Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kwa msioijua duals ndio hii
JamiiForums-598811927.jpg
 
Kwa uzoefu Wangu mdogo Ile Raha yake haielezeki mkuu kila mwanamke ana staili yake ya kufika kilele huyo wako hio ndio njia yake ya ufikaji kilele pole sana kwa kuteseka sio yeye ni ule utamu anaoupata! !

Yeah mwanamke akikojoa kisawasawa anaeza zima au tulia kulala kimyaaa kwa dakika kadhaa then badae unarudi kawaida, anaweza sikia njaaa pia anaweza hisi kiu ya maji!!

Mwingine akiwa anakojoa kama hivo anaweza kusukuma mwanaume mwingine anamkumbatia kwanguvuuuu mwingine anakufinya ile sanaa mwingine analia anatoa machozi kabisa mwingine anakutukana kuna wa kukung'ata n.k n.k kila ke na hekaheka zake za ufikaji!

Ila kiukweli the feeling haielezeki!
Mdada umeuwaaaaa[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]chukuwa maua pia [emoji253] [emoji257] [emoji7]
 
kwahiyo unamwambiaje Insider kuwa analelewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtoto wa Mjini halelewagi aisee ingawa waleaji wanamsaka kwa fujo. Tabia za wanaolelewa mbona ziko wazi tu. Kwa lugha nyingine, uShirika wa INSIDER MAN na IRENE tunaita CORPORATE AMALGAMATION ambamo aidha utoe mtaji au expertise. Naona INSIDER MAN anatoa expertise, professionalism na good will.
 
Ndugu wana JF saa 1 usiku nilipokea taarifa za kuumwa kwa Junior wakati wanampeleka hospitaal akazidiwa so amelazwa hapa. Nimeambiwa ni homa maana juzi tu hapa ametoka uchagani na mama yake, kama mambo yatakuwa mazuri tunaweza ruhusiwa.

Maombi yenu [emoji120]
Ooohhh poleni sana kaka Mungu amponye mtoto wetu arudi kua na afya bora
 
Mambo unayoyasikia kwa uwazi ya aina hiyo ni machache sana kuliko yaliyoko huko gizani. Jane ni mtu mzima anajua dunia ilivyo. Huko sirini mtu anamkunja dada mtu na mdogo mtu,mama mkwe,mpaka binamu kama wote wanavutia. Na muda mwingine wote wanajuana,wanavumiana tu kidizain. Dunia uionavyo kwa nje sivyo ilivyo kwa ndani. Kuna mambo ya kutisha huko ndani. Ukiyasikia unaweza uzimie. Na jua zipo siri zinakuzunguka hapo hapo ulipo na hutakuja uzisikie mpaka kifo chako
Saluti kwako Mkuu[emoji871]
 
Ndugu wana JF saa 1 usiku nilipokea taarifa za kuumwa kwa Junior wakati wanampeleka hospitaal akazidiwa so amelazwa hapa. Nimeambiwa ni homa maana juzi tu hapa ametoka uchagani na mama yake, kama mambo yatakuwa mazuri tunaweza ruhusiwa.

Maombi yenu [emoji120]
Poleni familia ya INSIDER MAN kwa wahka mlopitia jana. Namshukuru ALLAH SWT kwa kumuafu Junior wetu. Salaam kwa Mama J.
 
Mkuu mnaposema nature ya mwanaume ni kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja mkae mkijua, ni sawa na kusema na mwanamke naye awe na mwanaume zaidi ya mmoja maana wanaume wanafanya ngono na hao hao wanawake hawafanyi na viumbe vingine, kwa sababu ratio ya population duniani kwa jinsia zote ni almost iko sawa ila wanaume wamezidi kidogo

So mnapotunga hivyo vitheory vyenu kuwa mwanaume ana tamaa hatosheki na mwanamke mmoja na kusingizia nature, mkumbuke kwamba hiyo hiyo nature imewasaliti kwenye upande wa population maana kama nature ingekuwa upande wenu, population ya wanawake ingetakiwa kuiacha mbali sana ya wanaume ili hiyo theory yenu iwe logical and applicable

Yani kama kila mwanaume atataka kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja basi automatically mnakuwa mnalazimisha na mwanamke naye awe na mwanaume zaidi ya mmoja, kitu ambacho huwa hamtaki kusikia wala kukubaliana nacho ilihali ndio uhalisia wenyewe huo yani kwa kifupi idadi ya watu wote duniani na hata nchi moja moja inawakataa na inapingana na hiyo theory yenu, hiyo asili inaweza kuwa imempatia mwanaume tamaa kubwa ila imesahau kumpatia na idadi kubwa ya wanawake wa kumtosha so jitafakarini
LERNING IS EASIER THAN UNLEARNING ikiwa na maana Kujifunza jambo jipya ni rahisi kuliko kufuta jambo ambalo ulishajifunza.
Kibailogia binadamu yako kwenye kundi la primates. Na nature ya primates wote ni dume kuwa na jike zaidi ya moja. Hata hao wanaojifanya wabishi wakifuga primates majumbani mwao huwa wanafuga majike mengi kuliko madume.

Kama unadhani manabii walikuwa wanao wanawake wengi kwasababu wanawake walikuwa wengi kuliko wanaume basi umekosea sana.

Mwisho nakupa faida ya kijamii ya wanaume kuoa wake wengi. Mwanaume m1 kuoa/kuhodhi wanawake wengi inasababisha competition ya kugombea/kuoa inakuwa kubwa zaidi hii inapelekea thamani ya mwanamke kuwa juu na kupunguza wanawake wasioolewa.
Mwanaume m1 mke m1 inasabisha demand ya wanawake kuwa ndogo. Na kuhamisha competition badala wanaume wacompete kwa ajili ya wanaume sasa wanawake wanacompete kwa ajili ya wanaume. Zingatia law of demand and supply.

Mwisho kabisa mwanaume anapooa mwanamke zaidi ya m1 inasababisha wanaume wenye uwezo wa juu kuoa wanawake wenye mvuto na kusababisha idadi yao ipungue wakati demand bado iko juu hii inapelekea wanaume wenye uwezo wa chini kutokuwa na option bali kuoa wanawake wanaoonekana kama rejects kama walemavu ama waliozalia nyumbani.

Ndio maana zamani kila mwanamke hata awe na kasoro gani ya kimaumbile aliolewa ila siku hz hahahaha namba inasomwa vibaya mno mpaka kwa warembo. Nendeni makanisani hasa haya yanayojiita ya kiroho muone jinsi demand ikivyoshuka.

Ukisoma biblia hakuna sehemu ilikokataza wake wengi. Suala la mke m1 zilikuwa busara za paulo kupunguza baadhi ya migogoro ya kifamilia baadae kanisa la Rumi wakaiga na kuliingiza kwenye sera za kanisa na kwa kuwa kabisa la Rumi ndio baba wa makanisa yote ya kisasa basi tukatembea nayo mpaka leo
 
Back
Top Bottom