Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Hakikishaa Basi tuone na hizo facts zako. Kama huelewi mwanaume anahitaji mahitaji mawili hapa duniani tu ambayo Ni sex na success.

Mwanaume kazi yake Ni kut00mba tu na kutafuta chakula Kama swala dumw anavyotembea na majike 30 kazi yake Ni kutafuta malisho. Hakuna mwanaume akaumbwa kuwa na mwanamke mmoja yaani hii haipo Ni Ile tu watu wanapingana na asili ama nature.

Sasa mwanaume hawezi kut00mba tu inabidi Sasa atafute chakula,mahala pa kulala ndio Mana anakuwa bize mno mpaka anasahau kazi ya kuzaliana.

Mabbabu wa mababu walimiki wake kibao kabla maisha hayajawa magumu. Uislamu haujafungia macho hili suala sema ukristi wakafunga macho suala ambalo linasumbua mno dunia.

Mfalme Suleiman alimiliki wake around 1000. Mfalme wa ottoman empire aliua concubines karibia 250 akawarusha baharini kisa tu mmoja wao alilala na mwanaume mwingine. Yaani huwezi bishana na asili hata asili imempatia mwanaume tamaa kubwa mno ya kut00mba. Na hayupo Kama yupo Basi Kati milioni wanaoweza kukubali kuwa na mafanikio bila ya kut00mba.

Lete facts zako hapa twende na sio kuwa unatumia subjectivity na biasennes zako kutaka kujifanya kuwa ndio universal principle za universe. Napenda uongee universal principles za universe na universe laws of natures.
 
mm huwa wanakojoa sana tu, kuna mmoja aliniambiaga, N, nakupenda sana ila ktu ninachopenda zaidi kutoka kwako, unajua sana kumuandaa mwanamke.

tuishie hapa mkuu, walimwengu wasije wakaanza maneno, hawanga dogo et,
Ulipie tangazo...... Naona Antonnia is heading to the pitfallπŸ€ͺ
 
Mkuu mnaposema nature ya mwanaume ni kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja mkae mkijua, ni sawa na kusema na mwanamke naye awe na mwanaume zaidi ya mmoja maana wanaume wanafanya ngono na hao hao wanawake hawafanyi na viumbe vingine, kwa sababu ratio ya population duniani kwa jinsia zote ni almost iko sawa ila wanaume wamezidi kidogo

So mnapotunga hivyo vitheory vyenu kuwa mwanaume ana tamaa hatosheki na mwanamke mmoja na kusingizia nature, mkumbuke kwamba hiyo hiyo nature imewasaliti kwenye upande wa population maana kama nature ingekuwa upande wenu, population ya wanawake ingetakiwa kuiacha mbali sana ya wanaume ili hiyo theory yenu iwe logical and applicable

Yani kama kila mwanaume atataka kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja basi automatically mnakuwa mnalazimisha na mwanamke naye awe na mwanaume zaidi ya mmoja, kitu ambacho huwa hamtaki kusikia wala kukubaliana nacho ilihali ndio uhalisia wenyewe huo yani kwa kifupi idadi ya watu wote duniani na hata nchi moja moja inawakataa na inapingana na hiyo theory yenu, hiyo asili inaweza kuwa imempatia mwanaume tamaa kubwa ila imesahau kumpatia na idadi kubwa ya wanawake wa kumtosha so jitafakarini
 
Antonnia ona walimwengu wanachosema huku
Ila we jamaa....sema mi nimependa vile unavyojua kuiona ilipo fursa na we unakazia humohumo. kale ka msemo kama sijakosea.... ' the higher the demand ....the lower the supply' .... ko umeona uchezee palepale maana Ni ukweli usiopingika dada zetu Wana uhaba wa wakojozaji.
 

Poleni sana Kwa kuuguliwa, Kuna Hali ya upepo sio nzuri watoto Wana patwa sana na viral. Maendeleo yake vipi? Naamini atapona upesi.
 
duuu sijawai kujua kuna uhaba wa wakojozaji huko mtaani, hii tukiiweka kibiashara inaweza lipa eh, yan natangaza huko insta/fb kuwa natoa huduma ya kukojoza, nitawapata wengi eh?
 
Damu ya Yesu imponye kabisaa Junior wetu. Ni hali ya hewa so dont worry he gonna be fine. Amen
 
Mungu awabarikini apone haraka kwa jina la Yesu
 

Wewe ni mwanamke au Mwanaume?
 
Tuko pamoj kwenye maombi bro Mungu atamponya dogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…