Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kila mtu na starehe yake so mwisho wa siku kila mtu atabeba mzigo wake, usione watu wanatembea mioyo yao imejaa siri nzito. Ila hao wanaotongoza laivu ndio wamekubuhu jaman hawana hata aibu
 
Ndugu INSIDER MAN nikuombe kitu.

Mtu akikuomba NUMBER isikubali kumpa,,
Ukimpa baada ya muda ataanza kuimba umpe PESA naomba usome PESA hata kama unazo.

Kuna majitu majinga sana
 
Hata hawa iringa sherfad (bibi,Popi)nao ni wazuri kwa matumizi ya kawaida kama hutaki mambo mengi maana nao wakiwa trained wanakua poa pia.View attachment 2765331View attachment 2765330
Tena hawa kama unawezana nao, safi kabisa.
Hawana stress mkuu.
Changamoto yao, wakisikia mtu anaburuza panga nje hesabu vita ni ya kwako peke yako asee. Wao kelele tu mkuu.
 
Tena hawa kama unawezana nao, safi kabisa.
Hawana stress mkuu.
Changamoto yao, wakisikia mtu anaburuza panga nje hesabu vita ni ya kwako peke yako asee. Wao kelele tu mkuu.
Wao kazi yao ni kukuamsha tu,vita ni ya kwako,hawaingilii vita visivyo wahusu,

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Acha kutudharau bro
Sisi tuwafuatilie akina mobeto
Dharau hii

Mpaka hapo unaelekea elekea
Kumbka hatuna ubaya na mtu yeyote yule
Ila tu lengo letu ni moja IRYN aliwe.

Basi hilo likishafanyika wanaume wote kutoka pande za Colombia , Mexico na Cuba nk tutasimama juu na tutasema Gracias.
Tuondokeee , epsodes zije>>.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…