Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

mm n mchungaj bhna
Wachungaji walio wengi sikuhizi fekerooo wanaigiza tu wachache sana wa rohoniiii!!!
Huoni insider mwenyewe ajifanya kauzu huku anahamasika na kuchana bikini kulee!
Mara anaona wivu Iryn kuambatana na mwanaume mwingine na yeye ni mume wa mtu hahah yani anaipenda anaitaka pia!
Kichwa cha chini hakinaga akiliiiiiii eti!
 
Kambi ya Fisi unafeli wapi mzee? Soma mstari kwa mstari basi!

Hukumbuki enzi INSIDER MAN alimfuata mjomba kwenda kutoa mahari kwa kina mama J na mjomba akabonyeza ignore button?
Bwashee hujui jokes za kuchangamsha uzi zilivyo?

Sijafell popote pale, ila kiukweli kijana wetu hajamuoa rasmi mama J japo kazaa naye, so Prisca anaweza kuwa mke halali wa kijana wetu endapo tu atajua kucheza na akili yake, maana kijana wetu yupo weak sana kimaamuzi.

Kule church ambako mama J huwa anafundisha Sunday school akitokea mwinjilisti wa kupindua mahusiano ya mama J kijana wetu aki mama J anaweza kuchukuliwa na mwinjilisti wa church kwa sababu hakuna uthibitisho wa ndoa ya kijana wetu na mama J.
 
Kumbe wamefikia kwenye mambo ya kutaka kupinduana tena nyieee !!
 
Big no kiongozi..., unless uwe unaifanya/umeipata hiyo kazi kimazabe na hauna weledi wowote kazini ila kwa mfanyakazi anayejitambua na anaelewa umuhimu wake yani anajua kabisa uwepo wake unaongeza kitu katika taasisi/kampuni husika kuna wakati lazima awe na misimamo na hii hukuongezea thamani pia. Waswahili tuna usemi wetu, "Ni heri lawama kuliko fedheha."
 
Nami naona msala unaokuja ni mkubwa zaidi, ushauri kwa insider, ahame pale anapoishi coz lyn anapafahamu, ikibidi abadadilishe na namba ya simu kabisa,
 
Usomage na aliyeandika ujumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…