Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Yaani kama umeyatoa maneno yangu kinywani nikitaka kusema hivyo hivyo Kuwa Jamaa mzinguaji
 
Insider ana maisha anayaendesha. Lazima afanye kazi na muda wa ziada ndo anaandika. Alisema hivyo na akaahidi kuupdate siku za IJUMAA,JUMAMOSI na JUMAPILI na amekuwa akifanya hivyo. Vuteni subira wakulungwa
Hivi umesoma ulichokuandika au unataka kuchangamsha genge, hivi ijumaa, jumamosi na jumapili ni siku ngapi?
 
Udugu Antonnia finally leo nimeisoma episode 63 ila sijaloa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijui why mwili umegoma, sijui kwa vile ushazoea kuwa single [emoji23][emoji23][emoji23]

[mention]Gily Gru [/mention] mwenzako mwingine huyu hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] jamani kwa mliolowa ilikuaje kuaje em tupeni mbwinu[emoji1787]
 
Acha maneno ya shombo, hata wewe unaweza ukam_ignore yeye, jf si mali yako, usimnyime nafasi ya kutoa ya moyoni mwake.

Juzi umesema episode zote zipo tayari mpaka 70, sababu ya kutoziweka ni nini? usijishaue we mtoto wa kiume.
 
Acha maneno ya shombo, hata wewe unaweza ukam_ignore yeye, jf si mali yako, usimnyime nafasi ya kutoa ya moyoni mwake.

Juzi umesema episode zote zipo tayari mpaka 70, sababu ya kutoziweka ni nini? usijishaue we mtoto wa kiume.
Sio mali yake sasa unafanya nini kwenye thread yake? Au unataka kutongozwa? alishawai kukutag hapa si ulijeta mwenyewe?. Unakuta mwanaume mzima ba ndevu unalilia Epsode 😂
 
[mention]Gily Gru [/mention] mwenzako mwingine huyu hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] jamani kwa mliolowa ilikuaje kuaje em tupeni mbwinu[emoji1787]
Hahaha humu kuna watu wanashangaza

Mimi ni mwanaume rijali ngoja nikae mbali na wanaume wa dar. Ila nashangaa kuna wanaume humu wanaloa😬 wanaloa wapi?

Nourhan Dr Restart mwanaume analowa wapi? Maana vijana wanalalamika wamelowa
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya mambo yanachekesha sana kwakweli
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya mambo yanachekesha sana kwakweli
Unaweza pigwa mawe. Watu wana sumu
 
[emoji23][emoji23][emoji23]mwendelezo muhimu mkuu@INSIDER MAN

Sent from my SM-G950U1 using JamiiForums mobile app
 
Duh! Mkuu umetisha[emoji2760][emoji2760][emoji2760][emoji2760][emoji2760]
 
Uko vizuri
 
Bahati kwako unaongea kwa utani. Vinginevyo kitakachokukuta mimi simo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…