Acha kuharibu mrembo wengi tumeiamini ni kweli Kama we unaona ya uongo Tunga na wewe toka mwanzo alikwambia atadeal na wale muhimu akielezea wote si Jf itajaa?Ni story nzuri liyojaa uongo nashangaa mtunzi anaiita true story. Kuna gap nyingi haswa yeye kukutana sana na abiria wa kike na wote wakamshobokea...zile trip za kupeleka abiria private posta...pesa zinavyotiririka upande wake nk
Otherwise ni mtunzi mzuri
Asante sana aisee, sijui anaachikaje huyu Piriii, ameingia kwenye huruma zone [emoji1787]Kigi Makasi njoo tumuonee prisca huruma [emoji24]
ipo siku atambaka insider huyo mamaIryn anatushia kujamba wakati anaharisha....!!
Unahasira na boss lady mi namuhurumia maana anateseka nafsi inamuuma.Hebu Atulize kiharage Wafanye kaziii... ye ajichanganye kumix Kazi na Mapenzi tu limkute la kumkuta Shauri yake!
Watu Kama nyie mnaboaa Sana Sasa Kama huamini si iache utuachie tunaoamini?Watu wanaamini hii ni true story ya kweli yaani,
hakuna kitu kama icho....sema jamaa anajua kutunga hadithi....leta hadithi mkuu unajua kutunga sana.
Hivi true story nyie mnazijua kweli yaani muajemi akanipa milioni 5 alafu akaniongeza na milioni 2 [emoji28][emoji28][emoji38][emoji28][emoji28] you guys na nyie mnaamini kabisa.....
hivi mnakumbuka jamaa alipewa milioni 3 mwanzo kabisa na muajemi.[emoji16][emoji1787][emoji23] afu muajemi ampe demu vitu vya thamani ya 40milions hapo bado mashine za kisasa zilizopo dubai zinakuja...... demu naye hataki iphone 13 kamuachia msela, na msela naye hataki iphone 13 pro [emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16]muajemi mwenyewe hata papuchi hataki kweli....
mama alianza kazi mwaka 91 na alikuja kulipwa milioni 45 kwa mwezi na organization X nchi hii hii ya walala hoi.....too much salt....too much sugar..... too much alcohol.....stori za kutunga hizi.....
Hakuna true stori ya hivi ila unajua kutunga sana....mbotswana pia alilala appartment za milioni 3 per month mswana mwenyewe ni black melanin afu jamaa kamezea hakula [emoji16][emoji16][emoji16]
Wewe hunaga gundu kabisa yaani.
Na wewe fatilia wapi kasema alinunua yeye mnaboaTutaaminije kama ulinunua wewe mwenyewe je?
Tena washamba wanadhaninwote ni Peche aloloAchana kubishana na watu ambao hawako exposed na maisha
Brqza sijui Dada achana na mambo usiyoyapenda huna Sababu kutia nuksi kwenye msosi wa wenzio.Hivi Mimi ndio naelewa tofauti??......kwa uelewa wangu hii story mwanzoni ilikuwa true story kweli....ila hapa KATIKATI huyu jamaaa kaamua kuigeuza kuwa FICTIONAL tuuu(nahisi alishindwa kumla iryn) mpk tunavyoongea story imegeuka kuwa dialogue hamna Cha kujifunza
Sisi wafuatiliaji kitambo alisemaga atamaliza hii simulizi kwenye episode za 30s[emoji1][emoji1][emoji1].....kipindi icho nikimaanisha episode 29 zilikuwa nondo kweli mtu unajifunza kitu Ila from there nothing it's seems nothing new.
Haya Ni maoni yangu ila Ni wazi hii mnao scroll down tupo wengiii...... nasubiri comment ya
We kausha Unawahi Wapi ?Hivi Mimi ndio naelewa tofauti??......kwa uelewa wangu hii story mwanzoni ilikuwa true story kweli....ila hapa KATIKATI huyu jamaaa kaamua kuigeuza kuwa FICTIONAL tuuu(nahisi alishindwa kumla iryn) mpk tunavyoongea story imegeuka kuwa dialogue hamna Cha kujifunza
Sisi wafuatiliaji kitambo alisemaga atamaliza hii simulizi kwenye episode za 30s[emoji1][emoji1][emoji1].....kipindi icho nikimaanisha episode 29 zilikuwa nondo kweli mtu unajifunza kitu Ila from there nothing it's seems nothing new.
Haya Ni maoni yangu ila Ni wazi hii mnao scroll down tupo wengiii...... nasubiri comment ya
Watu mbona mnakaza mafuvu sana, kwan c alisema anazungumzia matukio muhimu yanayoendana na hii story tuMimi sijui wamepewa nini na muandishi sijui kwa kweli? Hakuna mwanadamu mwenye uwezo wa kukumbuka matukia kama anavyojinadi muandishi. Hii ni FRICTION nyeupe kabisa kikubwa tupate tuh burudani mimi tangu eps ya 20 huko niliona ni friction kabisa maana kila kitu kinasisimua jamba ambalo kwenye maisha yakawaida halipo kabisa
Kesho kuna sikukuu gan?INSIDER Mimi ninaombi mzee mwenzangu, kwakuwa kesho ni sikukuu si mbaya ukatubless na ki episode cha kusogeza sogeza siku ndugu yangu. Kama itakupendeza lakini.
Nikutakie siku njema.
Friction ??? 😵😱Mimi sijui wamepewa nini na muandishi sijui kwa kweli? Hakuna mwanadamu mwenye uwezo wa kukumbuka matukia kama anavyojinadi muandishi. Hii ni FRICTION nyeupe kabisa kikubwa tupate tuh burudani mimi tangu eps ya 20 huko niliona ni friction kabisa maana kila kitu kinasisimua jamba ambalo kwenye maisha yakawaida halipo kabisa
Wanasema ipo Alhamis
🤣🤣🤣Friction ??? 😵😱
Mimi sijui wamepewa nini na muandishi sijui kwa kweli? Hakuna mwanadamu mwenye uwezo wa kukumbuka matukia kama anavyojinadi muandishi. Hii ni FRICTION nyeupe kabisa kikubwa tupate tuh burudani mimi tangu eps ya 20 huko niliona ni friction kabisa maana kila kitu kinasisimua jamba ambalo kwenye maisha yakawaida halipo kabisa