikwenda mpaka Kidimbwi kumeet na Mary maana alikuwa kafika muda sana akitusubiri.

Baada ya kuwasili pale tulikuta ameandaa sehemu tayari hivyo tulikaa na tukaagiza vinywaji.

MARY: “Prisca leo haturudi home tutakwenda kulala kwako nimeshaongea na mama tayari.”

PRISCA: “Funguo ziko home sasa.”

MARY: “Nimebeba.“
Na muda huu tuliishia kupigana jicho na Prisca.

Kwa upande mwingine Prisca aliniomba sana tukalale wote hii siku kule kwake na pia suala la kwenda na Mary bila mimi lingeleta maswali sana, maana Mary alikuwa hujui kama mimi sikai pale.

MIMI: “Mary nitakuacha ulale na Prisca afu mimi nitarudi home sawa?”

MARY: “Mimi nitalala seblen tu hata msiwe na wasiwasi.”

Baada ya kuona Mary amekaza ilibidi nikubali kwenda kulala na Prisca. Ukweli toka Prisca ahamie kwake nilikuwa nimelala mara 1 tu kipindi kile nimetoka msiba wa Pama. Nilijisikia hukumu moyoni na niliona anahaki ya kuwa pamoja na mimi kama Baba mtoto, ilibidi nimkubalie tutakwenda kulala wote.

Na muda huu ilibidi nimtumie text mama J nimwambie nimekwama bandarini kuna mzigo nafuatilia wa ofisi hivyo naweza chelewa kurudi na yeye alinijibu “Sawa takecare.”

Tulikaa pale mpaka saa 6 usiku ndo tukaondoka maana Prisca alikuwa hanywi so alikuwa amelala kwenye mapaja yangu muda wote na alionekana kuchoka sana.

Baada ya kufika kwa Prisca sisi tulikwenda kulala chumbani lakini Mary alilala pale seblen.
Muda huu ilibidi tutengeneze njia ya kupita mtoto na ilichukua kama lisaa hivi kukamilika. Baada ya hapo Prisca alilala lakini mimi sikuwa na usingizi kabisa, nilikuwa nawaza kule home kwa wife, machale yalikuwa yakinicheza sana.

Roho yangu ilikuwa na wasiwasi sana kwakweli hata sijui nilikuwa naogopa nini, kucheki muda ilikuwa saa 8 na madakika. Muda huu ilibidi nikaoge kwanza then nifanye harakati za kuwakimbia pale, maana niliwaza kutokulala home sio jambo nzuri, niliona ni bora kuchelewa kuliko kurudi asubuhi kwanza ni dharau kwa mama J.

Muda huu Prisca alikuwa amelala tayari yuko hoi, pale seblen Mary naye alikuwa naye kalala. Nilifungua mlango taratibu pamoja na kuufunga afu ufunguo nikautupia kwa dirishani na nikaondoka.

Baada ya kuwasili home niliingia ndani mara nyingi huwa natembea na funguo zangu. Wife baada ya kusikia nimefika aliamka pale kitandani na alikwenda kwanza washroom.

WIFE: “Baba J ulikuwa wapi? Usiku huu.”

MIMI: “Nilikuwa bandarini kama nilivyo kuambia muda ule.”

WIFE: “Mbona unakuwa muongo hivi? Nimewasiliana na Iryn amekataa hajakutuma huko bandarini.”

Nikajisemea leo kimenuka kumbe wife alipiga simu kwa Iryn hii ni hatari sasa. Muda ule namtumia text hata sikutegemea kama angemuuliza Iryn kuhusu hili jambo, ilibidi nijiongeze kama mwanaume.

MIMI: “Ipo hivi Jumanne kuna mzigo nilikwenda kuuchukua bandarini lakini nilichukua nusu tu sababu ya usafiri ambapo mwingine niliplan ningeuchukua jumatano lakini sikwenda kuufuata na hili Iryn hajui. Jana alinipa taarifa Jumatatu atafanya ukaguzi ndo nikaona nikaimalizie mzigo uliobaki maana angekuta hesabu haiko sawa asinge nielewa na angeniona mzembe.”

WIFE: “Una uhakika na unachoongea?”

MIMI: “Ndio mimi sikujua kama ungewasiliana na Iryn maana hajui hili na akijua atamind sana.”

WIFE: “Okay, Unanuka pombe hata hivyo.”

MIMI “Nilipitia sehemu kupunguza mawazo maana leo nimetapeliwa Million 3 swahiba, usinione hapa ninamawazo sana.” Nilibadilisha mada kijanja.

WIFE: “Ilikuwaje mpaka unatapeliwa pesa zote hizo?”

MIMI: “Acha tu kesho nitakuambia mke wangu tulale.”

Niliwaza pale kitandani Iryn ameshindwa kunifichia siri kaamua kunikataa kwa mama J lakini sikutaka kumlaumu sababu sijui mama J alimuingiaje. Muda huu niliwaza niandae mpango kabambe ambao nitakuwa ninakwenda kulala kwa Prisca bila shida yoyote.

********
Jumatatu asubuhi niliwasiliana na Gorata ili anipe ratiba zake na akanambia ataondoka na ndege ya saa 7 mchana. Baada ya kupata breakfast niliondoka kwenda Mikocheni na muda huu nilionana na Lucy na tukaanza story,

“Insider mbona sikuoni pamoja na Iryn mpo sawa kweli?”

“Yeah tuko sawa vipi kuna tatizo?”

“Mmhh hapana nimeuliza tu, ni muda sijawaona pamoja na Iryn naye kama hayuko sawa kama kuna kinachoendelea niambie.”

“Hapana Lucy mimi namuona Iryn yuko sawa mbona.”

Niliondoka pale Mikocheni baada ya kuona Lucy ameanza umbeya na nilimpigia simu Gorata akanambia nimpitie saloon. Baada ya kuwasili pale saloon niliingia ndani na nilimkuta yuko na Sumaiya akifanyiwa make-up.

“Insider natakiwa kucheck-in saa 5 nitawai kweli na sasa ni saa 3.”

“Mmh utawai tu kwani bado sana?”

“Sio sana ndani ya dakika 15 nitakuwa nimemaliza.”

Na muda huu Sumaiya alikuwa akiniangalia sana ni kama alikuwa anashangaa kuona nikiongea na Gorata. Sumaiya alikuwa kama anataka kuniuliza kitu lakini anasita sita, na mimi nilimsoma muda nika-amua kutoka nje.

Baada ya dakika 20 Gorata alikuwa amemaliza na tukaondoka kuelekea hotelini kuchukua mabag yake na tukaanza safari ya kwenda JNIA. Njiani Gorata alinipa mpango wa biashara zake ambazo anaplan ya kuja kuwekeza nchini na alisema kama mpango wake utafanikiwa bhasi tutafanya kazi pamoja. Kwa upande wangu sikuwa na pingamizi maana alikuwa na mpango mzuri sana, nilimwambia akiwa tayari anijulishe.

Baada ya kuwasili pale JNIA terminal 3 nilimpa kampani mpaka ndani ndo tukaagana pale.

“Insider next time tutakwenda kutalii wote Serengeti sawa?”

“Sawa dada yangu wewe niambie mapema ili niandae mazingira.” Na tuliishia kukumbatiana tukaagana.

Mimi baada ya kuachana na Gorata niliamua kwenda Changanyikeni kwa Prisca maana niliondoka katika mazingira sio mazuri. Sasa wakati niko pale mataa ya External Iryn alinipigia simu na mimi baada ya kuona ni yeye nilijua lazima litakuwa suala la wife.

“Hello bossy habari yako.”

“Insider mbona unafanya mambo kama sio matured? Hivi unaanzaje kuniingiza kwenye mambo yako?. Naomba tuwe na mipaka tafadhali sana, sitaki kugombana na mama J kisa ujinga wako.“

Iryn alikuwa kawaka sana afu alionekana kukasirika sana.

“Ok samahani lakini sio kama unavyofikiri mama J alikurupuka tu, sasa na wewe ulishindwa kunitetea?”

“Insider ulitaka nimjibu nini? Nimdanganye ili nilete matatizo? Umejaribu kuwaza kama ningekubali afu kumbe mpo wote angenionaje?, tafadhali sana tambua sijapenda ulichokifanya kitaniletea matatizo na mke wako kwa upumbavu wako.” Na akakata simu.

Niliwaza pale na kwa upande mwingine niliona Iryn kama yuko sawa lakini niliishia kumlaumu mama J kwa wivu wake wa kijinga. Kitendo cha urafiki wao kilianza kunipa maswali niliona kama nilikosea sana kuwaweka karibu.

Baada ya kufika pale home kwa Prisca niliwakuta wako seblen wanaangalia movie na mimi niliwasalimia pale, lakini wote walikuwa wakinitizama sana usoni.

MIMI: “Mtu na dada yake mnapendana sana kama mapacha.”

PRISCA: “Babe umeondoka muda gani leo asubuhi ?”

MARY: “Hata mimi nasubir jibu hapa sijasikia kabisa mtu akifungua mlango.”

MIMI: “Mnalala kama maiti haiwezekan nafungua geti Mary husikii, kidogo Prisca naweza mtetea maana alikuwa chumbani.”

PRISCA: “Da Mary ndo kawaida yake analala sana pia mvivu wa kuamka.”

MIMI: “Mmeshajiandaa lakini? maana nataka niwapeleke kwenu au mmeghairi?”

MARY: “Tunawahi nini? tutakwenda hata badae.”

PRISCA: “Mary kapike chakula bhasi.”

MARY: “Kwanini tusitoke kula lunch? Insider kaja na usafiri.”

MIMI: “Mary unapenda sana vyakula vya kudownload.”

PRISCA: “Ndo alivyo mvivu mvivu sana.”

MARY: “Sio mvivu mimi ndo mpishi wa pale home Sema kula vyakula vya home kila siku inakera, sometimes inabidi unachange ladha.”

MIMI: “Mary sio mvivu hata msibani nilimwona anachacharika, Mary kapike bhasi leo nionje mapishi yako huenda nikawaoa wote.”

MARY: “Insider twende jikoni unicompany.”

Wakati niko na Mary jikoni tukisaidiana kupika simu yangu ilianza kuita na ile kuangalia alikuwa ni Iryn akipiga tena na mimi nikapokea simu yake.

“Hello Bossy.”

“Insider hujanitumia ripoti za jumamosi na jumapili mpaka sasa kuna shida gani?”

“Ooh sorry nilisahau asee but ziko tayari.”

“Unaanzaje kusahau vitu muhimu kama hivi? Pia hujapeleka mzigo kule Posta napigiwa simu hapa.”

Iryn alionekana kukasirika kwa hili na mimi niliishia kunyamaza tu maana nilikosa cha kujibu na akakata simu. Kwa upande wangu niliona kweli nilizingua kutotuma ripoti na suala la kupeleka mzigo posta niliwaza kuupeleka baada ya kula lunch.

Baada ya kula lunch ya pamoja niliona bora nitoke niende Masaki nikachukue mzigo then nipeleke Posta. Posta kuna Saloon huwa tunashirikiana nao ni ya mama mmoja mhindi rafiki wa Mama Janeth ni kama partners hata sisi tukikwama huwa tunakwenda kuchukua mzigo kwao.

Wakati natoka Mary aliomba tuondoke wote ili nikamuache Mlimani City akatume hela na baada ya kuwasili maeneo yale niliamua kuingia ndani ili kumpa kampani.

Tuliachana pale na mimi nilikwenda Parking nilikopark gari ili niondoke lakini nilikumbuka sijalipia parking hivyo ikabidi nitoke nikalipie.

Baada ya kurudi nilikuta missed call ya Iryn alipiga tena simu maana niliiacha simu ndani ya gari,

“Huyu b*tch anataka nini tena muda huu?”

Na mimi niliamua kuipotezea ile simu yake, lakini wakati nageuza gari ili niondoke alipiga tena simu, ikabidi niipokee nimsikilize anataka nini muda huu.

“Yes Bossy.”

“Nakupigia simu hupokei.”

“Nilikuwa nimetingwa kidogo, nakutumia ripoti soon na mzigo nakwenda peleka now.”

“Kesho tuonane kwaajili ya suala la mkataba wako wa kazi.” Na alitoa sauti ya mtitizo sana tena yenye u-serious, na akakata simu.

Na mimi muda huu nilijua kibarua kishaota nyasi tayari. Kwanza Iryn kwenda kuchukua gari kwa mama Janeth ilinipa maswali kwamba hahitaji tena usafiri wangu. Pili, toka nifanye maendeleo yote ya kampuni kama kuweka zile Canvas na mapambo mengine pamoja na zile T-shirts hakuwai hata kunipongeza, ni mama Janeth pekee aliyenipigia simu na kunipongeza kwa lile jambo.

Muda huu niliwaza nimtafute mama wa2 anipe assist ya kazi maana alisema muda wowote nikiwa tayari nimjulishe.

TO BE CONTINUED.

20:00
iryn ameshakuwa kero sasa.yaan ameshakuwa na wivu za kifala hiyo kazi mbona itakuwa mbaya sas
 
Kosa kubwa analilofanya Insider mpaka sasa, ni kuwaacha wanawake wafanye maamuzi kwenye masuala ya muhimu. As a man, you're always supposed to lead!

Just imagine, Prisca anatambua kua alifanya maamuzi ya kipumbavu kubeba mimba, ila Insider aliona ni sawa tu. Japo hatujafika, ila tayari naliona hilo timbwili la kifamilia linalokuja mbele!

Kwa Iryn tatizo linafahamika. Mwanamke akitaka umkaze then ukazingua, basi attitudes za kipuuzi ndizo zitakua malipo kwako. So far, mimi naona fanani umefeli kwenye mahusiano yako yote kuanzia kwa mkeo, Prisca mpaka kwa Iryn. Ngoja tuone kama kuna comeback!
 
Back
Top Bottom